
Chaumma kubinafsisha sekta ya maji, kujenga viwanda vya jipsamu
Same. Mgombea mwenza wa urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Devota Minja ameahidi endapo chama hicho kitapewa ridhaa ya kuingia madarakani, kitaibua mageuzi makubwa katika sekta ya maji kwa kuhakikisha huduma hiyo inapatikana kwa urahisi kwa Watanzania wote. Akihutubia leo Jumatano Septemba 24, 2025 katika Kata ya Makanya, Wilaya ya Same Magharibi, Minja…