Vedastus Masinde sasa atajwa Msimbazi

BAADA ya mabosi wa JKT Tanzania kuweka ngumu juu ya upatikanaji wa beki wa kati aliyekuwa akiwindwa na Simba, Wilson Nangu inadaiwa mabosi wa Msimbazi wameanza kumpigia hesabu na kufanya mazungumzo na beki wa kati wa TMA Stars, Vedastus Masinde. Simba inapambana kunasa saini ya Nangu anayetajwa kuwa na mkataba na maafande hadi 2028, huku…

Read More

Mkenya anukia Pamba Jiji | Mwanaspoti

MABOSI wa Pamba Jiji wako katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa kiungo raia wa Kenya, Saphan Siwa Oyugi baada ya nyota huyo aliyejiunga na Kagera Sugar dirisha dogo la Januari 2025 kumaliza mkataba. Siwa alijiunga na Kagera Sugar iliyoshuka msimu uliopita kutoka Ligi Kuu Bara hadi Championship, ambapo alitua kwa mara ya kwanza…

Read More

Geay mzigoni Berlin akikutana na Sawe

NYOTA wa riadha wa kimataifa wa Tanzania, Gabriel Geay atakuwa mzigoni tena na mara hii akitarajiwa kutimka katika mbio za Berlin Marathon nchini Ujerumani, Septemba 21, mwaka huu. Katika mbio hizo mwanariadha huyo Mtanzania atakuwa sambamba na wanariadha kibao kutoka sehemu mbalimbali akiwamo Mkenya  Sabastian Sawe mwenye umri wa miaka 30 ambaye kwa sasa anashikilia…

Read More

Bingwa mtetezi aanza vyema CHAN 2024

BINGWA mtetezi wa michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za ndani (CHAN), Senegal imeanza vizuri kampeni za kutetea taji hilo baada ya kuifunga Nigeria ‘Super Eagles’, bao 1-0, katika pambano nzuri na la kuvutia baina ya miamba hiyo. Pambano hilo la kundi D, lililochezwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, lilishuhudia…

Read More

Mghana alizwa na pengo la Abdelrahman

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Sudan, Mghana Kwesi Appiah amesema ni pengo kubwa kwake katika michuano ya CHAN kutokana na kumkosa nyota wa kikosi hicho Mohamed Abdelrahman. Appiah amezungumza hayo baada ya mechi ya kwanza ya timu hiyo dhidi ya Congo iliyoisha kwa sare ya bao 1-1 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex,…

Read More

Ngatsono ajivunia pointi moja ya CHAN

Kocha Mkuu wa Congo, Barthelemy Ngatsono amesema licha ya timu hiyo kuanza na sare katika michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), lakini amefurahishwa na viwango vilivyoonyeshwa na nyota wa kikosi hicho. Kauli ya Ngatsono imejiri baada ya timu hiyo kuanza michuano ya CHAN kwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Sudan…

Read More

Sudan, Congo zaanza na sare CHAN

TIMU za taifa za Sudan ‘Falcons of Jediane’ na Congo zimeshindwa kutambiana katika mechi ya kwanza ya kundi D ya michuano ya Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), baada ya kutoka sare ya kufungana bao 1-1.  Katika mechi hiyo iliyopigwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex visiwani Zanzibar, Sudan ilikuwa ya kwanza kupata bao…

Read More

Kocha Uganda akiri presha kuwagharimu

KOCHA wa timu ya taifa la Uganda ‘The Cranes’, Morley Byekwaso, amekiri kuwa kikosi chake kilishindwa kudhibiti presha, hali iliyowagharimu katika kipigo cha mabao 3-0 kutoka kwa Algeria kwenye mechi ya kwanza wa Kundi C wa michuano ya CHAN 2024 iliyopigwa jijini Kampala. Katika mechi hiyo iliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa wa Nelson Mandela, wenyeji…

Read More