DILI MOJA LA KIBABE | Mwanaspoti

UHAMISHO wa Luis Diaz kwenda Bayern Munich utaibua mshikemshike kwenye klabu nyingi za Ligi Kuu England zitakapopigana vikumbo huko sokoni. Supastaa huyo wa kimataifa wa Colombia, 28, ameachana na Liverpool ili kwenda kukipiga Bayern Munich kwa dili la uhamisho wa Pauni 65.5 milioni. Kutokana na dili hilo la Diaz kwenda Ujerumani, Liverpool sasa itapambana kunasa…

Read More

Ibenge asaka mrithi wa Fei Toto

WAKATI tetesi za kiungo wa Azam, Feisal Salum ‘Fei Toto’ zikizidi kuwa nyingi kwamba huenda akajiunga na Simba au Yanga, kocha mpya wa kikosi hicho Florent Ibenge amejiandaa kwa lolote. Ibenge ambaye ametua Azam akitokea Al-Hilal ya Sudan ndiye atakayekiongoza kikosi hicho msimu ujao akirithi mikoba kutoka kwa Rachid Taoussi. Taarifa kutoka ndani ya Azam…

Read More

Mbeya City yazidi kujiimarisha yambeba Kelvin Kingu

BAADA ya kumalizana na Ame Ally akitokea Mashujaa, uongozi wa Mbeya City umemuongezea nguvu mkongwe huyo kwa kunasa saini ya beki wa kati, Kelvin Kingu Pemba kutoka Tabora United kwa mkataba wa mwaka mmoja. Msimu uliopita Pemba alikuwa na kiwango bora sana akiwa na nyuki wa Tabora, lakini klabu hiyo imeshindwa kumbakisha akitimkia Mbeya City…

Read More

Pamba Jiji yamfuata Ikangalombo | Mwanaspoti

PAMBA haitaki mchezo msimu ujao. Tetesi zinasema imetuma maombi kwa Yanga kumtaka winga wa mabingwa hao Jonathan Ikangalombo hata kwa mkopo ili aongeze nguvu msimu ujao. Ikangalombo ambaye alikuwa akiichezea AS Vita, alitua nchini katika dirisha dogo huku mabosi wa Yanga wakimnunua na kumsainisha mkataba wa miaka miwili kukitumikia kikosi cha Wananchi. Taarifa kutoka ndani…

Read More

Mpoki ateuliwa mhariri Mtendaji Mkuu MCL

KAMPUNI ya Mwananchi Communications Limited (MCL), imemteua Mpoki Thomson kuwa mhariri mtendaji mkuu mpya ili kuimarisha mabadiliko ya kihabari kuelekea mfumo wa kidijitali unaoongozwa na ubunifu na ushirikishaji jamii. Taarifa iliyotolewa jana Jumanne na Mkurugenzi Mtendaji wa MCL, Rosalynn Mndolwa-Mworia ilieleza kuwa uteuzi wa Mpoki ni sehemu ya safari ya kampuni hiyo kuongoza mageuzi katika…

Read More

Robo fainali BDL moto | Mwanaspoti

Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), imefikia patamu kutokana na timu kupambana kusaka nafasi ya kucheza hatua ya robo fainali. Ukiondoa timu za Dar City yenye pointi 24, Pazi 22, Stein Warriors 21 na JKT 21 zilizojiweka katika mazingira mazuri ya kucheza hatua hiyo, timu zinazopambana kutafuta nafasi nne za kucheza robo…

Read More

Vijana Queens ilivyojibeba WBDL | Mwanaspoti

Uzoefu wa Vijana Queens kwenye Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam kwa wanawake (WBDL), ndiyo ulioibeba katika mchezo wake na Ukonga Queens. Katika mchezo huo uliopigwa Donbosco, Upanga, timu ya Vijana Queens ilishinda kwa pointi 59-47 ikiwatumia wachezaji iliowapandisha kutoka kikosi cha pili cha City Queens ambapo ilianza kuongoza katika robo ya kwanza…

Read More

Simba Queens yasajili kipa Mganda

SIMBA Queens inaendelea kushusha vyuma kimyakimya kwa ajili ya msimu mpya wa mashindano ya Ligi Kuu na inaelezwa imemalizana na kipa Mganda Ruth Aturo. Simba Queens iliwapa mkono wa kwaheri makipa wawili Carolyne Rufaa, aliyekuwa nje ya uwanja kwa msimu mzima akiuguza majeraha na Gelwa Yona. Klabu hiyo inaendelea na Janet Shija na Winfrida Ceda….

Read More