Bado Watatu – 17

“HEBU eleza tukio lilivyotokea.” Akaniambia kwamba yeye alikuwa muuguzi wa hospitali ya Bombo ambayo ni ya mkoa. Jana yake alikuwa na zamu ya kulala kazini. Lakini aliporudi asubuhi kutoka kazini akakuta wezi wameruka ukuta na kuvunja mlango wa nyuma na kumuibia vitu kadhaa. “Unasema waliruka ukuta wakavunja mlango wa nyuma?” “Ndiyo.” “Wameiba nini?” “Labda niseme…

Read More

Folz ana jambo lake Yanga

YANGA wameliamsha wakianza rasmi leo safari kuelekea kilele cha Wiki ya Mwananchi, lakini kule kambini Kocha Romain Folz akipunguza dozi kidogo huku mastaa wa timu hiyo wakipelekwa kambi moja ya jeshi. Takriban wiki mbili nyuma kule kambini, Yanga ilikuwa ni mwendo wa dozi kali za mazoezi yakifanyika mara mbili kwa siku – kama sio kuanzia…

Read More

APR, Bumamuru katika mechi ya mtego

MIAMBA ya soka la Rwanda, APR itatupa karata yao ya kwanza leo, Jumatano kwenye mashindano ya Kombe la CACAFA Kagame 2025 ambayo yalianza jana,Jumanne kwa kucheza dhidi ya Bumamuru FC ya Burundi huku ikiwa na hesabu ya kutwaa kombe hilo kwa mara ya nne. APR ni miongoni mwa klabu zilizofanikiwa zaidi kwenye Ligi ya Rwanda…

Read More

Benchikha afungua ‘CODE’ za beki Simba

SIMBA imerudi mazoezini ikiendelea kujipanga hapa nchini, lakini kuna kocha mmoja aliyewahi kuinoa timu hiyo ameshtuka aliposikia usajili wa mido mmoja akisema pale Msimbazi wamepata kamanda matata uwanjani. Kocha aliyezungumza hayo ni Abdelhak Benchikha, ameshtuka kusikia kiungo Alassane Kante amesajiliwa na timu hiyo kisha akakumbuka fasta ilikuwa afanye kazi na Msenegali huyo akiwa Misri. Benchikha…

Read More

Uchaguzi ni kama dabi ya Kariakoo

Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 unakuja kwa kasi, na kama kawaida. Maandalizi yamejaa maneno, porojo na hekaya za kila namna. Mtaani tunapishana na mabango, bendera, fulana, khanga na kofia za wagombea. Kwa kawaida kampeni ni kachumbari ya uchaguzi. Kila chama kikipiga tantalila zake, kila mwanasiasa akijiona kuwa staa wa siasa. Na wapiga kura wanamshangilia kama…

Read More

Mgaza atupia mbili Dodoma Jiji ikiibonda Coastal Union

MSHAMBULIAJI wa Dodoma Jiji, Yassin Mgaza, ameendeleza moto wa kucheka na nyavu katika mashindano ya Tanzanite Pre-Season International baada ya kufunga mabao mawili dhidi ya Coastal Union. Mgaza ambaye amefikisha mabao matatu na kuwa kinara wa ufungaji kwenye michuano hiyo, alianza kuziona nyavu za Coastal Union mapema tu dakika ya pili akiitumia vizuri pasi ya…

Read More

Mwalimu aahidi utajiri kwa vijana akiingia Ikulu

Tanga. Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu ameahidi iwapo atachaguliwa kuwa rais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, atahakikisha vijana wa Kitanzania wanakuwa matajiri kupitia njia halali na endelevu. Ameyasema hayo leo Jumanne Septemba 2, 2025 wakati akihutubia wananchi wa kata za Maramba na Mapatano wilayani…

Read More

Deusdedity Okoyo mbioni kujiunga na Mbeya City

UONGOZI wa Mbeya City upo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa Deusdedity Okoyo aliyekuwa akiichezea KMC msimu uliopita ili kuongeza nguvu kwenye eneo la kiungo cha kati. Kama uhamisho wa Okoyo utakamilika atakutana na ushindani wa wachezaji wengine wanaotajwa kujiunga na kikosi hicho Omary Chibada anayedaiwa kutokea Kagera Sugar, Jeremie Ntambwe Nkolomoni ambaye ni…

Read More

Gamondi  aanza na sare Kagame 

KOCHA Miguel Gamondi ameanza na sare akiwa na Singida Black Stars kwenye mashindano ya Kombe la Cecafa Kagame dhidi ya Ethiopian Coffee kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo. Katika mechi hiyo ya kwanza ya kimashindano kwa kocha huyo aliyewahi kuifundisha Yanga, tangu apewa mikoba ya kuongoza kikosi hicho, Singida BS ilionekana kutokuwa na makali katika…

Read More

Jamhuri iko freshi, meneja aita mashabiki

Zikiwa zimebaki takriban wiki mbili na ushei kabla ya kurejea kwa Ligi Kuu Bara, Uwanja wa Jamhuri uliopo mjini Dodoma upo tayari baada ya awali kufungiwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutokana na matatizo mbalimbali. Meneja wa uwanja huo, Hussein Muhondo amesema dimba hilo ambalo linatumiwa na Dodoma Jiji limeshafanyiwa marekebisho na kwamba kwa…

Read More