Samatta kucheza na Dembele, Hakimi

KWA mujibu wa tetesi za usajili nchini Ufaransa, inaelezwa mshambuliaji wa Kitanzania, Mbwana Samatta yuko kwenye hatua za mwisho kujiunga na Le Havre ya Ligi Kuu Ufaransa. Samatta ameachana na PAOK ya Ugiriki miezi michache iliyopita baada ya kuhudumu kikosini hapo kwa takribani misimu miwili akifunga mabao sita kwenye mechi 41. Mbali na Le Havre…

Read More

Morocco ubabe unaendelea CHAN | Mwanaspoti

Timu ya taifa la Morocco, Atlas Lions, imeanza kampeni yake ya kutafuta taji la tatu la mashindano ya CHAN 2024 kwa kishindo baada ya kuibuka na ushindi jana, Jumapili wa mabao 2-0 dhidi ya Angola kwenye Uwanja wa Nyayo, Nairobi. Bao la kwanza la Morocco lilifungwa na Imad Riahi katika dakika ya 29 kabla ya…

Read More

Sare dhidi ya Mauritania yambeba kipa Madagascar CHAN 2024

KIPA wa Madagascar, Michel Ramandimbozwa aliibuka shujaa baada ya kuiongoza timu yake kulazimisha suluhu dhidi ya Mauritania, licha ya kucheza wakiwa pungufu kutokana na kuonyeshwa kwa kadi nyekundu ya kwanza katika mashindano hayo. Ramandimbozwa, ambaye aliibuka kuwa Mchezaji Bora wa mechi, aliwavutia wengi kwa ubora wake langoni na alifanya kazi ya ziada kuokoa mashambulizi ya…

Read More

Sare yambeba kipa Madagascar | Mwanaspoti

KIPA wa Madagascar, Michel Ramandimbozwa aliibuka shujaa baada ya kuiongoza timu yake kulazimisha suluhu dhidi ya Mauritania, licha ya kucheza wakiwa pungufu kutokana na kuonyeshwa kwa kadi nyekundu ya kwanza katika mashindano hayo. Ramandimbozwa, ambaye aliibuka kuwa Mchezaji Bora wa mechi, aliwavutia wengi kwa ubora wake langoni na alifanya kazi ya ziada kuokoa mashambulizi ya…

Read More

KAABI: Kutoka CHAN hadi mfungaji bora Ulaya

KADRI mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani yakianza leo, majina ya mastaa kadhaa yamekuwa yakikumbukwa lakini kubwa zaidi ni la mwamba wa Morocco Ayoub El Kaabi aliyetumia michuano hii kama njia ya kutua Ulaya na sasa imebaki historia.  El Kaabi, mshambuliaji wa Morocco, alivuma kupitia CHAN 2018, na mafanikio hayo yakamfungulia…

Read More

Pamba Jiji yamkomalia Kelvin Nashon

UONGOZI wa Pamba Jiji uko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa kiungo wa Singida Black Stars, Kelvin Nashon, baada ya kikosi hicho kushindwa kufikia makubaliano ya kuipata saini ya nyota huyo katika dirisha dogo la Januari 2025. Nyota huyo alishindwa kufikia makubaliano binafsi na kikosi hicho katika dirisha dogo, ingawa kwa sasa mazungumzo…

Read More

Mwashilindi anukia Mtibwa Sugar | Mwanaspoti

KLABU ya Mtibwa Sugar inakaribia kuipata saini ya kiungo wa maafande wa Tanzania Prisons, Ezekia Mwashilindi, baada ya nyota huyo kufanya mazungumzo na timu hiyo, ambayo hadi sasa yanaendelea vizuri ili kukitumikia kikosi hicho msimu ujao. Nyota huyo wa zamani wa Singida BS, kwa sasa ni mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake na Prisons,…

Read More

Straika Mkenya arudishwa Simba Queens

BAADA ya Simba kumpa mkono wa kwaheri wiki chache zilizopita mshambuliaji raia wa Kenya, Jentrix Shikangwa inadaiwa yupo njiani kurejeshwa kikosini kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) na michuano mingine ya ndani ya soka la wanawake. Julai 15 mwaka huu, Simba ilitangaza kuachana na mshambuliaji huyo wa zamani wa Vihiga…

Read More

Beki Mtanzania ajumuishwa Morocco | Mwanaspoti

ALIYEKUWA nahodha wa Simba Queens, Violeth Nickolaus amejumuishwa kwenye kikosi cha FC Masar ambacho kipo Morocco kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu ya Wanawake ya Misri. Hadi sasa Masar haijamtambulisha nyota huyo wa timu ya taifa ya wanawake, Twiga Stars, licha ya yeye mwenyewe kubadilisha utambulisho wake kwenye mitandao ya kijamii…

Read More

Chama la Mmombwa latolewa UEFA

CHAMA la kiungo Mtanzania, Charles Mmombwa, Floriana FC imetolewa kwenye michuano ya kufuzu kucheza Europa Conference League baada ya kulazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Balkani. Timu hiyo ilipata nafasi ya kushiriki mechi za mtoano za michuano mikubwa Ulaya baada ya kumaliza nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya Malta, maarufu kama…

Read More