Ligi Kuu Bara: Hawa mbona kazi wanayo!

MSIMU mpya wa Ligi Kuu Bara wa 2025-2026 unaanza leo ukiwa ni wa 62 tangu ilipoanza 1965. Kila timu kati ya 16 zinazoshiriki zinaanza hesabu mpya kuwania pointi 90 kupitia mechi 30 kila moja, kukiunda na jumla ya mechi 240 kwa msimu mzima. Klabu zinazoshiriki ni watetezi Yanga, Simba, Azam, Singida Black Stars, Tabora United,…

Read More

Maema, Camara washindwa kujizuia | Mwanaspoti

NYOTA wapya wa Simba, Neo Maema na Naby Camara wameeleza vile walivyo na shauku ya kucheza Ligi Kuu Bara mara ya kwanza huku wakiwa na malengo ya kuisaidia timu hiyo kurejesha heshima. Kwa misimu minne mfululizo, Simba imekuwa ikishuhudia Yanga ikitwaa ubingwa wa ligi jambo ambalo wadai linawapa hamasa kupigania kurejesha makali ya Msimbazi. Maema,…

Read More

Mkutano wa Doha utawezesha kuizima Israel?

Doha. Linaweza kuwa swali la kizushi. Je, mkutano wa dharura uliokutananisha mataifa ya Kiarabu na Kiislamu Doha nchini Qatar unaweza kudhoofisha ubabe wa Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu. Ni mkutano uliokuwa chini ya uenyekiti wa Amiri wa Qatar, Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani baada ya Israel kuishambulia Doha wiki moja iliyopita na kusababisha…

Read More

Fyatu anavyozoea viti vyote chatani na kayani

Kama Mafyatu na wasomaji wangu wote wajuavyo, hiki ni kipindi cha uchakachuaji, sorry, uchafuzi, sorry, uchaguzi. Mbali ya kuwa msimu wa kufyatuana na kufyatuliwa, ni msimu wa kutumia akili vilivyo. Ni msimu wa kusukuti namna ya kufyatuana mkenge. Wakati mwingine inabidi ujitoe ufahamu ili kuwanasa mafyatu ambao unaweza kuwashtaki kwa kujitoa ufahamu kutaka kufahamu mambo…

Read More