Kocha Uganda akiri presha kuwagharimu

KOCHA wa timu ya taifa la Uganda ‘The Cranes’, Morley Byekwaso, amekiri kuwa kikosi chake kilishindwa kudhibiti presha, hali iliyowagharimu katika kipigo cha mabao 3-0 kutoka kwa Algeria kwenye mechi ya kwanza wa Kundi C wa michuano ya CHAN 2024 iliyopigwa jijini Kampala. Katika mechi hiyo iliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa wa Nelson Mandela, wenyeji…

Read More

Mulee ataja sababu mbili Bajaber kusepa Harambee

KOCHA wa zamani wa timu ya taifa ya Kenya ‘Harambee Stars’, Jacob ‘Ghost’ Mulee amefichua sababu mbili zilizomfanya Mohamed Bajaber kuachana na kikosi hicho katika CHAN na kusaini mkataba na miamba ya soka nchini, Simba. Akifanya mahojiano na Habari 254tv ya kwao Kenya, Mulee alikiri kutokuwepo kwa Bajaber kambini kutaleta mabadiliko kadhaa, lakini Harambee Stars…

Read More

Mapro Simba watia neno dili la Mlingo

BAADA ya Simba kumtangaza beki mpya wa kushoto, Antony Mlingo akitokea Namungo FC, mastaa wa zamani wa klabu hiyo wamesema kocha Fadlu Davids anapenda soka la vijana na kisasa zaidi. Mwanaspoti lilikuwa la kwanza kuripoti taarifa za Mligo aliyezaliwa Agosti 8,2007 kwamba tayari amemalizana na Simba ambayo kwa sasa imepiga kambi nchini Misri kujiandaa na…

Read More

Rasmi Samatta kuicheza Le Havre Ufaransa

Nyota wa soka wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta, amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuichezea Le Havre inayoshiriki Ligi Kuu Ufaransa (Ligue 1), hatua inayoweka historia kwa kuwa mchezaji wa kwanza Mtanzania kucheza katika ligi hiyo ya juu  nchini humo. Le Havre wamemtambulisha mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 32, wakithibitisha kuwa atavaa jezi namba 70…

Read More

Dewji awaombea Stars mamilioni | Mwanaspoti

MFADHILI wa zamani wa Simba, Azim Dewji amewataka wafanyabiashara wakubwa na mashabiki wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ kuonyesha uzalendo kuwapongeza wachezaji wa Stars kwa kuwapa maokoto katika mechi watakazoshinda. Stars inashiriki michuano ya CHAN kwa mara ya tatu, huku ikiwa ni mara ya kwanza kwa Tanzania kuteuliwa kufungua  mashindano hayo. Kikosi hicho kilichopo katika…

Read More

Mashabiki New Amaan bado hakijaeleweka

WAKATI leo ikipigwa mechi mbili za kundi D, la Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN), mwitikio hadi sasa ni mdogo kwa mashabiki, licha ya nje ya Uwanja wa New Amaan Complex unaopigwa pambano hilo kuonekana shwari kiusalama. Maeneo mbalimbali visiwani Zanzibar, shughuli za kawaida kwa maana ya za kiuchumi…

Read More

Profesa Mosha amtaja binadamu hatari sana

Arusha. Tafakari yangu ya leo itajikita katika mawazo ya watu wawili ambao ni Muft Ismael Menk na mwanamama Louise de Marillac. Muft Menk amesema: ‘’Moyo wangu una thamani hivyo kwamba hauwezi kuipa nafasi chuki na wivu ndani yake. Na mwanamama Louise de Marillac ameandika: ‘’Kama moyo wako haukujaa joto la upendo, wengine kando yako watakufa…

Read More

Mcameroon ajilengesha Simba | Mwanaspoti

PALE Simba kuna staa mmoja kutoka Cameroon ambaye amesalia kwenye viunga vya Msimbazi, Leonel Ateba baada ya kuondoka kwa nyota mwingine kikosini hapo, Che Fondoh Malone aliyetimkia USM Alger ya Morocco katika dirisha la usajili linaloendelea. Hata hivyo, kinachoelezwa ni kwamba bado chama…

Read More

CHAN yafungua fursa ya jezi za Stars Zanzibar 

WAFANYABIASHARA wa jezi mjini Unguja wameelezea fursa zilizopo hususan katika Michuano ya Mataifa Ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za ndani (CHAN), zinazoendelea kwa wenyeji Tanzania ikishirikiana na Kenya na Uganda. Wakizungumza na Mwananchi Digital, wafanyabiashara mbalimbali hasa wa jezi wameeleza michuano ya CHAN inayoendelea  jinsi itakavyowanufaisha kutokana na mwitikio wa uhitaji hasa wa timu…

Read More