Kofia ya kocha yavunja pambano la kikapu Dar

MCHEZO kati ya Stein Warriors na JKT katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), ulikumbwa na dosari baada ya mwamuzi kuuvunja kabla ya robo ya tatu kuanza. Mchezo huo ulioshuhudia watazamaji wengi ulifanyika katika Uwanja wa Donbosco, Upanga, ambapo mwamuzi aliamua kuuvunja baada ya kocha wa Stein Warriors, Karabani Karabani kukataa kutoka…

Read More

Mcongo anyemelewa, Dodoma Jiji ikiachana na Mexime

Wakati Dodoma Jiji FC ikitangaza kuachana na Kocha Mkuu Mecky Maxime na kuvunja benchi lake la ufundi, timu hiyo inaripotiwa kuwa mbioni kumchukua kocha wa zamani wa Tabora United, Anicet Kiazmak. Mmoja wa watu wa karibu wa Kizmak ameiambia Mwananchi Digital kuwa kocha huyo raia wa DR Congo amefikia mahali pazuri katika mazungumzo yake na…

Read More

Ibrahim Abbas ‘Nindi’, KMC mambo mazuri

BAADA ya maafande wa Mashujaa kuachana na aliyekuwa beki wa kati wa kikosi hicho, Ibrahim Abbas ‘Nindi’, mabosi wa KMC wamefikia makubaliano ya kumsajili, huku akipewa mkataba wa miaka miwili wenye kipengele pia cha kuongeza mwingine. Nindi ni mchezaji wa timu ya taifa ya Tanzania ya umri chini ya miaka 20, ambapo kwa sasa amekamilisha…

Read More

Simba yamalizana na straika Rwanda

MABINGWA wa zamani wa Ligi Kuu ya Wanawake, Simba Queens wamemalizana na straika wa AS Kigali, Zawadi Usanase kwa mkataba wa mwaka mmoja. Huu unakuwa usajili wa pili rasmi kwa Simba baada ya awali kukamilisha taratibu zote na beki wa Yanga Princess, Asha Omary. Kwa mujibu wa uongozi wa mchezaji huyo, Local Champions ni kwamba…

Read More

Aguero anukia Coastal Union | Mwanaspoti

UONGOZI wa Coastal Union uko katika mazungumzo ya kumsajili mshambuliaji wa Mlandege ya Zanzibar, Mahmoud Haji Mkonga ‘Aguero’ baada ya wawakilishi wa mchezaji huyo kutua mjini Tanga jana kwa ajili ya kukamilisha dili hilo. Nyota huyo alihusika na mabao 18 katika mechi 25 alizoichezea Mlandege kwenye Ligi Kuu Zanzibar msimu wa 2024-2025 baada ya kufunga…

Read More

Mudathir Said apewa miwili Mashujaa FC

UONGOZI wa Mashujaa umefikia makubaliano ya kumsajili aliyekuwa mshambuliaji wa Mbeya City, Mudathir Said baada ya nyota huyo aliyeirejesha timu hiyo Ligi Kuu Bara msimu huu kumaliza mkataba wa kuendelea kukitumikia kikosi hicho. Nyota huyo aliyewahi kuchezea timu mbalimbali zikiwemo za Coastal Union ya Tanga, Pamba Jiji ya Mwanza kisha kutua Mbeya City, amemaliza mkataba…

Read More

Tabora yabeba Wazenji watano | Mwanaspoti

MABOSI wa Tabora United wamekamilisha usajili wa mabeki wawili kutoka visiwani Zanzibar tayari kwa ajili ya kuitumikia timu hiyo msimu ujao 2025-2026 na kuifanya klabu hiyo ya Ligi Kuu kufikia watano kwani awali ilishawanyakua viungo watatu. Tabora imesajili beki wa kati kutoka Zimamoto, Mudathir Nassor  Ally ‘Agrey 15’ na beki wa kulia kutoka Uhamiaji, Ally…

Read More

Upepo wa Fei Toto umebadilika!

UPEPO umebadilika. Ndicho unachoweza kusema kutokana na sakata la usajili wa kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’. Awali, Yanga ilikuwa ikitajwa na kuonekana kuwa karibu kumrejesha nyota huyo aliyemaliza Ligi Kuu msimu wa 2024-2025 kinara wa asisti akiwa nazo 13. Dili la Yanga lilikuja siku chache baada ya Kaizer Chiefs ya Afrika…

Read More