Kanisa Anglikana Mbagala kufungisha ndoa za pamoja

Dar es Salaam. Kanisa Anglikana la Mtakatifu Msalaba Mbagala jijini Dar es Salaam, limetangaza mpango wa kufungisha ndoa za pamoja Aprili 1, 2026 kwa waumini wanaoishi na wenza wao bila kufunga ndoa takatifu. Mpango huo umetangazwa leo Machi 1, 2026 na Mchungaji wa Kanisa Anglikana Mtakatifu Msalaba Mbagala, Rogers Mshuza wakati wa mahubiri yake ya…

Read More

Lissu adai haki zake zimeminywa, ataka aachiwe huru

‎Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameieleza Mahakama Kuu kuwa hatua ya Mahakama ya Kisutu kukataa kuwaorodhesha mashahidi wake imemnyima haki na sasa hana mahali anakoweza kuipata, isipokuwa kwa huruma ya mahakama. ‎Ametoa madai hayo leo Alhamisi, Septemba 11, 2025, wakati akihimitisha majibu yake ya hoja za Jamhuri…

Read More

Benki ya NBC ‘Yawanoa’ wafanyabiashara Tanzania – Afrika Kusini kuhusu Masoko ya Fedha za Kigeni

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imetoa elimu maalum kwa wafanyabiashara baina ya Tanzania na Afrika Kusini kuhusu masoko ya fedha za kigeni sambamba na muelekeo wa hali ya kiuchumi hususani nchini Tanzania. Hatua hiyo ililenga kuwajengea uwezo na ufanisi zaidi wafanyabiashara hao utakaowasaidia kufanya uamuzi sahihi kwenye masuala yanayohusu manunuzi ya fedha hizo na…

Read More

La Niña Inafifia, Wataalamu wa WMO Wanaonya Kwamba El Nino Inaweza Kuweka Rekodi Mpya za Joto Ulimwenguni – Masuala ya Ulimwenguni

Shule ya Bula Central mjini Bula, Camarines Sur, Ufilipino, imesalia na mafuriko wiki moja baada ya Tropical Storm Trami kuleta mvua kubwa na upepo mkali katika sehemu kubwa ya nchi mnamo 2024. Mifumo ya hali ya hewa kali kama hii inaonyesha aina ya hatari za hali ya hewa zinazohusishwa na ongezeko la joto la bahari…

Read More