95 wapandikizwa mimba KCMC, daktari ataja sababu kutopata ujauzito
Moshi. Wakati wanawake 95 wamefanikiwa kupandikizwa mimba kutokana na changamoto za uzazi, Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC) imeeleza namna pande zote mbili – mwanamume na mwanamke – zinavyoweza kuchangia tatizo hilo. Akizungumza na gazeti hili leo Septemba 5, 2025, Daktari Bingwa wa Uzazi na Magonjwa ya Wanawake KCMC, Dk Tom Kakumbi, amesema…