Simba ilistahili kubeba ndoo ya Muungano

SIMBA ndio mabingwa wapya wa michuano ya Kombe la Muungano, iliyoshirikisha timu nne zikiwamo Azam, KMKM na KVZ. Michuano hiyo ilifikia tamati rasmi juzi visiwani Zanzibar, kwa Simba kuifunga Azam kwa bao 1-0 katika pambano la fainali lililopigwa kwenye Uwanja wa New Amaan kwa bao la dakika ya 77 kutoka kwa kiungo mkabaji, Babacar Sarr….

Read More

Picha la Benchikha lilivyokuwa | Mwanaspoti

Baada ya aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha kuondoka, hatimaye timu hiyo sasa imebaki chini ya Juma Mgunda na Selemani Matola, lakini kuna maswali mengi ya kujiuliza ambayo yanatia shaka juu ya muenendo wa kikosi hicho. Tetesi za kuondoka kwa Benchikha zilianza kuzagaa kwa muda mrefu, huku mara chache uongozi wa timu hiyo ukikanusha…

Read More

Yanga yafanya uamuzi mgumu kwa Lomalisa, Kibabage

UONGOZI wa klabu ya Yanga umefanya uamuzi mgumu kwa nyota wake wawili wa nafasi ya ulinzi ya beki ya kushoto, Joyce Lomalisa Mutambala na Nickson Kibabage kwa kumbakisha kikosini staa huyo wa zamani wa Mtibwa Sugar ambaye anacheza kwa mkopo kutokea Singida Fountain Gate akichukua nafasi ya Mcongo huyo anayetimka mwisho wa msimu. Kibabage alikuwa…

Read More

JKT yavuta 20 milioni ikiizamisha Mtibwa

USHINDI wa mabao 2-1 ilioupata timu ya JKT Tanzania leo dhidi ya Mtibwa Sugar umewafanya mastaa wa timu hiyo kushinda bonasi ya Sh20 milioni kutoka kwa uongozi wa maafande hao huku ukiididimiza Mtibwa mkiani mwa msimamo. JKT ndiyo ilianza kupata bao katika dakika ya sita kupitia kwa beki Edson Katanga aliyefunga kwa kichwa kabla ya…

Read More

Simba Queens yaendeleza dozi, yanusa ubingwa WPL

SIMBA Queens imeendeleza ubabe na kugawa dozi baada ya kuichapa JKT Queens mabao 2-0 kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi ikiwa juzi tu imetoka kumchapa mtani wake Yanga Princess 3-1 na kusalia kileleni.Hadi kipindi cha kwanza kinaisha Simba ilikuwa inaongoza kwa bao moja lililofungwa na Aisha Mnunka katika dakika ya 5 akipokea pasi kutoka kwa…

Read More

Kocha Yanga ataja siri ya Gamondi

WAKATI Yanga imebakiza pointi 12 ikiwa ni sawa na mechi nne ili kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa msimu wa tatu mfululizo, kocha wa viungo wa timu hiyo, Taibi Lagrouni amefunguka siri ya ubora kwa kumtaja Miguel Gamondi kuwa ana nidhamu ya kupanga kikosi. Timu ya Wananchi imecheza mechi tano Aprili, nne za ligi…

Read More

Makocha hawa wapewa maua yao

LIGI ya Championship imefikia tamati jana kwa msimu wa 2023/2024 huku Kocha Mkuu wa Pamba, Mbwana Makata akiweka rekodi ya kipekee kwa kuipandisha timu hiyo Ligi Kuu Bara baada ya kusota kwa takribani miaka 23 tangu iliposhuka rasmi daraja. Makata licha ya kuweka rekodi hiyo pia amejitengenezea ufalme wa kupandisha timu nyingi Ligi Kuu Bara…

Read More