Straika wamliza Maxime | Mwanaspoti

WAKATI mashabiki wa Mbeya City wakilia na matokeo yasiyoridhisha, kocha mkuu wa timu hiyo, Mecky Maxime amesema tatizo ni upepo kikosini na ubutu wa straika wake katika kutumia nafasi wanazopata. Hata hivyo, amewatuliza mashabiki kuwa Mbeya City itarejea vyema kwani ligi haijaisha, huku akionesha kutofurahishwa na baadhi yao wanaoingilia majukumu ya kupanga kikosi uwanjani. Mbeya…

Read More

Ninja aelezea uzoefu anaoupata Championship

BEKI wa zamani wa Yanga, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ anayeichezea Transit Camp inayoshiriki Championship, alisema anajifunza vitu vingi kutoka ligi hiyo anayocheza kwa mara ya kwanza, huku akifichua huko zaidi nguvu inatumika sana. Ninja aliyezaliwa Zanzibar Januari 21, 1998 akiwa na umri wa miaka 27 hivi sasa, alisema ugumu wa Ligi ya Championship ni kwa zile…

Read More

Dickson Job nje miezi miwili Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga, Pedro Goncalves, amethibitisha kwamba, nahodha msaidizi wa kikosi hicho, Dickson Job, hatakuwa sehemu ya mechi ya kesho Alhamisi dhidi ya Singida Black Stars kufuatia kuumia enka. Kwa mujibu wa Pedro, Job aliyeumia enka katika Dabi ya Kariakoo dhidi ya Simba iliyomalizika kwa timu hizo kushindwa kufungana wikiendi iliyopita, anatarajiwa kuwa nje…

Read More

Nsajigwa: Azam? Waje tumalizane | Mwanaspoti

BAADA ya kutambulishwa kuwa kocha mkuu wa Tanzania Prisons, Shedrack Nsajigwa amesema yuko tayari kuikabili Azam FC, akieleza jinsi alivyoibadili timu hiyo ndani ya uwanja kurejesha ushindi kikosini. Nsajigwa alitambulishwa kikosini humo akichukua mikoba ya Zedekiah Otieno raia wa Kenya aliyesitishiwa kibarua chake Februari 25, 2026 kutokana na matokeo yasiyoridhisha kwenye Ligi Kuu. Akizungumza leo…

Read More

Ibenge azikomalia Simba na Yanga akitangaza vita mpya Ligi Kuu

KOCHA Mkuu wa Azam, Florent Ibenge, amesema licha ya matokeo mazuri waliyonayo lakini hafurahii sana kwani pointi walizozidiwa na Yanga na Simba zinampa uchungu kufikia malengo yao ya ubingwa msimu huu. Amesema kutokana na hali hiyo, anaendelea kuwaandaa vyema nyota wake kuhakikisha kila mchezo ulio mbele yao wanapata ushindi, huku akiivimbia Tanzania Prisons kuhakikisha wanachukua…

Read More

Gueye, Oura wamuibua Barker | Mwanaspoti

VIWANGO vya nyota wapya wa Simba, Libasse Guaye na Anicet Alain Oura, ambao wamesajiliwa katika dirisha dogo la Januari 2026, vimeanza kuvutia katika safu ya ushambuliaji ya wekundu wa Msimbazi huku kocha Steve Barker akitaka kuona muendelezo kutoka kwa wachezaji hao. Guaye amefunga…

Read More

Meneja Singida BS atuma salamu Yanga

MENEJA Mkuu wa Singida Black Stars, Othmen Najjar amesema kikosi kipo tayari kwa mtihani wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga itakayochezwa Alhamisi hii Machi 5, 2026, akiweka wazi maandalizi yao yamejikita zaidi katika umakini, nidhamu na matumizi sahihi ya nafasi. Najjar amekiri wazi kwamba, takwimu haziko upande wao, akieleza kuwa Yanga imeshinda mechi sita…

Read More

Matumizi ya VAR Bongo tumekwama hapa

WAKATI wadau na mashabiki wa soka nchini wakijiuliza lini teknolojia ya usaidizi wa mwamuzi (VAR) itaanza kutumika katika mechi za Ligi Kuu Bara kufuatia makosa ya kibinadamu yanayoonekana mara kwa mara, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limefichua kuwa zimebaki hatua mbili kabla ya kuanza kuitumia. …

Read More

Matumizi ya VRA Bongo tumekwama hapa

WAKATI wadau na mashabiki wa soka nchini wakijiuliza lini teknolojia ya usaidizi wa mwamuzi (VAR) itaanza kutumika katika mechi za Ligi Kuu Bara kufuatia makosa ya kibinadamu yanayoonekana mara kwa mara, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limefichua kuwa zimebaki hatua mbili kabla ya kuanza kuitumia. …

Read More