Kocha Pamba Jiji akiri mambo ni magumu

KOCHA Mkuu wa Pamba Jiji, Francis Baraza amekiri Ligi Kuu Bara msimu huu, presha ni kubwa kwa nafasi iliyopo timu hiyo, huku akitoa mapumziko kwa mastaa hadi Januari 3, mwakani. Pamba Jiji ipo nafasi ya tatu katika msimamo baada ya kucheza mechi tisa ikikusanya pointi 16, ikishinda nne, kutoka sare nne na kupoteza mara moja….

Read More

Tatizo Simba ipo hapa, yapewa ujanja kujiokoa mapema

NINI tatizo Simba? Ndilo swali linalozunguka katika vichwa vya mashabiki wa timu hiyo kutokana kukumbana na kipigo cha nne msimu huu ndani ya mechi 12 za mashindano. Juzi, Jumapili, ilikuwa siku mbaya kwa wana Simba kufuatia kufumuliwa mabao 2-0 na Azam FC ikiwa ni siku chache tangu ipoteze mechi mbili mfululizo za makundi ya Ligi…

Read More

Pedro asimulia ya Dube, ampa kazi nzito

MSHAMBULIAJI Prince Dube aliwafaa tena Yanga juzi baada ya kufunga bao pekee katika ushindi wa ugenini wa bao 1-0 dhidi ya Coastal Union, lakini kocha wa timu hiyo, Pedro Goncalves amesimulia namna walivyopambana kumrudisha mchezoni Mzimbabwe huyo. Yanga ilipata ushindi huo usiku kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma kwa bao la dakika ya 88 kupitia…

Read More

TPLB yatembeza rungu wamo waamuzi, makamishna

KAMATI ya Usimamizi wa Ligi Kuu Bara imeshusha adhabu Mbeya City, Namungo, Coastal Union, waamuzi na maofisa wengine. Adhabu ya Mbeya City imewakumba mastaa wawili Gabriel Mwaipola akifungiwa mechi tano sambamba na faini ya Sh5 milioni kufuatia kosa la kumpiga kwa kiwiko Rajab Mfuko wa Namungo wakati timu hizo zilipokutana. Vitalis Mayanga amekumbana na adhabu…

Read More

Nahodha Geita Gold awashtua wenzake

NAHODHA Msaidizi wa Geita Gold, Saidy Mbatty amewataka wachezaji wenzake kuendelea kucheza kwa ushirikiano mkubwa hadi mwisho wa msimu, kwani kwa kufanya hivyo itakuwa ni njia nzuri ya kufanikisha malengo ya kuirejesha timu hiyo Ligi Kuu. Nyota huyo aliyejiunga na kikosi hicho msimu huu akitokea Fountain Gate, amesema mwenendo wa timu ni mzuri, ingawa wanahitaji…

Read More

Mchakato wa kocha mpya Simba, pande mbili zakutanishwa mezani

MABOSI wa Simba wakiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Crescentius Magori, muda wowote kuanzia kesho Jumatatu wataitisha kikao kizito ili kuamua hatma ya kocha mpya, huku kukiwa na pande mbili za msako wa kubeba mikoba ya Dimitir Pantev aliyeondoka hivi karibuni. Awali Mwanaspoti lilipenyezewa taarifa kwamba Simba kupitia kigogo wa zamani wa klabu hiyo,…

Read More

WPL mzigo umerudi, mechi tatu kupigwa

MZIGO wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) umerudi tena kwa mechi tatu kutarajiwa kuchezwa kesho Jumatatu Desemba 8, 2025, ikiwamo ile ya watetezi wa taji JKT Queens itakayokuwa inakula kiporo dhidi ya Bunda Queens. Mechi nyingine za kesho katika ligi hiyo ni Alliance Girls dhidi ya Fountain Gate Princess, kikiwa pia ni kiporo, huku Tausi…

Read More

Siku 637 za Manula, Simba, Yanga zaguswa Bara

KIPA Aishi Manula amerejea uwanjani akiea na jezi ya Azam. Kwa mara ya kwanza kocha Florent Ibenge alimtumia katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa Desemba 3, 2025 dhidi ya Singida Black Stars na jamaa akatoka na clean sheet baada ya timu hizo kushindwa kufungana. Sasa kama hujui ni kwamba mechi hiyo ilihitimisha siku 637…

Read More