Rais Samia akutana na Rais XI Jinping wa China

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya mkutano na Rais wa China, Xi Jinping pamoja na ujumbe wake mapema leo katika ukumbi wa The Great Hall of the People jijini Beijing. Rais Samia amefanikiwa kuimarisha mahusiano ya kidiplomasia ya Tanzania na nchi muhimu duniani ikiwepo China tangu alipoingia madarakani Mwaka…

Read More

Wanawake wametoa maoni kiasi kikubwa – Saada Mkuya

  WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais- Fedha na Mipango Zanzibar Dk. Saada Mkuya Salum amesema idadi kubwa ya wanawake wa visiwani Zanzibar walijitokeza kutoa maoni ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ikilinganishwa na makundi mengine. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea). Dk. Mkuya ameeleza hayo mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa…

Read More

OMO aahidi kujenga chuo kikuu cha Maalim Seif Pemba

Pemba. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Othman Masoud amesema atamuenzi Maalim Seif Sharif Hamad kwa namna anavyostahiki ikiwemo kujenga chuo kikuu cha mwanasiasa huyo, katika mji wa Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba. Maalim Seif ambaye alikuwa mwanasiasa mkongwe visiwani humo, Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, alifariki…

Read More

Too Much wababe mashindano ya Ngalawa

NGALAWA ya Too Much imeibuka mshindi wa kwanza katika mbio za ngalawa, kati ya tisa zilizoshiriki mashindano hayo yaliyofanyika Fumba, Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja. Katika mashindano hayo, nafasi ya pili imekwenda kwa Wape Kazi, huku Ubaya Ubwela ikishika nafasi ya tatu. Utoto Raha imeshika nafasi ya nne, Atoae Mola (5), Mungu Ibariki (6), Msihofu…

Read More

Absa Bank Tanzania concludes Spend & Win campaign with great success, third Subaru Forester winner applauds service excellence

The final winner of Absa Bank Tanzania’s three-month Spend & Win campaign, Ms. Amalia Lui Shio (center), receives the ignition key to a brand-new 2024 Subaru Forester from the bank’s Head of Retail Banking, Ms. Ndabu Lilian Swere, during a ceremony held in Dar es Salaam yesterday. The campaign aimed to encourage more Tanzanians to…

Read More

Serikali kuanzisha uchunguzi baada ya shambulio la Magdeburg – DW – 23.12.2024

  Mwanamume anayeshukiwa kulivurumisha gari lake katikati ya umati wa watu waliokuwa kwenye soko la Krismasi katika mji wa Magdeburg ulio Katikati mwa Ujerumani tayari amefikishwa mahakamani na anakabiliwa na mashtaka ya mauaji na kujaribu kuua, hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya polisi. Soma Zaidi: Ujerumani yachunguza maonyo kuhusu muuaji wa soko la Krismas Mshukiwa, Taleb…

Read More

Mkwabi avunja ukimya Simba, afichua shida iliopo

WAKATI hali ya sintofahamu ikiendelea ndani ya Simba ikiwamo kujiuzulu kwa baadhi ya viongozi, Mwenyekiti wa zamani wa klabu hiyo, Swedi Mkwabi  amevunja ukimya na kusema kinachoenelea sio sahihi na kuwataka viongozi wote kukaa chini na kumaliza tofauti zao ili kujenga umoja. Hivi karibuni wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba akiwamo mwenyekiti wake, Salim…

Read More

Gridi ya Taifa yapata hitilafu, Tanesco yaomba radhi

Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limetangaza kutokea kwa hitilafu kwenye gridi ya Taifa iliyosababisha mikoa mbalimbali nchini kukosa huduma mpaka sasa, huku juhudi za kurejesha zikiendelea. Katika taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya mawasiliano na huduma kwa wateja Tanesco makao makuu leo Jumapili Juni 29, 2025, imeeleza kuwa hitilafu hiyo imetokea saa 02:36 asubuhi, kwenye mfumo…

Read More