CCT yashauri makosa madogo yasiwe sababu kuenguliwa wagombea

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) imeshauri masuala madogo madogo ya kiufundi yasitumike kama sababu ya kuwaengua wagombea ili kutoa haki sawa kwa wagombea wote. Ushauri huo umetolewa leo Novemba 14,2024 na Mwenyekiti wa CCT, Askofu Dk. Fredrick Shoo, wakati akitoa tamko la jumuiya hiyo kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa…

Read More

WAKULIMA WANEEMEKEA NA ZAO LA KAHAWA,WASEMA MIKOPO YA PEMBEJEO IMEWASAIDIA KULIMA KWA TIJA

Na Mwandishi Wetu,Ruvuma WAKULIMA wa zao la kahawa wanaohudumiwa na Chama cha Msingi cha Ushirika KImuli Amcos kata ya Utiri Wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma, wamefanikiwa kuzalisha tani 105,986.95 za kahawa zilizowaingizia zaidi ya Sh.bilioni 14,022,174,698.40 kuanzia Msimu wa kilimo 2021/2022 hadi 2024/2025.Katibu wa Chama hicho Aron Komba amesema,katika msimu 2021/2022 wakulima walizalisha tani 548,551…

Read More

Gidabuday kuzikwa Jumamosi Katesh | Mwanaspoti

MWILI wa Wilhelim Gidabuday utapumzishwa kwenye nyumba yake ya milele Jumamosi kijijini kwao Nangwa, Katesh. Gidabuday aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), amefariki alfajiri ya kuamkia jana Septemba 10, 2024 baada ya kugongwa na gari jijini Arusha. Mdogo wa marehemu, Julius Gidabuday alisema safari ya kwenda Katesh mkoani Manyara itaanza Ijumaa…

Read More

TTCL yashindwa kuunganisha faiba mlangoni

Moshi. Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amebaini Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), limeshindwa kufikia malengo ya huduma za maunganisho ya faiba mlangoni kwa wateja, baada kuunganisha kwa asilimia saba huku kampuni ya magazeti ya Serikali ikishindwa kuanzisha studio. Katika taarifa ya Ripoti Kuu ya Mwaka ya Ukaguzi wa Mashirika ya…

Read More

Coastal: Ikija pesa nzuri tunauza mastaa

BAADA ya kujihakikishia kushiriki michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu ujao, Coastal Union imesema haitakubali kuondokewa kirahisi na nyota wake walioonyesha viwango bora, bali ni kwa maslahi mapana ya timu hiyo. Costal Union inatarajia kushiriki michuano hiyo kufuatia kumaliza katika nafasi ya nne kwenye Ligi Kuu, ambapo itakuwa mara ya pili kucheza kimataifa baada…

Read More

UJENZI WA MAJENGO MAPYA IMS ZANZIBAR WAFIKIA ASILIMIA 50

NA EMMANUEL MBATILO, ZANZIBAR UJENZI wa majengo ya mabweni na jengo la utawala katika Taasisi ya Sayansi za Baharini (IMS) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), iliyopo Buyu visiwani Zanzibar umefikia asilimia 50 kukamilika. Ukiwa unatarajiwa kukamilika ifikapo mwezi Agosti 2025 na kuanza kutumika, ujenzi huo ni sehemu ya utekelezaji wa Mradi wa…

Read More