Waziri Mkuu Awaagiza TAKUKURU Kuwatia Hofu Wala Rushwa- Video
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba amewaagiza TAKUKURU kutengeneza mazingira magumu kwa mtu yeyote anayejihusisha na rushwa ili watu wawe waoga kushiriki vitendo hivyo akihimiza kufanya kazi yao bila woga, bila kuumiza watu ili kuisaidia Tanzania kwani baraka zote za Mkuu wa nchi na Serikali kwa…