Mweka kuzalisha wataalamu wa saikolojia katika utalii

Moshi. Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori Mweka kimepanga kuanzisha programu ya saikolojia katika utalii, itakayolenga kutambua na kuelewa kwa kina malengo, mitazamo na matarajio ya watalii wanaoingia nchini. Hatua hiyo inalenga kuimarisha utoaji wa huduma bora pamoja na kuboresha usimamizi endelevu wa sekta ya utalii na uhifadhi wa rasilimali za asili nchini. Hayo yamesemwa na…

Read More

Mbarali kutenga Sh1 bilioni kuboresha maeneo korofi

Mbarali. Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Mkoa wa Mbeya, inatarajia kutumia zaidi ya Sh1 bilioni kwa ajili ya kuboresha maeneo korofi ya miundombinu barabara za  pembezoni . Katika hatua nyingine imeweka mikakati ya kutenga bajeti ya mapato ya ndani kwa mwaka huu wa fedha kwa lengo la kununua mtambo wa kisasa wa kuchonga na kuboresha…

Read More

CEOrt, IUCN kuimarisha sekta ya utalii

Arusha. Urejeshaji wa mandhari ya kimazingira, ulinzi wa vyanzo vya maji, upanuzi wa uhifadhi wa wanyamapori unaoongozwa na jamii, pamoja na uwekezaji katika mifumo ya ikolojia ya kaboni ya buluu (blue carbon), ni miongoni mwa njia zilizotajwa na wadau katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi kwenye sekta ya utalii. Njia hizo zimetajwa wakati Jukwaa la…

Read More

Kwa ustadi na uamuzi, Guatemalans huanza safari ya kubadilisha maisha kwenda Ujerumani-maswala ya ulimwengu

Machozi machache yaliyokuwa yamerudishwa nyuma, wengine hutoa tabasamu la neva, kila mmoja anafahamu kuwa wakati huo unaashiria mwanzo wa safari ya kubadilisha maisha mbali na nyumbani. “Sijawahi kuacha mji wa Guatemala, achilia mbali nchi yangu,” alisema Billy, mmoja wa washiriki. “Familia yangu inafurahi sana kwa sababu nitakuwa wa kwanza kati yetu kusafiri nje ya nchi.”…

Read More

Ripoti: Bado wanawake hawako salama kwa wenza wao

Mwanza. Ukatili dhidi ya wanawake unaendelea kuwa moja ya changamoto kubwa na sugu duniani, huku takwimu mpya za ripoti ya Shirika la Afya Duniani (WHO) na waathirika wake, zikionesha kuwa kwa miongo miwili jitihada za kukomesha tatizo hilo hazijazaa matunda ya kutosha. Kwa mujibu wa ripoti hiyo, karibu mwanamke mmoja kati ya watatu duniani, sawa…

Read More

Wenza msikimbie mjusi mkaishia kwa mamba

Canada. Kuna kisa cha wenzetu ambacho kinaweza kugusa ndoa nyingi. Mke na mume walikuwa na ugomvi usiokwisha hadi kila mmoja akifikiria kuachana na mwenziwe kutokana na kuchoshwa na ugomvi. Katika harakati za kutaka kuokoa ndoa yao, wahusika walituamini na kutujia ili tuwape ushauri. Walikuwa wakweli kwetu katika kuelezea kadhia yao. Mume alikuwa na tabia ya…

Read More

Huu ndio wajibu wa mke kwenye ndoa

Dar es Salaam. Nyuma ya kila mwanaume aliyefanikiwa mara nyingi kuna mwanamke anayesimama imara nyuma yake. Anapokuwa mke halisi wa familia, nafasi yake huwa muhimu kiasi cha kuweza kujenga au kubomoa misingi ya maisha ya familia yake. Mke humtia nguvu mume wake, hutunza watoto ili waishi kwa afya na mafanikio, na hubeba majukumu mengi ya…

Read More

Mapishi ya pamoja yanavyokoleza upendo, ndoa imara

Dar es Salaam. Ndoa ni mwanzo wa safari ya pamoja, ambapo kila kipande cha maisha hukusanyika ili kuunda historia ya pendo, uaminifu, na mshikamano wa kipekee. Lakini kadiri siku zinavyosonga, changamoto za kila siku, kazi, watoto, au shinikizo la kifedha mara nyingi hujaribu kupunguza joto la uhusiano.  Ni katika muktadha huu ambapo mpishi hodari au…

Read More