13 killed in Somanga road crash

LINDI: A total of 13 people have died in a grisly crash on the Somanga-Kilwa highway Monday, Police said. Lindi Regional Police Commander, Assistant Commissioner of Police (ACP), John Imori said six others had survived injuries after a commuter vehicle crashed with an oil tanker early on Monday. ALSO READ: Why Sub-Saharan Ahmadiyya leaders met…

Read More

DC Pangani ang’aka waliozima mashine za kukusanya ushuru

Pangani. Mkuu wa Wilaya ya Pangani, Mussa Kilakala ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wilayani humo kufuatilia mashine za kukusanya ushuru maarufu kama ‘Pos’ ambazo zimezimwa wakati zinaonekana zimekusanya fedha za halmashauri, ili wahusika wachukuliwe hatua. Akizungumza wakati wa kutoa taarifa ya Serikali juu ya utekelezaji wa ilani ya CCM kwa miezi…

Read More

Jumuiya ya Pasifiki Yaita Udharura wa Kupotea kwa Hali ya Hewa na Uharibifu wa Fedha kwa Mataifa ya Visiwa vya Frontline – Masuala ya Ulimwenguni

Nyumba iliyoharibiwa kutokana na mmomonyoko wa ardhi uliosababishwa na kupanda kwa kina cha bahari huko Tuvalu. Credit Hettie Sem/Pacific Community na Catherine Wilson (Sydney) Jumanne, Desemba 10, 2024 Inter Press Service SYDNEY, Des 10 (IPS) – Kuendeleza maendeleo ya Mfuko mpya wa Hasara na Uharibifu wa Hali ya Hewa ulikuwa wito muhimu wa mataifa ya…

Read More

DC LULANDALA AKAGUA MABANDA MAONYESHO NANE NANE ARUSHA

Na Mwandishi wetu, Arusha MKUU wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Fakii Raphael Lulandala amekagua mabanda ya maonyesho ya 30 ya kilimo ya nane nane kanda ya Kaskazini yanayofanyika viwanja vya Themi Njiro jijini Arusha na kuridhika na maandalizi yaliyofanyika. Kauli mbiu ya maonyesho hayo kwa mwaka huu wa 2024 ni chagua viongozi wa serikali…

Read More

HISIA ZANGU: Kwa Fredy Michael utachukua namba au unachokiona?

FREDY Michael, rafiki yangu Ahmed Ally wakati akijitamba na vifaa ambavyo vilitua Januari alimpachika jina la ‘Fungafunga’. Wakati huo tulikuwa hatujamuona uwanjani. Jina lilitokea mazoezini. Kama sio mazoezini basi alikuwa amelichukua kutokana na mabao aliyofunga Zambia. Baada ya hapo Fredy ametuchanganya akili. Kila tulipomuona uwanjani alituchanganya akili. Mpaka nyakati hizi nikiwasikiliza Wanasimba wenyewe wanajikuta wamechanganyikiwa…

Read More

Teknolojia hii inavyoweza kumbeba mkulima mdogo

Dar es Salaam. Itakugharimu wastani wa Sh3.81 milioni kwa mwaka kumiliki jenereta linalotumia mafuta kwa ajili ya umwagiliaji katika kilimo na litadumu kwa miaka mitatu pekee. Pia mkulima atalazimika kutumia Sh10 milioni kumiliki mitambo ya nishati ya umeme jua kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji ambao kiuhalisia utadumu kwa miaka 20. Hiyo ni kwa mujibu…

Read More

Kocha Mfaransa atua Yanga na jembe jipya

KLABU ya Yanga imeendelea kuboresha benchi lake la ufundi kwa kufanya usajili mwingine muhimu, safari hii ikimleta kocha mkongwe wa makipa kutoka Tunisia, ambaye anatarajiwa kuungana rasmi na Kocha Mkuu, Romain Folz raia wa Ufaransa. Kocha huyo wa makipa anayekuja kuchukua nafasi ya Alae Meskini aliyetimkia AS FAR Rabat ya Morocco tangu Februari 19, 2025,…

Read More

Sunzu, Maftah watia neno Derby

MASTAA wa zamani wa Simba na Yanga, Felix Sunzu na Amir Maftah wametofautiana mitazamo kuhusu mchezo wa dabi ya Kariakoo utakaochezwa Jumamosi ya Aprili 20 kuanzia saa 11 jioni kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, ambao mzunguko wa kwanza Yanga ilishinda kwa mabao 5-1. Sunzu raia wa Zambia aliyekuwa mmoja ya wafungaji wakati…

Read More