Mboni Masimba amrudisha jukwaani Bi Mwanahawa Ally 

Mkurugenzi wa Kampuni ya Chocolate Princess,Mboni Masimba, amemrudisha jukwaani mkongwe wa Taarabu nchini, Mwanahawa Ally aliyetangaza kustaafu kuimba mwaka jana. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mboni amesema,  anatarajia kufanya tamasha la mkesha wa muziki wa taarabu litakalohusisha wakali wasanii wa muziki huo nchini akiwemo Mwanahawa Ally, Agosti 28 kwenye Viwanja vya…

Read More

Mandonga atamba na ngumi kusanyakusanya Tabora

BONDIA machachari wa ngumi za kulipwa nchini  Kareem Mandonga  sambamba na wenzao wamepimwa uzito leo kwa ajili ya mapambano yatakayofanyika kesho Jumamosi, huku bondia huyo akitamba na ngumi mpya iitwayo ‘Kusanyakusanya’. Mandonga na wenzao wanatarajia kupigana kesho usiku katika  ‘Usiku wa Mabingwa wa Tabora’ ambapo Mkuu wa Wilaya ya Tabora, Upendo Belti Wella kwa niaba…

Read More