Waarabu waitibulia Singida Black Stars kwa straika

MABOSI wa Singida Black Stars wamempa ‘Thank You’, Jonathan Sowah kubariki kutua Simba, huku hesabu zikiwa ni kumbeba mshambuliaji wa Berekum Chelsea ya Ghana kwa ajili ya msimu ujao, lakini ghafla dini hilo limetibuka baada ya nyota huyo kubadilisha mawazo ya kuja Tanzania baada ya kumalizana na Smouha ya Misri. Amankonah alihitajika Singida kwa ajili…

Read More

Presha zaanza uchaguzi RT | Mwanaspoti

ZIKIWA zimebaki siku chache tu kabla ya kufanyika kwa usaili utakaofanyika Agosti Mosi, presha inazidi kupanda na kushuka kwa wagombea 20 waliochukua fomu ya kuwania nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya Shirikisho la Riadha Tanzania (RT). Usaili huo utafanyika jijini Dar es Salaam na utakuwa ni kipimo muhimu cha kuamua ni nani atapewa fursa ya…

Read More

Azam FC yaanza msako mpya

KIKOSI cha Azam kinaingia rasmi kambini leo ili kuanza maandalizi ya msimu ujao (Pre Season), huku kikibeba matumaini kwa matajiri hao wa Jiji la Dar es Salaam, baada ya ujio wa benchi jipya la ufundi chini ya Mkongomani Florent Ibenge. Azam inaanza maandalizi hayo ikiwa chini ya Ibenge aliyetambulishwa ndani ya kikosi hicho Julai 5,…

Read More

Mbeya City kumrejesha Kigonya Bara

UONGOZI wa Mbeya City uko katika mazungumzo ya kumrudisha tena Tanzania aliyekuwa kipa wa Azam FC, Mganda Mathias ‘Kone’ Kigonya, baada ya nyota huyo kumaliza mkataba wake na Yadah Stars FC ya Harare, Zimbabwe aliyojiunga nayo Julai 4, 2024. Kigonya aliyezaliwa Februari 2, 1996, katika Mji wa Lyantonde huko kwao Uganda, inadaiwa yupo katika mazungumzo…

Read More

Taylor arudi kivingine Mount Uluguru

DEREVA mkongwe, Frank Taylor ameamua kurudi katika mchezo wa mbio za magari na anatarajia kushiriki mbio za Mount Uluguru zitakazofanyika Agosti 16 na 17, mkoani Morogoro. Taylor anakuwa miongoni mwa washiriki watano waliothibitisha kushiriki mbio hizo za raundi ya tatu na kufika 12 na anatarajiwa kutumia gari aina ya Nissan PA 10 ambayo wakati wa…

Read More

Hebron aahidi makali Uturuki | Mwanaspoti

KIUNGO wa Sisli Yeditepe, Shedrack Hebron amesema Ligi Kuu ya Uturuki itarejea mwezi wa 10, lakini mashindano mbalimbali anayoshiriki yatazidi kumweka fiti kwa ajili ya msimu mpya. Hebron anacheza Ligi Kuu ya Uturuki pamoja na Watanzania wenzake, Ramadhan Chomelo wa Konya na Mudrick Mohamed anayekipiga Mersin. Akizungumza na Mwanaspoti, Hebron alisema kitendo cha kuibuka mfungaji…

Read More

Wawili watajwa Simba, mmoja akitua Dar

UONGOZI wa Simba unaendelea kuboresha kikosi chake kinachonolewa na Fadlu Davids ukisaka mastaa kutoka ndani na nje ya nchi, huku ukiwa tayari umeshamalizana na nyota kadhaa wanaotarajiwa kuonekana katika mitaa ya Msimbazi msimu ujao wa mashindano. Inaelezwa kwamba lile fuko la fedha ambalo bilionea wa timu hiyo Mo Dewji aliahidi hivi karibuni kwamba ataliachia ili…

Read More

Siri kambi ya Simba Misri

BAADA ya majadiliano ya ndani na tathmini ya kina, hatimaye klabu ya Simba imechagua Misri kuwa ngome ya maandalizi ya msimu ujao wa mashindano 2025-2026 ikiwa ni mkakati wa kujenga kikosi madhubuti kitakachopambana kwa ajili mataji ndani na nje ya nchi, huku siri ya kutimkia huko ikitajwa. Kwa mujibu wa taarifa rasmi kutoka klabu hiyo…

Read More

Mbeya City yahamia Ivory Coast

UONGOZI wa Mbeya City uko katika hatua nzuri za kumsajili winga wa FC San Pedro ya Ivory Coast, Aboubakar Karamoko baada ya mabosi wa kikosi hicho kilichopanda kushiriki Ligi Kuu Bara 2025-2026 kuvutiwa sana na uwezo mkubwa wa nyota huyo aliouonyesha. Nyota huyo raia wa Ivory Coast aliyezaliwa Oktoba 15, 1999, alijiunga na San Pedro…

Read More

Beki Mtanzania ataka rekodi Misri

BEKI wa Kitanzania anayekipiga Ghazl El Mahalla ya Misri, Raheem Shomari amesema anatamani kuandika rekodi akiwa na timu hiyo aliyojiunga nayo hivi karibuni akitokea KMC ya Tanzania. Msimu wa 2023/24 Raheem aliibuka na tuzo ya Mchezaji Bora Chipukizi kwenye usiku wa tuzo za Shirikisho la Soka nchini (TFF). Akizungumza na Mwanaspoti, Raheem alisema kitendo cha…

Read More