Hukumu rufaa Kocha Katabazi dhidi ya TFF yasogezwa mbele

Hukumu ya rufaa ya Kocha Listoni Katabazi dhidi ya  Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF), kupitia bodi yake ya wadhamini, sasa kutolewa Septemba 26, 2025. Hukumu hiyo ilipangwa kutolewa leo Agosti 4,2025 na Jaji Butamo Phillip aliyesikiliza rufaa hiyo. Hata hivyo imekwama kwa kuwa Jaji Phillip aliyepaswa kuisoma hukumu hiyo hakuwepo.Badala yake imeahirishwa na…

Read More

The Cranes yaanza kwa fedheha CHAN 2024

TIMU ya Taifa ya Uganda ‘The Cranes’ imeanza vibaya Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), baada ya kuchapwa mabao 3-0 na Algeria katika pambano la kwanza la ufunguzi. Katika mechi hiyo ya kundi C iliyopigwa kwenye Uwanja wa Nelson Mandela mjini Kampala, Algeria ilianza kupata bao la kwanza dakika ya 36…

Read More

The Cranes yaanza kwa fedheha CHAN

TIMU ya Taifa ya Uganda ‘The Cranes’ imeanza vibaya Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), baada ya kuchapwa mabao 3-0 na Algeria katika pambano la kwanza la ufunguzi. Katika mechi hiyo ya kundi C iliyopigwa kwenye Uwanja wa Nelson Mandela mjini Kampala, Algeria ilianza kupata bao la kwanza dakika ya 36…

Read More

Msuva: Stars itavunja rekodi CHAN

NYOTA wa Al-Talaba SC ya Iraq, Simon Msuva ameweka wazi matumaini yake kwa Taifa Stars, huku akisisitiza huu ndiyo wakati wa kuvunja rekodi zote mbovu na kutinga fainali ya Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) ikiwa ni kwa mara ya tatu kushiriki mashindano hayo. Akiwa na historia ndefu ya kuitumikia timu…

Read More

TAWA YATUMIA MAONESHO YA 31 YA NANE NANE 2025 KUELIMISHA UMMA NA KUUZA VIVUTIO VYA UTALII

::::::: Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), kupitia Kanda ya Kaskazini, inaendelea kutumia jukwaa la Maonesho ya Nane Nane 2025 yanayoendelea katika Viwanja vya Nane Nane mkoani Arusha kuwafikia Watanzania kwa kuwapatia elimu kuhusu uhifadhi, utalii na fursa za uwekezaji katika maeneo yake ya usimamizi. Kupitia ushiriki wake ndani ya banda la pamoja la…

Read More

Madagascar v Mauritania suluhu ya kwanza CHAN

TIMU za Madagascar na Mauritania zilitoka sare ya bila kufungana (0-0) katika mechi ya Kundi B ya Michuano ya CHAN PAMOJA 2024 iliyopigwa Jumapili usiku kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Kundi hili lenye timu tano linaongozwa na wenyeji Tanzania wenye pointi tatu baada ya kuichapa Burkina Faso kwenye mchezo wa ufunguzi wa michuano hiyo ambayo…

Read More

Kuhusu suala la Mpanzu Simba lipo hivi

HUKO miluzi ni mingi kuhusiana na nyota wa Simba, Elie Mpanzu, ambako mijadala mbalimbali inaendelea wakati huu ambao ishu za usajili katika timu mbalimbali zimetaladadi, ambapo mastaa kibao wanabadili timu huku wapya wakisajiliwa kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano ndani na nje ya nchi. …

Read More

Museveni aahidi mabilioni kwa nyota wa Uganda CHAN

Wakati timu ya taifa ya Uganda ‘The Cranes’ ikianza kupeperusha bendera ya taifa hilo kwenye Fainali za Chan 2024 dhidi ya Algeria, Rais wa nchi hiyo, Yoweri Museveni ametoa ahadi nono ya fedha kwa timu hiyo. Taarifa iliyotolewa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Uganda (Fufa) leo, imeeleza kuwa The Cranes itavuna Sh1.2 bilioni kwa…

Read More

Madagascar v Mauritania  culuhu ya kwanza CHAN

TIMU za Madagascar na Mauritania zilitoka sare ya bila kufungana (0-0) katika mechi ya Kundi B ya Michuano ya CHAN PAMOJA 2024 iliyopigwa Jumapili usiku kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Kundi hili lenye timu tano linaongozwa na wenyeji Tanzania wenye pointi tatu baada ya kuichapa Burkina Faso kwenye mchezo wa ufunguzi wa michuano hiyo ambayo…

Read More

Beki Namungo aaga akihusishwa Simba

BAADA ya sintofahamu kama aliyekuwa beki wa Namungo, Antony Mligo anaweza kujiunga na Simba dirisha hili kutokana na kuwa na mkataba na waajiri wake sasa ni rasmi amethibitisha kuwa ni Mnyama baada ya kuaga. Simba iliiomba Namungo kumtazama mchezaji huyo kabla ya kumsajili jambo ambalo lilifanyika na sasa ni rasmi nyota huyo ataitumikia Simba msimu…

Read More