Njia za kusimamia fedha kwa maisha bora baadaye

Fedha ni sehemu muhimu sana ya maisha ya kila siku. Watu hufanya kazi, huanzisha biashara, na huwekeza kwa lengo la kuboresha maisha yao ya kifedha. Hata hivyo, mara nyingi mafanikio ya kifedha hayategemei tu kiasi cha fedha mtu anachopata, bali namna mtu anavyofikiri na kufanya maamuzi kuhusu fedha. Watu wengi hufikiri kwamba ili mtu awe…

Read More

Hiki hapa kilichoikwamisha Dewdrop kesi ya mamilioni

Arusha. Mahakama Kuu, Kanda ya Kigoma imefuta kesi ya madai ya Sh500 milioni iliyofunguliwa na Kampuni ya Vinywaji ya Dew Drop Limited dhidi ya Kampuni ya Lemon Dove Limited, kwa madai ya ukiukaji wa hakimiliki na chapa ya biashara. Hukumu hiyo ilitolewa na Jaji Augustine Rwizile, baada ya kupitia pingamizi zote za awali zilizowasilishwa na…

Read More

Mfumo unaoweza kutatua tatizo la ajira kwa vijana

Kila mwaka, vyuo vikuu na vyuo vya kati nchini humiminika mamia ya wahitimu waliobeba taji la elimu, wakiwa na matumaini makubwa ya kuingia sokoni na kupata kazi zinazowalipa kwa mujibu wa sifa zao. Lakini ukweli uliopo ni tofauti: wengi wao wanajikuta wamekwama kwenye kiwambo kinachoitwa “ukosefu wa ajira.” Wanadaiwa kutokuwa na uzoefu, lakini hakuna anayewapa…

Read More

Jinsi kinga mpya ya VVU itakavyofanya kazi

Dar es Salaam. Serikali imeanza maandalizi ya kutumia dawa mpya ya sindano ya Lenacapavir kama njia mbadala ya kinga dhidi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), hatua inayotarajiwa kurahisisha ufuasi wa tiba kwa makundi mbalimbali ya wananchi. Akizungumza katika mahojiano maalumu jijini Dodoma, Mfamasia Mkuu wa Serikali, Daudi Msasi amesema Lenacapavir italenga zaidi watu walio katika…

Read More

Huduma za miamala ya simu zinavyosukuma uchumi wa nchi

Mara nyingi mijadala ya maendeleo ya uchumi huzungumzia miradi mikubwa inayoweza kuonekana kwa macho kama barabara, reli, bandari, viwanja vya ndege au miradi ya nishati, pengi ni kwakuwa inahusisha uwekezaji mkubwa na kugusa sekta nyingi za uchumi. Mbali na miradi hiyo mikubwa, kuna nguvu nyingine ya miundombinu ambayo haijengwi kwa saruji wala chuma na haihitaji…

Read More

Karata ya kwanza Stars Fifa Series

TIMU ya Taifa ‘Taifa Stars’, leo itakabiliana na Liechtenstein katika mechi ya Fifa Series kwenye Uwanja wa Kigali Pele nchini Rwanda kuanzia saa 11:30 jioni kwa saa za Afrika Mashariki. Kabla ya mechi hiyo itatanguliwa na Aruba ikicheza dhidi ya Macau uwanjani hapo kuanzia saa 7:30 mchana. Washindi wa mechi  mbili watasonga mbele kucheza fainali…

Read More

Mkenya awachongea Guede, Rupia | Mwanaspoti

KOCHA wa Singida Black Stars, Mkenya David Ouma amesema safu ya ushambuliaji ya timu hiyo inatakiwa kuongeza umakini wa kutumia vizuri nafasi zinazotengenezwa, huku washambuliaji, Elvis Rupia na Joseph Guede, wakikabiliwa na kibarua kizito. Akizungumza na Mwanaspoti, Ouma alisema katika mechi 15 za mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu, bado hajaridhishwa kwa kiasi kikubwa na…

Read More

Mohamed Salah Atangaza Kuondoka Liverpool Bure Mwisho wa Msimu

Global Publishers March 26, 2026 0 Comments Mshambuliaji nyota wa Mohamed Salah ametangaza rasmi kuwa ataondoka ndani ya klabu ya Liverpool mwishoni mwa msimu huu, akihitimisha safari ya kihistoria ya miaka tisa ndani ya Anfield. Salah, mwenye umri wa miaka 33, ameondoka akiwa mchezaji huru (free transfer), jambo ambalo limewashtua mashabiki wengi wa soka duniani….

Read More

Salamba ajiondoa kambini Coastal | Mwanaspoti

INAELEZWA kwamba, mshambuliaji wa Coastal Union, Adam Salamba, ameamua kujiweka kando na timu hiyo kwa sasa, baada ya kudaiwa hajamaliziwa kiasi cha fedha za usajili walizokubaliana awali, tangu amejiunga na kikosi hicho cha ‘Wagosi wa Kaya’, Agosti 1, 2025. Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa kikosi hicho, umeliambia Mwanaspoti kwamba, Salamba ameondoka kambini na hayupo…

Read More