Wananchi walalamikia kelele zinazosababishwa na bodaboda

Dar es Salaam. Baadhi ya wakazi wa Dar es Salaam wamelalamikia kelele kubwa zinazofanywa na madereva bodaboda kwa kufunga honi zenye sauti ya juu pamoja na kutengeneza mlio mithili ya mlipuko wa bomu ambao umekuwa ukiwashtua. Malalamiko hayo yametokana na kukithiri kwa tabia hiyo ya vijana waliojiajiri kuendesha bodaboda kupiga honi hizo pamoja na ‘kulipua’…

Read More

Zanzibar yapokea mabasi mapya ya umeme

Unguja. Awamu ya kwanza ya mabasi yanayotumia umeme (ZanBus) yamewasili kupitia Bandari ya Malindi, Zanzibar. Mabasi hayo 10, yamewasili jana Januari 25, 2026 katika Bandari ya Malindi na kuelekea katika maegesho ya stendi mpya ya Kijangwani, Mkoa wa Mjini Magharibi. Taarifa iliyotolewa na Kitengo cha Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zanzibar, leo Januari 26, 2026 imeeleza…

Read More

Serikali yaagiza kituo cha afya Kaloleni kupandishwa hadhi kuwa Hospitali ya Wilaya

Arusha. Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa ameiagiza Halmashauri ya Jiji la Arusha kuanza mchakato wa maombi ya kukipandisha hadhi Kituo cha Afya Kaloleni kuwa Hospitali ya Wilaya baada ya kukamilisha ujenzi wa jengo jipya lenye ghorofa tano litakalopunguza msongamano wa wagonjwa. Hatua hiyo imetokana na msongamano mkubwa wa wagonjwa alioukuta leo Jumatatu, Januari 26, 2026…

Read More

Waziri aingilia kati sakata la Musukuma, mwekezaji

Geita. Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeingilia kati mgogoro wa matumizi ya ardhi unaohusisha Halmashauri ya Wilaya ya Geita na mwekezaji katika eneo la Mamlaka ya Mji Mdogo wa Katoro, mkoani Geita, kufuatia mvutano uliosambaa kupitia mitandao ya kijamii. Hatua hiyo imechukuliwa kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za…

Read More

TMA KUTOA UTABIRI WA MASIKA MWEZI FEBRUARI

Mtaalamu wa Hali ya Hewa kutoka TMA, Alfred Kondoya akizungumza na Torch Media Dar es salaam. ::::::::: Na Mwandishi Wetu TMA imesema inatarajia kutoa rasmi utabiri wa mvua za Masika mwanzoni mwa mwezi Februari mwaka huu, utabiri ambao utahusu kipindi cha kuanzia mwezi Machi hadi Mei. Akizungumza na Torch Media katika mahojiano maalumu yaliyofanyika ofisini…

Read More