Askofu Novatus Rugambwa afariki dunia Roma

Askofu Mkuu, Novatus Rugambwa, Mtanzania aliyewahi kuhudumu kama Balozi wa Baba Mtakatifu katika nchi mbalimbali duniani amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu huko Roma, Italia. Askofu Mkuu Rugambwa amefariki dunia usiku wa Septemba 16, 2025 akiwa Roma,  alikokuwa akiishi baada ya kustaafu utumishi wake wa kidiplomasia. Askofu huyo alizaliwa Oktoba 8, 1957 mkoani Kagera na kuwekwa…

Read More

Wahamiaji wa Venezuela wanaendesha faida za kiuchumi huko Ecuador lakini wanakabiliwa na udhaifu unaoendelea – maswala ya ulimwengu

“Ushahidi uko wazi: Wakati wahamiaji wanapata haki na fursa, wanachangia sana kwa jamii zinazowakaribisha,“Alisema Kristina Mejo, mkuu wa shirika hilo huko Ecuador. Venezuelans kwa sasa ni karibu 441,000 katika Ecuador, na kaya zinalipa karibu dola milioni 47 kwa ushuru kila mwaka. Mchango wao umewezeshwa na sera za umma ambazo ziliboresha michakato ya nyaraka, kupanua upatikanaji…

Read More

Nafasi ya Kutusua na Meridianbet Ipo Hapa

LEO hii Jumanne Mechi za UEFA za kwanza zinaanza huku kila timu ikitaka kuonesha ubabe wake mbele ya mwenzake kwa kushinda. ODDS KUBWA zipo sasa ingia kwenye akaunti yako na uibuke bingwa. Michuano ya UEFA kuanza leo ambapo mapema kabisa vijana wa Mikel Arteta Arsenal watakuwa ugenini kusaka nafasi ya ushindi dhidi ya Athletic Bilbao…

Read More

Aviator Kuwasha Moto Meridianbet, Wachezaji Kupewa Simu Mpya

KATIKA mwezi huu wa Septemba, Meridianbet imechochea ari ya ushindani kwa kuzindua kampeni ya kipekee inayowapa wachezaji wake nafasi ya kushinda simu mpya za Samsung A25 kila wiki. Kupitia mchezo wa Aviator, wachezaji sasa si tu wanaburudika, bali pia wanawania zawadi za kifahari kwa kila dau wanaloweka. Kuanzia tarehe 1 hadi 30 Septemba 2025, Meridianbet…

Read More

NITAWATUMIKIA WANA SIMANJIRO BILA UBAGUZI – OLE MILLYA

Na Mwandishi wetu, Simanjiro MGOMBEA ubunge wa Simanjiro mkoani Manyara, kupitia CCM wakili msomi, James Ole Millya amesema endapo atapewa nafasi hiyo atawatumikia wakazi wa eneo hilo bila ubaguzi wowote. Akizungumza kwenye uzinduzi wa kampeni ya CCM uliofanyika mji mdogo wa Orkesumet, Ole Millya ameomba achaguliwe kwani yeye ni mtumishi wao. Amesema hivi sasa yeye…

Read More

KLABU BINGWA YA TAIFA 2025 KUANZA LEO TANGA

▫️Jumla ya mapambano 21 kupigwa jioni ya leo ▫️Vilabu 15 kushiriki MASHINDANO ya ngumi ya Klabu Bingwa ya Taifa yanatarajia kuanza rasmi jioni ya leo katika uwanja wa michezo wa Urithi, Jijini Tanga. Jumla ya vilabu 15 kutoka mikoa ya Tanga, Dar es salaam, Kagera, Arusha, Iringa na Dodoma vinashiriki mashindano hayo vikiwa na jumla…

Read More

Rushwa ya Serikali Inasababisha Mgogoro wa Haki za Binadamu Katika Sudani Kusini, Jopo Huru hupata – Maswala ya Ulimwenguni

Kulingana na miaka miwili ya uchunguzi wa kujitegemea na uchambuzi, ripoti Inafunua jinsi mapato ya mafuta na yasiyo ya mafuta yanavyoondolewa kupitia miradi ya opaque na mikataba iliyounganishwa kisiasa. Wakati huo huo, mamilioni ya Sudan Kusini wananyimwa huduma za msingi. “Ripoti yetu inasimulia hadithi ya uporaji wa taifa: ufisadi sio wa bahati mbaya, ni injini…

Read More

Gamondi aanza kunogewa | Mwanaspoti

KOCHA wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi, amesema kutwaa ubingwa wa kwanza na klabu hiyo ndani ya mwezi mmoja tangu kuteuliwa kuinoa ni jambo linalomfanya ajisikie furaha akijivunia mradi wa kujenga kikosi imara kitakachoshindana ndani na nje. Gamondi aliiongoza Singida juzi Jumatatu kutwaa ubingwa wa mashindano ya Cecafa Kagame, taji ambalo ameliita kuwa mwanzo mzuri…

Read More

Ligi Kuu 2025/26: Mechi hizi sio za kuzikosa

MSIMU mpya wa 2025-2026 wa Ligi Kuu Bara unaanza leo Jumatano Septemba 17, 2025, huku ukitazamiwa kuongezeka kwa ushindani kutokana na timu 16 shiriki kusajili wachezaji bora wenye uzoefu katika vikosi hivyo. Wakati ratiba hiyo ikitoka kuashiria kwa msimu wa 2025-2026, Mwanaspoti linakuletea baadhi ya mechi kali na za kusisimua ambazo kama shabiki au mdau…

Read More