Kiungo Twiga Stars afunguka faida, hasara kusogezwa WAFCON 2026
KIUNGO wa Timu ya Taifa ya Wanawake, Twiga Stars, Maimuna Hamis ‘Mynaco’ amesema kusimamishwa kwa mashindano ya Mataifa ya Afrika kwa wanawake (WAFCON) yana faida na hasara kwa upande wa wachezaji. Twiga Stars iko UAE ikishiriki mashindano ya kujipima nguvu ya Pink Ladies Cup ambayo yalikuwa ni maandalizi ya WAFCON yaliyotarajiwa kuanza Machi 17, 2026…