Simba yamvutia waya Ibenge, bosi wa Nabi nae yumo

JINA la kocha wa Al Hilal, Florent Ibenge (62) linatajwa kupewa kipaumbele cha kwanza na mabosi wa Simba kumrithi Abdelhak Benchikha aliyeondoka mwishoni mwa mwezi uliopita lakini wakati wakiendelea kujifikiria zaidi, bosi wa zamani wa Kocha Nasreddine Nabi naye amewasilisha maombi mezani akiomba kupewa kibarua cha kuinoa timu hiyo. Uongozi wa Simba ulikuwa na hamu…

Read More

Shungu: Beki mpya Yanga ni mtu na nusu

WAKATI Yanga ikibakiza hatua chache kumalizana na beki wa kushoto wa FC Lupopo, Chadrack Boka, Raul Shungu amewaambia ; “Ni bonge ya beki.” Kocha huyo ambaye amewahi kuifundisha Yanga kwa mafanikio miaka ya tisini, ameliambia Mwanaspoti kwa njia ya simu kuwa, Boka ni beki wa maana na kama Yanga itamnasa itakuwa imezipiga bao timu nyingi…

Read More

Mibuyu hii sasa inang’oka Msimbazi

WAKATI Simba ikiendelea kupiga hesabu za kumaliza msimu na kuanza usajili mkubwa ikiwemo kumshusha kocha mkuu mpya baada ya Abdelhack Benchikha kuondoka, kuna mibuyu itang’oka punde na mingine itajivunja. Hali hiyo inatokea wakati Simba ikikabiliwa na kibarua cha kushinda mechi nane za ligi kuanzia ile ya Ijumaa iliyopita dhidi ya Mtibwa Sugar ili kuwania nafasi…

Read More

Azam FC ni kitu baada ya kitu

WAKATI vita kati ya Azam FC na Simba ikiendelea kusaka nafasi ya pili katika Ligi Kuu Bara, matajiri wa Dar es Salaam wanaendelea na kusuka kikosi chao baada ya kushusha beki na kiungo, huku nyota wawili wa kigeni Wasenegali Malickuo Ndoye na Cheikh Sidibe wakitajwa kupisha usajili mpya. Azam FC imesajili viungo wawili, Franck Tiesse…

Read More

Yanga Princess yaipa sita Ceasiaa Queens

CEASIAA Queens imesema pamoja na ugumu wa Ligi Kuu ya Wanawake, lakini kuifunga Yanga Princess nje na ndani imewapa kujiamini kuhakikisha msimu huu wanamaliza tatu bora. Timu hiyo ya mjini Iringa inashiriki ligi hiyo kwa msimu wa nne, ambapo mwaka huu imeonekana kuwa imara ikiwa imekusanya pointi 26 na kuwa nafasi ya tatu ikiachwa alama…

Read More

Mahakama yamtaka Mwakinyo kwenye usuluhishi

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imefikia uamuzi wa kulipeleka shauri la kesi ya madai inayomkabili bondia Hassan Mwakinyo dhidi ya mdai Kampuni ya PAF Promotion katika usuluhishi ambapo imemtaka mdaiwa na mdai kufika bila kukosa keshokutwa Ijumaa. Kesi hiyo ambayo juzi ilikuwa maalumu kwa ajili ya kutajwa katika usuluhishi mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Rahim…

Read More

Simba wakomaa na Mgunda, wakiipa ubingwa Yanga

‘Apewe timu’. Ni kauli ya baadhi ya viongozi wa Simba wakielezea kazi nzuri anayoonyesha Kocha Mkuu wa muda wa timu hiyo, Juma Mgunda wakisema kwa sasa aendelee kuaminiwa hadi mwisho wa msimu, huku wakikiri ubingwa kuwa mgumu. Mgunda alikabidhiwa timu hiyo akichukua mikoba ya Abdelakh Benchikha aliyeomba kuondoka kikosini kwa madai ya majukumu ya kifamilia…

Read More