Mechi tisa za Mgunda kutembeza boli hizi hapa
JUMA Mgunda na Seleman Matola wanaanza kibarua chao ndani ya Simba Jioni hii. Lakini ana mechi tisa mkononi ambazo atalazimika kutembeza boli kwa namna yoyote ile kutetea hadhi ya Simba kwenye Ligi Kuu Bara. Matokeo ya mechi hizo ndiyo yaliyobeba hatma ya Simba msimu ujao kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika kwani ili washiriki lazima wabaki…