Dube aing’arisha Yanga ikisogelea kileleni
BAADA ya kuanza kwa kusuasua katika Ligi Kuu Bara msimu huu, sasa Prince Dube amefunga mfululuzo baada ya leo Desemba 7, 2025 kuweka kambani bao moja lililoipa Yanga ushindi wa 1-0 dhidi ya Coastal Union. Dube amefunga bao hilo pekee dakika ya 87 kwa kichwa akiunganisha krosi ya Duke Abuya. Hiyo ilikuwa ni mechi ya…