Mbangula naye anajishangaa | Mwanaspoti

WAKATI wadau na mashabiki wakijiuliza kasi ya straika wa Tanzania Prisons, Samson Mbangula kupungua, mwenyewe amesema naye anashangaa kwanini hafungi tangu alipoifunga Simba. Mbangula alikuwa na muendelezo mzuri wa kufunga mabao lakini tangu amefunga mabao mawili dhidi ya Simba, Machi 6 mwaka huu wakati Tanzania Prisons iliposhinda 2-1, hajaingia tena wavuni. Staa huyo ambaye ni…

Read More

Mpole, Ninja wasaka nafasi za CAF

WATANZANIA wanaochezea soka Ligi Kuu ya DR Congo, mshambuliaji George Mpole (FC Lupopo) na beki Abdallah Shaibu ‘Ninja’ (Lubumbashi Sport), wamezungumzia namna kazi ilivyo ngumu kuelekea kumaliza msimu huu wa 2023/24. Mpole timu yake inaonekana kuwa na nafasi ya kucheza michuano ya CAF kwani ipo nafasi ya tatu, huku TP Mazembe ikiwa inaongoza ligi, lakini…

Read More

Balua atoboa siri ya mashuti yake

UWEZO wa kupiga mashuti ya mbali, anaoonyesha winga wa Simba, Edwin Balua, nyuma ya pazia anafanya zoezi la kupiga mipira nje ya 18 ya uwanja kabla ya mechi. Katika stori za hapa na pale alizopiga na Mwanaspoti, Balua amesema akiwa mazoezini anapenda  kufunga kwa kupiga mashuti ya mbali, jambo linalomjengea kujiamini wakati wa mechi, kutokuogopa…

Read More

Bosi: Tatizo Geita Gold ni wachezaji

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Mji wa Geita, Yefred Myenzi amesema timu hiyo kutofanya vizuri kwenye Ligi Kuu na kuwaweka kwenye presha ni kutokana na usajili mbovu wa wachezaji. Geita ambao huu ni msimu wao wa tatu Ligi Kuu, kwa sasa hawajawa na matokeo mazuri wakiwa nafasi mbili za mkiani wakikusanya pointi 25 wakisota kwa muda…

Read More

Chilambo atulizwa Azam FC | Mwanaspoti

UONGOZI wa Azam FC, umemuongeza mkataba beki wa kulia, Nathaniel Chilambo ambaye ataendelea kubaki katika viunga vya Azam Complex hadi 2026. Chilambo alijiunga na Azam FC, Julai 6, 2022 akitokea Ruvu Shooting ambayo sasa inashiriki Championship baada ya kushuka Ligi Kuu Bara. Kwa mujibu wa mtandao wa kijamii ‘Instagram’ wa timu hiyo umethibitisha kumuongeza mkataba…

Read More

Msimu wa pili tuzo za wanamichezo BMT Juni 9

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Msimu wa pili wa tuzo za wanamichezo bora za Baraza la Michezo la Taifa (BMT) kwa mwaka 2023 , unatarajia kufanyika Juni 9, 2024, zikihusisha wanamichezo waliofanya vizuri Kimataifa ambapo  jumla ya vipengele 16 vitashindaniwa. Akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 15, 2024 jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa…

Read More

Nabi: Yanga hii itachukua sana Bara 

KOCHA wa zamani wa Yanga, Nasreddine Nabi ametoa tahadhari kwa timu zingine Ligi Kuu Bara kutokana na moto ilionao Yanga akisema kama hazitakaza, basi ubingwa zitausikia katika bomba kwa miaka mingi ijayo. Nabi ambaye msimu uliopita aliumaliza kwa mafanikio akiwa na kikosi hicho kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara, Kombe la Shirikisho (FA), Ngao…

Read More