Simba inawachora tu kwa Mpanzu

WAKATI tetesi mbalimbali zikidai winga wa Simba, Ellie Mpanzu anaweza kuondoka dirisha hili, taarifa kutoka chanzo cha kuaminika Simba zimesema mchezaji huyo bado yupo sana na kesho Jumapili atatua baada ya awali kuomba udhuru kumaliza mambo akiwa kwao DR Congo. …

Read More

Josiah aziingiza vitani mbili Bara

Namungo na Dodoma Jiji zimeingia vitani kuisaka saini ya aliyekuwa kocha mkuu wa Tanzania Prisons, Aman Josiah, lakini inadaiwa itakayokuwa na mkwanja mnene inaweza ikafanikisha dili hilo kwani kwa sasa kocha huyo hana timu. Chanzo cha ndani kutoka Namungo kilisema uongozi umeshawishika kutaka huduma ya Josiah kutokana na kile alichokifanya akiwa na Prisons msimu uliyopita,…

Read More

Mbeya City yafuata beki Zenji

TIMU za Tanzania Bara zinaendelea kuvuka maji kuja visiwani Zanzibar kufanya usajili wa wachezaji kuboresha vikosi vyao kwa lengo la kujiandaa na msimu ujao wa 2025-26 wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Baada ya Yanga na Tabora United, sasa ni zamu ya Mbeya City kutua visiwani hapa kwa ajili ya kusaka saini ya beki wa KVZ,…

Read More

Beki Simba abariki usajili wa Sowah

BAADA ya kuitumikia Simba kwa misimu miwili na kutimkia USM Alger ya Algeria, beki Fondoh Che Malone ameupongeza uongozi wa timu hiyo kunasa saini ya Jonathan Sowah aliyemtaja ni miongoni mwa washambuliaji bora aliowahi kukutana nao. Che Malone aliyesajiliwa misimu miwili iliyopita kutoka…

Read More

Ibenge: Wiki mbili tu zinatosha

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema wiki mbili jijini Arusha zitatosha kutoa uelekeo wa maandalizi ya msimu mpya, huku akiweka wazi ameona mwanga baada ya kukuutana na wachezaji  na kuzungumza na mmoja mmoja. Azam kabla ya kuondoka jijini mapema leo kwenda Arachuga, walikuwa na siku tatu za maandalizi ambapo kocha alipata nafasi ya…

Read More

Polisi mguu sawa CHAN 2024

Jeshi la Polisi nchini linaeleza limejipanga kwa kiwango cha juu kuhakikisha usalama katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) 2024, huku likionya vikali wale wote watakaotumia mashindano hayo kufanya vitendo vya kihalifu kama wizi, uporaji au uhalifu ndani au nje ya viwanja. Michuano hiyo inatarajiwa kuanza kesho Agosti 2,…

Read More

TTB yaja na ‘tinga CHAN, tinga Tanzania’

SAA 48 kabla ya fainali za Ubingwa wa Nchi za Afrika (CHAN) 2024 kuanza rasmi kwa mechi ya ufunguzi itakayofanyika kesho kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam, Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imezindua kampeni maalumu ya fainali hizo zitakazomalizika Agosti 20. Fainali hizo za nane zinazofanyika kwa mara ya kwanza Afrika Mashariki ikiandaliwa…

Read More

Mzize hatihati ufunguzi Chan 2024

STRAIKA tegemeo wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Clement Mzize yupo katika hatihati ya kucheza mechi ya ufunguzi ya fainali za michuano ya Kombe la Ubingwa kwa Mataifa ya Afrika (Chan) 2024 dhidi ya Burkina Faso. Fainali hizo za Nane tangu kuasisiwa kwa michuano hiyo inatarajiwa kuanza rasmi kesho Jumamosi kwa pambano la…

Read More

Morocco: Tupo tayari, tukutane Kwa Mkapa

KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kesho Jumamosi kitashuka uwanjani katika mechi ya ufunguzi ya michuano ya Fainali za Kombe la Ubingwa wa Nchi za Afrika (Chan) 2024 dhidi ya Burkina Faso, huku kocha wa timu hiyo, Hemed Suleiman ‘Morocco’ akitamba wapo tayari kwa vita. Tanzania ambao ni wenyeji wa fainali hizo…

Read More

Simba yampa miwili kiungo Mkenya

SIMBA inaendelea kushusha vyuma kwa ajili ya msimu ujao na safari hii imekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji wa Ulinzi Starlets, Fasila Adhiambo kwa mkataba wa miaka miwili. Huu utakuwa usajili wa nne kwa Simba Queens baada ya kukamilisha usajili wa beki wa Yanga Princess, Asha Omary, mshambuliaji kutoka Rwanda, Zawadi Usanase na kipa Mganda, Ruth…

Read More