Baraza aanza na kipa, atoa sababu

BAADA ya kutua Pamba kuchukua mikoba ya Fred Felix ‘Minziro’, Mkenya Francis Baraza ameutaka uongozi wa klabu hiyo kuhakikisha wanambakiza kipa namba moja wa timu hiyo, Yona Amos. Baraza aliyeingia makubaliano ya mwaka mmoja kuinoa Pamba, alitambulishwa rasmi juzi Julai 30, 2025, katika ofisi za halmashauri ya Jiji la Mwanza. Baraza aliyewahi kuzinoa Dodoma Jiji,…

Read More

Fountain Gate yambeba kocha Mnigeria

MABOSI wa Fountain Gate wapo katika mazungumzo ya kumuajiri aliyekuwa kocha mkuu wa 1472 FC ya Nigeria, Ortega Deniran, ili kukiongoza kikosi hicho msimu ujao akichukua nafasi ya Mohamed Ismail ‘Laizer’ aliyekuwa akikaimu nafasi hiyo kumalizia msimu uliopita. Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa timu hiyo, zimeliambia Mwanaspoti Ortega ambaye ni raia wa Nigeria amepewa…

Read More

Sina wasiwasi na Minziro, Maxime

WAKATI timu zao zikikaribia kuanza maandalizi ya msimu mpya, Dodoma Jiji na Pamba Jiji  zimefanya uamuzi unaofanana kama majina yao yalivyo mwishoni. Zote zimevunja mabenchi yao ya ufundi ambayo yameziongoza timu hizo katika msimu uliopita na zimeingiza sura mpya ambazo zitazinoa katika msimu unaokuja wa 2025/2026. Dodoma Jiji imeachana na Mecky Maxime aliyeiongoza timu hiyo…

Read More

TPBRC yaja kivingine, yakomalia afya za mabondia 

KAMISHENI ya Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBRC) imesema ili  kuhakikisha mchezo huo unafika mbali wanapaswa kutambua na kufahamu rekodi za afya za mabondia kabla  na baada ya kupigana.  Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Kamisheni hiyo, Emmanuel Saleh wakati alipokuwa katika hafla ya kusaini mkataba wa miaka mitatu na hospitali ya Hitech Sai wenye lengo la…

Read More

Yanga kazi imeanza! | Mwanaspoti

MABOSI wa Yanga wameshamaliza kazi ya kusajili majembe ya maana kwa kikosi cha msimu ujao wa mashindano, ikiwamo kushusha makocha wapya katika benchi la ufundi na leo benchi hilo chini ya kocha Romain Folz linaanza rasmi kazi ya kukinoa kikosi hicho kwa maandalizi ya msimu mpya. …

Read More

Hongera Mfaume huo ndiyo uanamichezo sasa

JUMAMOSI ya wiki iliyopita mapambano ya ngumi yaliyopigwa pale katika Viwanja vya Leaders Kinondoni yaliacha mijadala mikubwa baada ya kumalizika kwake. Mapambano mawili ndio yalijadiliwa sana ambayo moja ni la Mfaume Mfaume dhidi ya Kudakwache Banda kutoka Malawi na lingine lilikuwa la Ibrahim Classic dhidi ya Ramadhan Nassibu. Mfaume aliibuka mshindi kwa pointi dhidi ya…

Read More

Simba yatanguliza jina la kipa…

MSAFARA wa kwanza wa Simba tayari umeshatua kambini jijini Ismailia, Misri, lakini kuna kitu kimefanywa na mabosi wa klabu hiyo kinachoonyesha namna gani walivyopania msimu ujao wa mashindano kwa kuamua kutanguliza majina ya kipa na beki wa kati kambini humo mapema. Simba iliondoka nchini jana Jumatano kwa msafara wa kwanza ukiwa na baadhi ya nyota…

Read More

Tuungane kwa ajili ya Taifa Stars CHAN

KESHOKUTWA ndiyo siku muhimu na kubwa katika soka letu hapa Tanzania ambalo ni mechi ya ufunguzi wa Fainali za CHAN baina ya Taifa Stars na Burkina Faso pale katika Uwanja wa Benjamin Mkapa. Sisi hapa kijiweni tumefurahia sana kusikia mechi hiyo imepangwa kuchezwa kuanzia saa 2:00 usiku kwa sababu tunaamini ni muda sahihi ambao watu…

Read More