Vita ya mabingwa wa CAF yaanza upya!

Achana na Kariakoo Dabi itakayopigwa kuanzia saa 11:00 jioni kwa vigogo Simba na Yanga kuvaana kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, saa moja kabla huko Lubumbashi, DR Congo kutakuwa na vita ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya wenyeji TP Mazembe dhidi ya watetezi Al Ahly ya Misri. Baada ya pambano hilo la…

Read More

Neema ya Kariakoo Dabi kiuchumi

Achana na burudani wanayopata mashabiki wa soka nchini inapokuja Dabi ya Kariakoo, lakini ukweli, pambano hilo la watani wa jadi nchini, limekuwa na neema kubwa kwa wachuuzi na wafanyabiashara waliopo kando ya Uwanja wa Benjamin Mkapa na maeneo ya jirani. Wakati leo pambano hilo likitarajiwa kupigwa kuanzia saa 11:00 jioni tayari wafanyabiashara wadogo wadogo na…

Read More

Jumamosi yaibeba Yanga Kariakoo Dabi

MASHABIKI wa Yanga na Simba tayari viroho vimeanza kuwadunda, wakati wakiendelea kuhesabu siku kabla ya timu zao kushuka katika pambano la Ligi Kuu Bara litakalopigwa Jumamosi hii ya Aprili 20, kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam. Kitendawili cha nani mbabe kitateguliwa Jumamosi hii ingawa Yanga inaingia katika mchezo huo ikiwa na morali…

Read More

Singida FG, Mashujaa vita ya matumaini

KESHO Jumapili Singida Fountain Gate na Mashujaa FC zitakuwa na kibarua cha kusaka pointi tatu za matumaini ya kubaki Ligi Kuu Bara na kumaliza nafasi za juu kwenye msimamo zitakapokutana katika Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza kuanzia saa 10:00 jioni. Kocha Msaidizi wa Mashujaa FC, Makatta Maulid (kushoto) na mchezaji wa timu hiyo Shadrack Ntabindi wakizungumzia…

Read More

Aliyetishia Kariakoo Dabi mtandaoni adakwa na Polisi

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Abdulshahib Hegga ‘GB64’ kwa tuhuma za kuhamasisha watu kufanya vurugu katika mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga na Simba kesho. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne amesema shabiki huyo maarufu wa Simba…

Read More

Wakongwe: Ni Dabi ya suluhu au sare

 Mastaa waliowahi kuzichezea Simba na go Yanga wametoa utabiri wa mechi ya Kariakoo Dabi ya Ligi Kuu Bara inayopigwa kesho, Jumamosi, uwanjani Benjamin Mkapa, wengi wao wakiiona suluhu au sare. Mzunguko wa kwanza Simba ikiwa mwenyeji wa mchezo ilifungwa mabao 5-1, lakini pamoja na hilo mastaa hao hawaoni kama linaweza likajirudia. Mwanaspoti limefanya mahojiano na…

Read More

Aprili inavyoibeba Simba Kariakoo Dabi

MASHABIKI wa Simba na Yanga tayari viroho vimeanza kuwadunda, wakati wakiendelea kuhesabu siku kabla ya timu zao kushuka katika pambano la Ligi Kuu Bara litakalopigwa Jumamosi hii ya Aprili 20, kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Hili litakuwa pambano la 112 kwa timu hizo kukutana katika Ligi Kuu Bara tangu mwaka 1965,…

Read More

Mambo 3 yanaibeba Yanga SC

JUMAMOSI ya wiki hii, inapigwa Kariakoo Dabi kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Yanga itakuwa mwenyeji wa Simba ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara. Kuanzia saa 11:00 jioni, ndiyo mchezo huo unatarajiwa kufanyika na kila upande unazihitaji alama tatu ili kujiwekea mazingira mazuri kunako ligi hiyo inayoelekea ukingoni. Yanga na Simba kila mmoja ameutolea macho…

Read More

Kalaba apata nafuu, aanza kuzungumza, kula

ALIYEKUWA nyota wa  TP Mazembe na timu ya taifa ya Zambia, Rainfold Kalaba  amerejewa na fahamu na sasa anaweza kuzungumza na kula. Akitoa taarifa hiyo leo Ijumaa, Ofisa Uhusiano wa University Teaching Hospital (UTH), Nzeba Chanda, amesema kwamba Kalaba baada ya kupata nafuu amefanikiwa kupata mlo wa kwanza tangu ajali hiyo ilipotokea Jumamosi iliyopita. “Hali…

Read More

Azam FC yasajili beki kutoka Mali

AZAM FC imefikia makubaliano na Akademi ya Yeleen Olympique ya Mali kwa ajili ya kumnunua mchezaji wa kimataifa wa nchi hiyo, Yoro Mamadou Diaby. Mlinzi huyo wa kati ambaye alikuwa kwa mkopo kwenye Klabu ya Stade Malien de Bamako, atajiunga rasmi na Azam FC kuanzia msimu ujao wa 2024/25. Akiwa Stade Malien de Bamako, Yoro…

Read More