Kocha Pamba Jiji akiri mambo ni magumu
KOCHA Mkuu wa Pamba Jiji, Francis Baraza amekiri Ligi Kuu Bara msimu huu, presha ni kubwa kwa nafasi iliyopo timu hiyo, huku akitoa mapumziko kwa mastaa hadi Januari 3, mwakani. Pamba Jiji ipo nafasi ya tatu katika msimamo baada ya kucheza mechi tisa ikikusanya pointi 16, ikishinda nne, kutoka sare nne na kupoteza mara moja….