Serikali yahimiza uwekezaji wa ndani, Tiseza ikizindua dawati Mara

Musoma. Serikali imedhamiria kuongeza idadi ya wawekezaji wa ndani kwa kuboresha mazingira ya uwekezaji baada ya kubaini kuwepo kwa changamoto mbalimbali zinazowakwaza Watanzania wengi kushiriki kikamilifu katika uwekezaji. Hatua hiyo imeonekana kupitia Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi (Tiseza), ambayo imezindua dawati maalumu la huduma mkoani Mara, likilenga kusogeza huduma karibu na wananchi,…

Read More

Ouma aiona robo fainali Shirikisho

BAADA ya kuambulia pointi tatu nyumbani dhidi ya AS Otoho, Kocha Mkuu wa Singida Black Stars, David Ouma amesema anaiona nafasi ya timu hiyo kuendelea kuandika historia kwa kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Ushindi wa Singida Black Stars juzi Jumapili wa bao 1-0 dhidi ya AS Otoho kwenye Uwanja wa…

Read More

Mastaa wamlilia Manyika Sr | Mwanaspoti

KIFO cha kipa wa zamani wa Taifa Stars, Yanga, Sigara na Mtibwa Sugar, Peter Manyika Sr kimewaliza wachezaji mbalimbali hapa nchini, huku wakimzungumzia kwa nyanja tofauti namna walivyofanya naye kazi wakati wa uhai wake. Mbali na kuwa mchezaji enzi za uhai wake, Manyika amewahi kuwa kocha wa makipa wa Yanga, Ihefu ambayo sasa inaitwa Singida…

Read More

TABIRI ZA TMA HUPITIA ‘MIKONONI’ MWA WADAU

Mtaalamu wa Hali ya Hewa kutoka TMA, Alfred Kondoya akizungumza na Torch Media Dar es salaam.  :::::: MAMLAKA ya Hali ya Hewa Nchini (TMA), imesema kabla ya kutangaza utabiri wake wa mvua,  imekuwa ikifanya vikao vya ushauri na wadau pamoja na taasisi za Serikali ili kupata maoni ya kisekta. Akizungumza na Torch Media katika mahojiano…

Read More

Mpole aanza kazi jeshini na malengo

SAA chache tangu mshambuliaji George Mpole kusaini mkataba wa miezi sita kuitumikia Tanzania Prisons, amesema anafurahia kurejea kazini baada ya kukaa nje kwa muda mrefu, tangu alipoachana na Pamba Jiji katika usajili wa dirisha lililopita, huku akiweka hadharani malengo aliyonayo kwa maafande hao. Wakati Mpole anaachana na Pamba alikuwa ameifungia mabao mawili, kitu anachokitamani katika…

Read More

Walimu zingatieni mazingira ya wanafunzi kuboresha ufaulu’

Kibaha. Walimu wa shule za msingi na sekondari katika Manispaa ya Kibaha, Mkoa wa Pwani, wametakiwa kuwatambua wanafunzi kulingana na mazingira wanakotoka ili waweze kutumia mbinu sahihi za ufundishaji zitakazowawezesha kuelewa masomo na kuongeza kiwango cha ufaulu. Wito huo umetolewa leo Jumatatu Januari 26, 2026 na Mkuu wa Wilaya ya Kibaha, Nickson Simon wakati wa…

Read More