Stars ilivyozipiga bao Kenya, Uganda

TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, imeandika ukurasa mpya kwa ukanda wa Afrika Mashariki baada ya kuanza kwa kishindo michuano ya CHAN 2024, huku ikizidi kete majirani zake Kenya na Uganda waliokuwa kama wenyeji wenza wa mashindano hayo. Ilianza kwa kishindo Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, Jumamosi ya Agosti 2, wakati…

Read More

Uganda yaingia anga zile zile za Ivory Coast

KIPIGO cha mabao 3-0 ilichopewa Uganda The Cranes kutoka kwa Algeria katika mechi ya kwanza ya Fainali za CHAN 2024 jana usiku imeifanya timu hiyo kuingia anga za Ivory Coast. Ivory Coast ikiwa wenyeji wa fainali za kwanza za CHAN 2009 ilikumbana na kipigo cha mabao 3-0 kutoka kwa Zambia yaliyofungwa na Given Singuluma akiwa…

Read More

Senegal, Nigeria kazi ipo Zenji CHAN 2024

MICHUANO ya fainali za Kombe la Ubingwa kwa Nchi za Afrika (CHAN) 2024 inaendelea tena leo kwa mechi mbili za Kundi D zitakazopigwa visiwani Zanzibar, lakini macho na masikio yanaelekezwa katika pambano la watetezi, Senegal ‘Simba wa Teranga’ dhidi ya Super Eagles ya Nigeria. Pambano hilo litakalopigwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex kuanzia saa…

Read More

Simba yapanda dau kwa Yacoub

MABOSI wa JKT Tanzania wamedaiwa kuweka ngumu kumruhusu kipa wa timu hiyo, Yakoub Suleiman kujiunga na Simba iliyopiga kambi Misri ikijiandaa na msimu mpya wa 2025-2026, hivyo kuwafanya wenzao wa Msimbazi kulazimika kuongeza dau ili kuhakikisha wanamnasa mapema. …

Read More

Beki Yanga amlilia Jonathan Sowah

MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Jonathan Sowah ameshaanza mazoezi akiwa na kikosi cha timu hiyo kilichopo Misri, lakini kuna beki mmoja aliyewahi kukipiga Yanga ameshtushwa na kuumizwa juu ya kutua huko badala ya Jangwani na kusema timu hiyo isipojipanga ijue mapema itaumia kwake. …

Read More

Maximo aukubali mziki wa Fei Kagoma

KOCHA wa zamani wa Taifa Stars, Marcio Maximo ameonyesha furaha na matumaini makubwa kwa timu hiyo baada ya kuonyesha kiwango bora katika mechi ya kwanza ya Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) 2024 dhidi ya Burkina Faso. Maximo ambaye kwa sasa ni kocha mpya wa KMC, alisema hana mashaka na safu…

Read More

Mashujaa yaipiku Singida kwa Mgunda

MASHUJAA imeshinda vita ya kumwania mshambuliaji Ismail Mgunda aliyekuwa akihitajiwa na Singida Black Stars na mabosi wa pande zote mbili wamefunguka kila kitu kuhusu usajili huo. Hapo awali, Mgunda aliwahi kuichezea Singida kabla ya kutimkia Mashujaa aliyokuwa akiichezea mwanzoni mwa msimu uliomalizika kisha kwenda AS Vita ya DR Congo. Ikadaiwa alisaini Singida mara aliporejea kutoka…

Read More