
BOT YASHINDA TUZO YA KIMATAIFA KWA UBUNIFU WA MIFUMO YA MALIPO
Mkurugenzi wa Mifumo ya Malipo ya Taifa, Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bi. Lucy Shaidi akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Tuzo ya Ubunifu katika Huduma Jumuishi za Fedha (Nestor Espenilla Jr. Financial Inclusion Innovation Award) iliyotolewa na Jumuiya ya Huduma Jumuishi za Fedha (Alliance for Financial Inclusion – AFI). ………. Benki Kuu ya Tanzania…