Mkenya airahisishia Simba | Mwanaspoti

WAKATI Simba ikifukuzia saini ya winga wa Polisi ya Kenya, Mohammed Omar Ali Bajaber kwa ajili ya kuboresha kikosi hicho msimu ujao, kwa sasa mabosi wa timu hiyo washindwe wenyewe. Simba ambayo iliyopoteza fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika na kumaliza nafasi ya pili katika Ligi Kuu Bara, imekuwa ikifanya usajili ya kimya kimya na…

Read More

Dili la Jabir latibuka Mtibwa

MABINGWA wa zamani wa soka Tanzania, Mtibwa Sugar waliorejea Ligi Kuu msimu ujao, walikuwa katika mazungumzo ya kumwongezea mkataba mshambuliaji Anuary Jabir, lakini dili hilo limetibuka kutokana na pande hizo kushindwa kuafikiana katika ishu ya masilahi, hivyo jamaa anaendelea na yake. Msimu uliyopita Jabir alimaliza na mabao manane na asisti moja akiwa na Mtibwa iliyorejea…

Read More

Vicky amfuata Madina Uganda Ladies Open

BAADA ya kufanya vizuri katika michuano ya Uganda Ladies Open mwaka jana, Mtanzania Vicky Elias ametangaza nia kushiriki tena michuano ya mwaka huu na anawaomba wadau kumuunga mkono ili kufanikisha azma yake. Vicky anakuwa Mtanzania wa pili kuwania taji la Uganda Ladies Open baada ya Madina Idd wa Arusha, ambaye alithibitisha ushiriki wake juma lililopita….

Read More

Abuya, Maxi miwili tena Yanga

PACHA ya eneo la kiungo cha ukabaji ndani ya Yanga imevunjika kwa kuondoka mkongwe mmoja tu. Hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya timu hiyo kumuongezea mkataba wa miaka miwili Duke Abuya Yanga eneo hilo la kiungo ilikuwa inaongozwa na Khalid Aucho, Mudathir Yahya na Abuya ambapo nyota hao watatu walikuwa mhimili mkubwa wa mafanikio ya…

Read More

12 zapeta Yamle Yamle Cup, 13 zikiaga

Baada ya kukamilika hatua ya makundi ya mashindano ya Yamle Yamle Cup, timu 12 zimefuzu hatua ya 12 bora upande wa kisiwani Unguja. Timu ambazo zimefuzu ni Mazombi FC, Welezo City, Al Qaida FC, Mwembe Makumbi Combine, Melitano City, Nyamanzi City, Magari ya Mchanga, Real Nine City, Miembeni City, Melinne City, Kundemba FC na Kajengwa…

Read More

Sakata la Mgunda Mashjaa, Singida BS bado kitendawili

LICHA ya Mashujaa kumtambulisha aliyekuwa mshambuliaji wa timu hiyo, Ismail Mgunda, kwa ajili ya kukichezea kikosi hicho msimu ujao, kumekuwa na sintofahamu baada ya kudaiwa pia nyota huyo amesaini mkataba na Singida Black Stars. Nyota huyo aliitumikia Mashujaa msimu wa 2024-25, kisha baadaye kuuzwa kwenda AS Vita Club ya DR Congo katika dirisha dogo la…

Read More