Straika Simba anukia Mbeya City

Mbeya City imetuma maombi ya kumuhitaji mshambuliaji wa Simba, Valentino Mashaka baada ya nyota huyo kushindwa kupenya katika kikosi cha kwanza, mbele ya washambuliaji wenzake kikosini humo, Leonel Ateba na Steven Dese Mukwala. Mashaka aliyejiunga na Simba Julai 5, 2024 akitokea Geita Gold, ameshindwa kuingia moja kwa moja katika kikosi cha timu hiyo chini ya…

Read More

Yanga yashusha beki kutoka Ulaya

INAELEZWA huenda Yanga Princess ikakamilisha usajili wa beki wa kati raia wa Nigeria, Akudo Ogbonna, akitokea IFK Kaimal inayoshiriki Ligi Kuu nchini Sweden. Mbali na Akudo, lakini inaelezwa Yanga Princess imemalizana na aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Simba, Precious Christopher na Ritticia Nabbosa. Akizungumza na Mwanaspoti, mmoja wa watu wa karibu wa mchezaji huyo alisema tayari…

Read More

Kante, Msauzi wapewa siku 28 Simba

KLABU ya Simba imeanza rasmi maandalizi ya msimu mpya wa 2025/26 kwa kuondoka nchini jana Jumatano kwenda Ismailia, Misri kwa kambi ya wiki nne ikiwa ni sawa na siku 28 ili kunoa makali ya nyota wa kikosi hicho wakiwamo wapya Alassane Kante na beki Msauzi, Rushine De Rueck. …

Read More

TTB yaja ya tinga Chan, tinga Tanzania

SAA 48 kabla ya fainali za Ubingwa wa Nchi za Afrika (CHAN) 2024 kuanza rasmi kwa mechi ya ufunguzi itakayofanyika kesho kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam, Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imezindua kampeni maalumu ya fainali hizo zitakazomalizika Agosti 20. Fainali hizo za nane zinazofanyika kwa mara ya kwanza Afrika Mashariki ikiandaliwa…

Read More

Mwandishi Mwanaspoti apewa cheti cha Heshima na Ubalozi wa Marekani

MWANDISHI wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited ambaye amekuwa akiandikia gazeti namba moja la michezo Tanzania, Mwanaspoti, Nevumba Abubakar, ameandika historia mpya katika taaluma yake baada ya kutunukiwa cheti cha heshima na Ubalozi wa Marekani, ikiwa ni sehemu ya kutambua umahiri wake kwenye utengenezaji wa maudhui ya kidigitali. Nevumba amekuwa mmoja wa vijana wachache waliobahatika…

Read More

Camara alivyoruka viunzi mkataba mpya

LICHA ya kuwa kipa bora wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2024/25 kwa takwimu na hata ushindani wa kimataifa, Moussa Camara alijikuta kwenye sintofahamu kuhusu hatma yake ndani ya Simba. Tishio la kupigwa chini lilikuwa wazi, si kwa sababu ya kuruhusu mabao 13 kwenye ligi, bali kwa sababu ya mfululizo wa makosa katika mechi muhimu…

Read More