Kyombo ajiandaa kutua Mbeya City

MABOSI wa Mbeya City wanasuka kikosi chao kimyakimya kwa ajili ya kuleta ushindani msimu ujao wa 2025-2026 na kwa sasa wako hatua za mwisho za kukamilisha uhamisho wa aliyekuwa mshambuliaji nyota wa Pamba Jiji, Habib Kyombo. Nyota huyo aliyejiunga na Pamba kwa mkopo dirisha dogo la Januari 2025, akitokea Singida Black Stars, alivunja mkataba wake…

Read More

Yanga kutikisa Mbeya na makombe

JIJI la Mbeya linatarajia kusimama kwa muda kupisha sherehe ya wanachama na mashabiki wa Yanga watakapopokea makombe iliyochukua msimu uliopita, shughuli ambayo itafanyika katika fukwe za Matema (Matema Beach) wilayani Kyela mkoani hapa. Katika msimu uliopita Yanga ilitwaa ubingwa ukiwa wa nne mfululizo, huku ikiweka rekodi tamu ya kubeba mataji matano ikiwa ni Ligi Kuu…

Read More

Kocha Mbelgiji akiri Yanga imepata jembe!

KIKOSI cha Yanga inaendelea kusukwa kwa mashine mpya zikitambulishwa sambamba na wale waliokuwapo katika kikosi cha msimu uliopita wakiongezewa mikataba kama alivyofanyiwa Danis Nkane, Mudathir Yahya na Pacome Zouzoua, lakini kuna mido mmoja aliyetua ghafla Jangwani. Ndio, Yanga imeshakamilisha dili la kiungo Lassine Kouma ambaye wakati wowote kuanzia leo ataanza safari ya kuja nchini kufanyiwa…

Read More

Mkongwe Yanga amtaja Bacca | Mwanaspoti

STAA wa zamani wa Yanga, Ladslaus Mbogo ameshindwa kuficha hisia alizonazo, akimtaja beki wa kati wa timu hiyo, Ibrahim Bacca kuwa mchezaji anayetikisa katika nafasi hiyo kwa miaka ya sasa, huku akilia na soka la Mwanza. Mbogo aliyewahi kutamba na timu hiyo kwa mafanikio, akicheza pia soka la kulipwa nje ya nchi kwa kukipiga Olympique…

Read More

Mpanzu arejea Simba kibosi, mchongo mzima upo hivi

NYOTA w Simba wameanza kurejea kutoka mapumzikoni ili kuanza maandalizi ya msimu mpya wa mashindano wa 2025-2026, huku kiungo mshambuliaji, Ellie Mpanzu akishtua zaidi kwa kurudi kibosi. Nyota huyo raia wa DR Congo aliyejiunga na Simba kupitia dirisha dogo la msimu uliopita na kuhusika katika mabao 10, akifunga manne na kuasisti sita alikuwa akitajwa huenda…

Read More

Mwashinga msimu ujao ni Pamba au Namungo

PAMBA Jiji na Namungo FC zimeingia vitani kuiwinda saini ya kiungo, James Mwashinga ambaye kwa sasa ni mchezaji huru, huku ikielezwa tayari mawasiliano na kambi ya mchezaji huyo yameanza tangu msimu huu ulipoisha. Nyota huyo aliitumikia Pamba msimu wa 2024-2025 na kukiwezesha kikosi hicho kumaliza nafasi ya 11 na pointi 34 na alisaini mkataba wa…

Read More

John Simkoko atoa neno Mtibwa Sugar

KOCHA mkongwe anayeshikilia rekodi ya kuwa kocha mzawa aliyebeba mataji kwa misimu miwili mfululizo, John Simkoko amesema tayari Mtibwa Sugar itakuwa imepata funzo kujua kipi kiliishusha msimu wa 2023/24 na anatarajia kuona itarejea msimu ujao kwa nguvu kubwa na ushindani wa ligi. Simkoko aliyewahi kuifundisha timu hiyo miaka ya nyuma, ndiye aliyeipa ubingwa wa Ligi…

Read More

Azam FC, Chivaviro kuna kitu kinaendelea

MABOSI wa Azam FC wanadaiwa wanaendelea kufanya mambo yao kimyakimya katika kuimarisha kikosi cha msimu ujao wa mashindano, wakidaiwa kwa sasa wapo katika mazungumzo na straika mmoja matata anayejua kufumania nyavu kutoka Afrika Kusini. Azam ambayo hivi karibuni ilimtambulisha kocha mkuu mpya, Florent Ibenge kisha kushusha mashine kadhaa za maana, ikiwamo kumrejesha kiungo mkabaji wa…

Read More

Mastaa Yanga, Simba wabebeshwa jukumu CHAN 2024

Wakati zikibaki siku nane (8) kabla ya kuanza kwa fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) 2024, Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Hemed Morocco amewataka wachezaji wa Simba na Yanga kuwa chachu ya mafanikio ya timu hiyo kwenye fainali hizo. Taifa Stars iliyo katika kundi B la…

Read More