Mfuko wa ziada wa kusaidia wawekezaji kuweka akiba, wazinduliwa
Dar es Salaam. Katika juhudi za kuwasaidia wawekezaji kuweka akiba na kukuza fedha zao kupitia uwekezaji wenye nidhamu katika soko la fedha, Africa Pension Fund Limited (APeF) imezindua rasmi mfuko wa ziada, ambao ni wa kwanza wa uwekezaji wa pamoja katika soko la fedha nchini Tanzania unaojumuisha mafao ya bima ya maisha. Mfuko huo umezinduliwa…