TAASISI ZA ELIMU MKOANI GEITA ZATAKIWA KUANZISHA PROGRAMU YA MAZIWA SHULENI
::::::::: Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe. Hashim Komba amezitaka taasisi za elimu Mkoani Geita kuanzisha programu maalumu ya utoaji maziwa katika taasisi hizo kama ilivyo programu ya lishe shuleni ili kuongeza kasi ya unywaji wa maziwa. Ametoa maagizo hayo leo Septemba 24, 2025 wakati akitoa hotuba ya kuhitimisha Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya…