
Hii ndiyo Simba ya Sowah
BAADA ya msimu wa 2024/25 kukamilika patupu kwa Simba bila kutwaa taji lolote kubwa ndani na nje ya nchi, macho yote yakageuka kwa benchi la ufundi la timu hiyo chini ya Kocha Fadlu Davids kuona hatua gani inafuata katika mradi wake. Kocha huyo kijana raia wa Afrika Kusini hakulaza damu. Alichora ramani ya namna ambavyo…