Mbolea chanzo cha mgogoro USM Alger, RS Berkane

UNAWEZA kuona kwa jicho la kisiasa mgogoro uliopelekea mechi ya pili ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baina ya RS Berkane na USM Alger kutochezwa jana kama ilivyokuwa kwa mechi ya kwanza lakini nyuma yake kuna sababu za kiulinzi na pia kiuchumi. Sababu ya USM Alger kugomea mechi kwa vile RS Berkane walitaka…

Read More

Kinara wa mabao aitega Ken Gold

BAADA ya kuandika rekodi mbili tamu Championship, winga wa Ken Gold, William Edgar amesema bado hajajua hatma yake kubaki au kuondoka kikosini humo msimu ujao. Nyota huyo ameshinda tuzo ya mfungaji bora akitupia mabao 21 na pia hii ni mara ya pili kuipandisha timu Ligi Kuu baada ya msimu wa 2021/22 kuipandisha Mbeya Kwanza. Kwa…

Read More

Waogeleaji watumwa medali Angola | Mwanaspoti

BARAZA la Michezo la Taifa (BMT) limewataka waogeleaji wa timu ya Taifa kuhakikisha wanafanya vema kwenye mashindano ya kuogelea ya Afrika (Africa Aquatics Swimming Championship) yatakayoanza kesho Aprili 30 hadi Mei 2 mwaka huu nchini Angola. Mashindano hayo yana lengo la kuwania kufuzu michuano ya Olimpiki itakayofanyika Julai 26 hadi Agosti 11 nchini Ufaransa na…

Read More

Pacome: Nipo fiti, Naumia sana kutocheza

Mashabiki wa soka nchini wamemisi maufundi ya kiungo wa Yanga, Muivory Coast Pacome Zouzoua aliyekuwa majeruhi, lakini mwenyewe amefunguka kupona na sasa yupo tayari kurejea uwanjani kuendelea kuipambania timu na kutoa burudani. Pacome aliumia Machi 17, mwaka huu kwenye mechi ya ligi dhidi ya Azam iliyopigwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa na timu yake ikipoteza…

Read More

Benchikha na wenzake shida iko hapa

Baada ya aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha kuondoka jana, hatimaye timu hiyo sasa imebaki chini ya Juma Mgunda na Selemani Matola, lakini kuna maswali mengi ya kujiuliza ambayo yanatia shaka juu ya muenendo wa kikosi hicho. Tetesi za kuondoka kwa Benchikha zilianza kuzagaa kwa muda mrefu, huku mara chache uongozi wa timu hiyo…

Read More

Mastaa hawa Simba ni mvua na jua

KUNA mastaa wapo Simba wameonja raha na karaha, wakati timu hiyo inachukua mataji manne mfululizo, walikuwepo na ilipokosa mataji kwa mara mbili mfululizo (2021/22 na 2022/23) bado wamo. Mwanaspoti linakuchambulia mastaa hao, ambao kwa sasa wanapitia kipindi kigumu wakati timu hiyo ikiwa imebakiza kuwania taji moja pekee la Ligi Kuu Bara. Ingawa hadi sasa Simba…

Read More

Mastaa Yanga kama ulaya | Mwanaspoti

KWA wachezaji nyota wa soka katika baadhi ya klabu barani Ulaya sio ajabu kukuta wakivaa soksi na hata viatu vikiwa na majina au sura zao mbali na bendera za mataifa watokapo kama kuwatofautisha na wengine. Cristiano Ronaldo ‘CR7’, Lionel Messi, Neymar  na hata Kylian Mbappe wamekuwa wakivaa viatu maalumu na hata soksi zikiwatofautisha na wengine…

Read More

Balama: Kama si Yanga ningeacha soka

CHANGAMOTO katika maisha ni vitu vya kawaida, lakini kuna nyingine huwa zinakatisha tamaa na kama mtu ana roho ndogo ni ngumu kutoboa. Hutokea bahati tu, mtu akizungukwa na watu wenye kujali na kutia moyo na kusaidia ushauri wa kisaikolojia kama ilivyomkuta winga wa zamani wa Yanga, Balama Mapinduzi ‘Kipenseli’ anayefichua alivyobakia kidogo tu aache kucheza…

Read More

Matola aachiwa msala Simba | Mwanaspoti

KOCHA Msaizidi wa Simba, Seleman Matola ameachiwa msala wa kuiongoza timu hiyo kati-ka mechi zilizosalia na Ligi Kuu Bara ikiwamo wa keshokutwa dhidi ya Namungo, baada ya aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Abdelhak Benchikha kuamua kuachana na timu hiyo akitoka kuipa Kombe la Muungano lililofanyika Zanzibar. Benchika aliyetambulishwa na Simba Novemba 28 mwaka jana,…

Read More