TABORA UNITED KUWAKARIBISHA MASHUJAA FC KESHO MWINYI
Kikosi cha Timu ya Tabora United kesho kitashuka katika Uwanjawa wa Ali Hassan Mwinyi kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC soka Tanzania Bara dhidi ya Mashujaa FC ya Mkoani Kigoma utakaochezwa saa nane kamili mchana. Nyuki hao wa Tabora wanarudi kwenye Uwanja wa nyumbani baada ya kuwa nje kwa takribani siku 11…