
Straika Kagera atimkia Kenya | Mwanaspoti
ALIYEKUWA mshambuliaji wa Kagera Sugar raia wa Cameroon, Moubarack Amza amekamilisha usajili wa kujiunga na Bandari FC ya Kenya, itakayocheza mechi ya kimataifa ya kirafiki dhidi ya Yanga katika kilele cha ‘Wiki ya Mwananchi’ Septemba 12. Nyota huyo atacheza dhidi ya Yanga ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, katika tamasha la kikosi hicho…