
ACT Wazalendo yabeba jahazi muungano wa vyama, vikwazo vyatajwa
Dar es Salaam. Wakati kikiendelea kushinikiza umoja wa vyama kupinga maovu yaliyofanyika kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, chama cha ACT Wazalendo kimesema kiko tayari kushirikiana na vyama vingine kwenye uchaguzi mkuu ujao. Msimamo huo umetolewa leo Februari 11, 2025 na Katibu Mkuu wa chama hicho, Ado Shaibu wakati wa mahojiano maalumu na Mwananchi, ofisini…