Dube aing’arisha Yanga ikisogelea kileleni

BAADA ya kuanza kwa kusuasua katika Ligi Kuu Bara msimu huu, sasa Prince Dube amefunga mfululuzo baada ya leo Desemba 7, 2025 kuweka kambani bao moja lililoipa Yanga ushindi wa 1-0 dhidi ya Coastal Union. Dube amefunga bao hilo pekee dakika ya 87 kwa kichwa akiunganisha krosi ya Duke Abuya. Hiyo ilikuwa ni mechi ya…

Read More

Azam FC yaifumua Simba kwa Mkapa

Mechi bora ya Ligi Kuu Bara imepigwa leo kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam na Azam kumaliza ubabe wa Simba kwa kuichapa mabao 2-0. Huu ulikuwa mchezo muhimu kwa timu zote kuhakikisha zinajiweka kwenye mazingira mazuri kwenye Ligi Kuu lakini pamoja na kosakosa za kila mara bado timu zote zilishindwa kutikisa nyavu  katika…

Read More

Nsajigwa atoboa siri Transit Camp

KOCHA Mkuu wa Transit Camp, Shadrack Nsajigwa amesema kucheza mechi tano ugenini msimu huu bila ya kupoteza ni ishara ya ukomavu kwa wachezaji wa timu hiyo, licha ya ushindani mkubwa wanaoupata kutoka kwa wapinzani mbalimbali. Akizungumza na Mwanaspoti, nyota huyo wa zamani wa Yanga na timu ya taifa ya Taifa Stars, amesema sio rahisi kucheza…

Read More

Chama la Mtanzania hali tete Oman

CHAMA la mshambuliaji wa Mtanzania Mgaya Ally (Salalah SC), linaloshiriki Ligi Daraja la Kwanza Oman liko kwenye hali mbaya katika msimamo wa ligi. Mgaya alijiunga msimu huu kwa mkataba wa mwaka mmoja akitokea Coastal Union ya Tanga ambako nako alitumikia nusu msimu. Hadi sasa ligi hiyo imepigwa mechi 26 na Salalah iko mkiani mwa msimamo…

Read More

Zuwena Zizou abaini haya Sierra Leone

KIUNGO wa Mogbwemo Queens, Mtanzania Zuwena Aziz ‘Zizou’ amesema amebaini vitu tofauti tangu alipojiunga na chama hilo linaloshiriki Ligi Kuu ya Wanawake Sierra Leone. Kiungo huyo alijiunga na timu hiyo akitokea Tausi (zamani ikiitwa Ukerewe Queens) ambako alidumu msimu mmoja akiipandisha katika Ligi Kuu ya Wanawake Bara. Akizungumza na Mwanaspoti, Zizou amesema amepokelewa vizuri na…

Read More

Mabula ataja sababu ya kutoanza vizuri Azerbaijan

KIUNGO wa Shamakhi FC, Alphonce Mabula ameeleza sababu za timu hiyo kutoanza vizuri katika Ligi Kuu Azerbaijan msimu huu, akitaja ugumu wa ligi hiyo na ushindani uliopandishwa na timu zinazoshiriki mashindano ya Ulaya. Shamakhi imecheza mechi 13, ikishinda tatu, kutoka sare tano na kupoteza tano, rekodi ambayo imekuwa ikiwatia presha mashabiki. Akizungumza na Mwanaspoti, Mabula…

Read More

Ni dhahir sasa, Gamondi haiwezi TRA United

KOCHA wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi ni kama haiwezi TRA United (zamani Tabora United) baada ya jana jioni kuendeleza rekodi mbovu mbele ya Watoza Ushuru hao kwa kukubali kichapo cha mabao 3-1 kwenye Uwanja wa KMC Complex Mwenge jijini Dar es Salaam. Kama hujui TRA enzi ikiwa Tabor United ndio iliyompoza Gamondi akapoteza kibarua…

Read More

Siri ya Geita Gold ikisaka pointi 12

GEITA Gold inazidi kuchanja mbuga katika vita ya kupanda daraja kwenda Ligi Kuu msimu huu, huku ikiendelea kugawa vichapo kwa wapinzani na kutuma ujumbe kuwa imejipanga vyema kwa safari hiyo mpya. Timu hiyo inaongoza Ligi ya Championship ikiwa na alama 22 katika michezo minane ikiwa imeshinda saba na sare moja ikifunga mabao 18 na kuruhusu…

Read More

Sikia simulizi ya Bajaber simba

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Mohamed Bajaber amesimulia namna alivyokuwa anapitia wakati mgumu kipindi alipokuwa anasumbuliwa na majeraha na ilibaki kidogo aondolewe kikosini bila kuonja mechi ya mashindano. Japokuwa Bajaber alikiri wachezaji wenzake walikuwa wanampa moyo, lakini hilo halikumuondolea kujisikia vibaya na kutamani itokee siku moja acheze mechi ya Ligi Kuu Bara kama alivyopata nafasi dhidi…

Read More

Beki Mtanzania anapambania namba Taifa Stars

BEKI raia wa Tanzania, Jackson Kasanzu anayekipiga Tormenta FC ya Marekani baada ya kuitwa kwa mara ya kwanza kwenye kikosi cha timu ya taifa ‘Taifa Stars’ kitakachowania Fainali ya Mataifa ya Afrika (AFCON), kwake ni jambo la fahari. Fainali hizo zitakazofanyika nchini Morocco kuanzia Desemba 21, 2025 hadi Januari 18, 2026, timu ya taifa ya…

Read More