Wanafunzi msingi wapewa elimu ya usalama barabarani

Dodoma. Wanafunzi wanaosoma katika Shule ya Msingi Mnadani iliyopo Jijini Dodoma wamepewa elimu ya usalama barabarani ili kujilinda na ajali wakati wa kwenda shuleni na kurudi nyumbani. ‎‎Aidha, wanafunzi hao wamefundishwa  alama muhimu za kuvuka barabara kwa usalama ili wasigongwe na magari kutokana na shule yao kupakana na barabara kuu ya kwenda Wilayani Kondoa. ‎‎Wakizungumza…

Read More

UDP kukomalia kilimo cha umwagiliaji ikishinda uchaguzi mkuu

Siha. Mgombea Urais kupitia Chama cha UDP, Saumu Rashidi ametangaza mambo matano ambayo anakwenda kushughulika nayo pindi atakapopata ridhaa ya wananchi ya kuwa kiongozi katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025. Miongoni mwa mambo anayopigania mgombea huyo kipaumbele cha kwanza ni kilimo cha umwagiliaji, viwanda, afya, elimu pamoja na maji. Saumu amesema leo Jumatano Septemba 24,…

Read More

Othman aahidi kutoa haki bila kuangalia itikadi kisiasa

Unguja. Mgombea urais wa Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema atakapochaguliwa kuiongoza Zanzibar, Serikali yake haitatoa huduma kwa kuangalia itikadi za kisiasa. Sambamba na hilo, amesisitiza kusimamia ardhi kuwa rasilimali inayomilikiwa na mwananchi badala ya Serikali na wananchi ndio watakaokuwa na mamlaka ya kuikodisha, huku Serikali ikipokea kodi na kutoa mwongozo unaosimamia. Othman…

Read More

Gamondi ataka miezi sita tu Singida BS

KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi amesema ushindi dhidi ya KMC katika mechi ya Ligi Kuu Bara sio wa bahati mbaya, huku akiweka wazi ubora wa wachezaji alionao ndio siri ya mafanikio licha ya kukaa pamoja kwa muda mfupi, akisisitiza anataka apewe miezi sita tu. Gamondi amefunguka hayo baada ya Singida kuifunga KMC…

Read More