MTIBWA Sugar imerejea Ligi Kuu Bara, ikiwa na moto ikianza kupiga hesabu za maana kwa upande wa usajili ikisuka jeshi lake litakalowabakisha wasishuke. Kikosi hicho
Category: Michezo

UONGOZI wa Manveer Birdi katika mbio za kusaka taji la taifa la ubingwa wa mbio za magari umepata tishio jipya baada ya kushindwa kumaliza mashindano

KLABU ya Mashujaa na Kagera Sugar iliyoshuka daraja rasmi zimeanza kumfuatilia mshambuliaji wa Namungo, Hassan Kabunda. Mshambuliaji huyo alisajiliwa Namungo msimu nwa 2022/23 akitokea KMC

ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Al Hilal Omdurman ya Sudan, Florent Ibenge amewashukuru wafanyakazi, wachezaji, watendaji, mashabiki na watu wote wa Sudan kwa kipindi cha miaka

MCHAKATO wa Uchaguzi Mkuu wa TFF unaendelea kwa leo kuingia hatua ya usaili ambapo hatma ya wagombea 25 waliojitokeza kuchukua na kurudisha fomu inatarajiwa kufahamika

KIUNGO wa Yanga, Khalid Aucho amesema kitu kilichomfurahisha zaidi kwa msimu ulioisha ni kitendo cha kunyakua taji la ubingwa wa Ligi Kuu Bara mbele ya

BAADA ya kiungo wa Azam FC, Gibril Sillah kuaga kwenye timu hiyo mabosi wake wa zamani tayari wameshaweka sawa nani atakuwa mbadala wake. Kiungo huyo

KUNA mambo yanaendelea baada ya msimu wa Ligi Kuu Bara kumalizika, ambapo nyuma ya pazia vigogo wa timu wameanza kujifungia ili kukamilisha dili za wachezaji

KUNA mambo yanaendelea baada ya msimu wa Ligi Kuu Bara kumalizika, ambapo nyuma ya pazia vigogo wa timu wameanza kujifungia ili kukamilisha dili za wachezaji

WEKUNDU wa Msimbazi wamekosa kila kitu msimu huu katika mashindano ndani ya nchi, ambapo katika michuano yote wamepishana kidogo na makombe, kwani Ligi Kuu Bara