Wadau: Ushuru mpya wa Trump, uiamshe Tanzania

Dar es Salaam. Kuimarisha diplomasia ya kiuchumi na kushirikiana na mataifa yaliyo tayari, kama vile China ni miongoni mwa ushauri uliotolewa na wataalamu wa uchumi nchini Tanzania. Ushauri huo ulitolewa kwa nyakati tofauti na maprofesa wa uchumi, Ibrahim Lipumba na Anna Tibaijuka, pamoja na Mbunge wa Bumbuli na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na…

Read More

Mastaa Royal, Pazi wanaotisha BDL

MAMBO ni moto. Wakati timu za kikapu za  wanawake zikichuana katika  Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), kwa upande wa mastaa wanaocheza nafasi ya kati,  Juliana Sambwe wa Tausi Royals  na Maria Alex kutoka Pazi Queens wamekuwa kivutio katika ligi hiyo. Kivutio cha wachezaji hao kinatokana na uwezo mkubwa walionao wa uchezaji…

Read More

Michezo kuhamasisha wananchi kushiriki uchaguzi Mpimbwe

Mashabiki wa timu ya Simba na Yanga halmshauri ya Mpimbwe Wilaya ya Mlele mkoani Katavi wameoneshana ubabe katika tamasha maalum la kuhamasisha watu kushiriki zoezi.la kujiandikisha katika orodha ya wapiga kura kuanzia octoba 11 hadi 20 maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika novemba 27 mwaka huu   Akizungumza katika tamasha Hilo mgeni…

Read More