Geay aula Berlin Marathon 2025

MWANARIADHA nyota wa kimataifa wa Tanzania, Gabriel Geay ni miongoni mwa mastaa 13 ambao wamepewa mwaliko wa kushiriki mbio za Berlin Marathon 2025, Ujerumani. Mbio hizo zitafanyika Septemba 21 na Geay anayeshikilia rekodi ya taifa ya mbio ndefu kwa muda wa saa 2:03:00 aliyoiweka katika Valencia Marathon miaka mitatu iliyopita atashiriki kwa mara ya kwanza….

Read More

Kipa wa KVZ azitosa mbili Bara

KIPA tegemeo wa KVZ anayeidakia pia timu ya taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes, Suleiman Said Abraham amezikacha timu mbili za Ligi Kuu Bara, Tabora United na Pamba Jiji na kutua Namungo. Namungo imefanikiwa kunasa saini ya kipa huyo, baada ya kuzizidi ujanja Tabora na Pamba ambazo nazo zilikuwa zikimwinda kwa muda mrefu. Suleiman amemwaga wino…

Read More

Kanuni za kutoboa Chan 2024

SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF), limezianika kanuni za mashindano ya CHAN 2024 upande wa kusaka timu mbili kutoka kila kundi zitakazofuzu hatua ya robo fainali. Mashindano hayo yanayoshirikisha jumla ya timu 19 ambazo zimegawanywa katika makundi manne, yalianza Jumamosi ya Agosti 2 mwaka huu kwa mchezo wa ufunguzi kati ya wenyeji Tanzania dhidi ya Burkina…

Read More

Huko Yanga bado mmoja tu!

YANGA imeshaanza maandalizi ya msimu mpya wa mashindano kwa mwaka 2025-26 na jana Jumapili mazoezi ya timu hiyo yalisitishwa kidogo kisha kufanyika kikao kizito kati ya mabosi wa klabu hiyo na mastaa wa timu hiyo huku mashine moja tu ikikosekana ukiacha wale walioko timu ya Taifa. …

Read More

Mido Mkenya, Sowah wainogesha kambi

KIKOSI cha Simba leo Jumatatu kinaingia siku ya tano kikiwa kambini katika jiji la Ismailia, Misri kujiandaa na msimu mpya na kikosi hicho kimepokea kundi lingine la wageni na wenyeji wakiwa huko na kuna mashine mbili mpya zilizoongeza mzuka. Msafara wa kwanza wa…

Read More

Huwel aja na gari la ubingwa wa dunia

GARI maalumu kwa ajili ya mashindano ya dunia (World Rally Championship) linatarajiwa kuwa kivutio kikubwa katika raundi ya tatu ya mbio za ubingwa wa Taifa zitakazochezwa Morogoro hivi karibuni. Dereva kutoka Iringa, Ahmed Huwel ndiye ataendesha gari hilo, Toyota GR Yaris ambalo ni ingizo la kisasa zaidi katika raundi hii inayobeba bango la Mkwawa Rally…

Read More

Morocco: Mwanzo mzuri, ila bado tuna kazi

BAADA ya timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kuanza vyema fainali za Ubingwa wa Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN), kocha wa kikosi hicho, Hemed Suleiman ‘Morocco’, amesema huo ni mwanzo tu, ingawa mambo mazuri zaidi yanakuja. Morocco amezungumza hayo baada ya timu hiyo kuanza vyema michuano hiyo kwa kuifunga Burkina…

Read More

Kocha awataja Fei Toto, Kagoma

KOCHA wa Burkina Faso, Issa Balbone amesema viwango vilivyoonyeshwa na nyota wa Taifa Stars, Feisal Salum ‘Fei Toto’ na Yusuf Kagoma, ndiyo sababu ya kuanza vibaya katika michuano ya Fainali za Ubingwa wa Mataifa Afrika kwa wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN). Timu hiyo ilianza vibaya michuano hiyo baada ya kuchapwa mabao 2-0, katika mechi…

Read More

Mzambia aichomolea Namungo | Mwanaspoti

WAKATI mabosi wa Namungo wakimpigia hesabu za kumrejesha aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Mzambia Hanour Janza kwa ajili ya kukinoa kikosi hicho kwa msimu ujao, dili hilo huenda likakwama rasmi baada ya kushindwa kufikia makubaliano mapya. Janza alikuwa katika mazungumzo na uongozi wa Namungo ili kuja kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na kocha Juma Mgunda, aliyeondoka,…

Read More

Clara Luvanga, Chelsea kuna kitu

CHELSEA ambayo ni bingwa wa Ligi Kuu ya wanawake ya England, Chelsea imeelezwa imevutiwa na kiwango cha mshambuliaji wa Kitanzania, Clara Luvanga anayekipiga Al Nassr ya Saudi Arabia. Tayari Luvanga ameichezea Al Nassr misimu miwili tangu aliposajiliwa mwaka 2023 akitokea Dux Logrono ya Hispania, aliyocheza kwa miezi mitatu tu na kupata shavu hilo. Mmoja wa…

Read More