Simba yafanya umafia Kenya | Mwanaspoti

SIMBA wameonyesha ukubwa wao kwa mara nyingine. Kuna jambo ambalo wamefanya kwenye kambi ya timu ya Taifa ya Kenya Harambee Stars ambalo limemtibua Kocha Benni McCarthy. Ni jinsi walivyoufanya kibabe usajili wa mshambuliaji wao mpya, Mohammed Bajaber na kuumaliza kwa haraka bila kumpa hata nafasi ya kumeza mate. Simba imeendelea kuboresha kikosi chake kwa kusajili…

Read More

Kocha Yanga aleta balaa jipya!

WAKATI Yanga ikiendelea na mchakato wa kujiimarisha kwa ajili ya msimu ujao wa 2025-2026,kuna mafundi sita wameshushwa kuunda benchi jipya la ufundi litakaloongozwa na Mfaransa, Romain Folz. Folz ambaye amekuwa mtu wa kwanza kutambulishwa katika benchi hilo akichukua nafasi ya Miloud Hamdi, ana kazi kubwa ya kuhakikisha msimu ujao timu hiyo inafika hatua ya makundi…

Read More

Che Malone atuma ujumbe msimbazi

ALIYEKUWA beki wa kati wa Simba SC, Che Fondoh Malone, sasa ni mchezaji halali wa klabu ya USM Alger ya Algeria baada ya kufuzu vipimo vya afya na kusaini mkataba wa miaka miwili na mabingwa hao wa zamani wa Kombe la Shirikisho Afrika. Akizungumza akiwa jijini Algiers mara baada ya kuthibitishwa kuwa mchezaji mpya wa…

Read More

KAMATI KUU YA CCM YAMPITISHA DKT ALLY SIMBA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MOROGORO MJINIi

………………..  KAMATI Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa imelipendekeza jina la Mkurugenzi Mtendaji Shirika la Mawasiliano Afrika Mashariki DK Ally Simba, kuwania Ubunge katika Jimbo la Morogoro Mjini akichuana na wagombea wengine sita akiwemo aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo Abdulaziz Abood. Dk Simba ambaye mbali na nafasi yake ya Utendaji katika…

Read More

Mawaziri wawili, wawakilishi watano waenguliwa

Unguja. Vigogo saba waliokuwa wakishikilia nafasi za uwakilishi, wakiwemo mawaziri wawili, zimeshindwa kuchomoza katika uteuzi wa watiania watakapigiwa kura za maoni Agosti 4, 2025 ndani Chama cha Mapinduzi (CCM). Mawaziri walioshindwa kuchomoza katika mchujo huo uliotangazwa leo Julai 29, 2025 ni pamoja na Shaib Hassan Kaduara, Waziri wa Maji, Nishati na Madini ambaye alikuwa mwakilishi…

Read More

Panga la CCM lilivyoacha maumivu kwa makada

Dar es Salaam. Panga la Chama cha Mapinduzi (CCM) limewafyeka zaidi ya robo tatu ya makada wake 4,109 waliochukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania ubunge katika majimbo 272 ya Tanzania Bara na Zanzibar, ndani yake wakiwemo vigogo na watu mashuhuri. Kati ya makada hao waliochukua fomu, Kamati Kuu ya chama hicho iliyoketi Julai 28, 2025,…

Read More

Viongozi Simba, Yanga wawekwa kando uteuzi CCM

Rais wa Yanga, Hersi Said pamoja na mwenyekiti wa Simba Murtaza Mangungu ni kati ya watia nia ambao wamewekwa kando kugombea nafasi ya ubunge. Mangungu alikuwa ameomba kugombea kupitia Jimbo la Kilwa, huku Hersi akiomba kupitia jimbo la Kigamboni jijini Dar es Salaam. Wakati hawa wakiwekwa kando Makamu wa Rais wa zamani wa Shirikisho la…

Read More

Dakika 15 Nyongeza zilivyoamua mbabe BDL

Wakati BDL ikishika kasi mchezo kati ya KIUT na Chui ulilazimika kurudiwa mara tatu baada ya awali kufungana pointi 57-57 katika robo zote nne za mchezo. Hali ya sare iliendelea pia hata zilipoongezwa dakika tano za nyongeza kwani timu hizo zilifungana 11-11, na kuongezwa dakika tano zingine na kushuhudia sare ya 10-10. Kutokana na hali…

Read More