Matukio ya ubakaji yazidi kutikisa Mwanza

Mwanza. Kutokana na hali kuendelea kuwa mbaya ya ukatili wa kijinsia nchini, imeelezwa kuna haja ya kuendelea kutoa elimu ya kina kwa wananchi ya namna ya kuzuia matukio hayo yasiendelee kutokea. Katika Mkoa wa Mwanza pekee, imeelezwa matukio ya ubakaji yanazidi kuongezeka na mpaka sasa, matukio 537 yameripotiwa katika kipindi cha miaka miwili kuanzia 2022…

Read More

JICHO LA MWEWE: Ya Dube, maandiko yametimia

HATA leo usiku Prince Dube anaweza kutangazwa kuwa mchezaji mpya wa Yanga. Hii ni kati ya siri zilizofichwa vibaya katika soka letu. Siri nyingine iliyofichwa vibaya ni ile ya Feisal Salum ‘Fei Toto’ kuondoka Yanga kwenda Azam. Hatimaye kisasi kimelipwa. Usingetazamia kama maisha yangekwenda haraka kwa namna hii.

Read More

Tanesco yatoa Sh400 milioni kudhibiti mafuriko Ifakara

Ifakara. Serikali kupitia Shirika la umeme nchini Tanesco imetoa Sh400 milioni kwa ajili ya kuondoa adha ya mafuriko yanayowakuta wananchi wa Ifakara kila mwaka. Fedha hizo zimetolewa kwa ajili ya  kuimarisha kingo za mto Lumemo na kujenga tuta kubwa lenye urefu wa kilomita nane ili kuuzuia mto huo kumwaga maji kwenye makazi ya wananchi. Tuta…

Read More

Kwa Simba hii, ukijichanganya inakula kwako!

KUWENI makini! Ndivyo unavyoweza kusema kwa timu pinzani pale zinaposhuka uwanjani kucheza na Simba, kwani zikijichanganya kidogo tu zijue mapema inakula kwao mapema. Ndio, Simba inayoshika nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu Bara na inayousaka ubingwa wa ligi hiyo baada ya kuukosa kwa misimu mitatu mfululizo, msimu huu imekuja kivingine kiasi inashtua kwa…

Read More

TANZANIA NA JAMHURI YA CZECH ZASAINI MKATABA WA KUONDOA UTOZAJI KODI YA MAPATO MARA MBILI NA KUZUIA UKWEPAJI WA KODI

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) na Balozi wa Jamhuri ya Czech nchini Tanzania mwenye makazi yake ya kudumu Nairobi-Kenya, Mhe. Nicol Adamcová, wakionesha Mkataba wa Kuondoa Utozaji Kodi ya Mapato Mara Mbili na Kuzuia Ukwepaji Kodi (Agreement for the Elimination of Double Taxation with Respect to Taxes on Income and…

Read More

Madaktari wa India kuweka kliniki Dar

Dar es Salaam. Madaktari bingwa bobezi wanne kutoka Hospitali ya Apollo ya India wametua nchini kuweka kliniki katika Hospitali ya Kitengule iliyopo jijini hapa kushughulika na wagonjwa wanaosumbuliwa na maradhi yasiyoambukiza. Katika kliniki hiyo ya siku mbili kuanzia kesho Mei 30, 2024 utatolewa ushauri kwa wagonjwa wa moyo, ubongo na uti wa mgongo, mishipa ya fahamu,…

Read More

RAIS SAMIA SULUHU AONYA VIONGOZI WAANZISHAO VIJIJI NDANI MAENEO YA HIFADHI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa onyo kali kwa viongozi wanaoanzisha vijiji ndani ya maeneo ya hifadhi na kuwatetea wananchi wanaohamia kwenye maeneo hayo, akisisitiza kuwa maeneo hayo yamehifadhiwa kwa ajili ya matumizi ya baadaye. Akizungumza katika mkutano wa hadhara, Rais Samia alieleza kuwa tabia hiyo ni kinyume na sheria na inahatarisha malengo ya serikali ya…

Read More