KATIMBA AWATOA HOFU WANAFUNZI WALIOUNGULIWA NA DARASA UYUI

Na Angela Msimbira , UYUI NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe. Zainabu Katimba amewatoa hofu wanafunzi wa Shule ya Sekondari Lolangulu iliyopo Wilaya ya Uyui mkoani Tabora ambao walikumbwa na janga la moto kuwa serikali itasaidia katika urejeshaji wa miundombinu. Akizungumza baada ya kutembelea eneo hilo leo Julai 25,2024 Katimba amesema baada ya kupokea taarifa…

Read More

Michango ya gari la Lissu yafikia Sh10 milioni kwa saa 24

Dar es Salaam. Mwanaharakati wa mitandaoni nchini Tanzania, Maria Sarungi ambaye anaendesha kampeni ya kumchangisha fedha za kununua gari jipya la Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu amesema michango hiyo imefika Sh10 milioni ndani ya saa 24. Maria ametoa taarifa hiyo leo Jumapili Mei 19, 2024 saa 3 asubuhi kupitia ukurasa wake wa X…

Read More

Geay hatihati Olimpiki, daktari afunguka

Kuna hatihati kwa nyota wa Tanzania wa mbio za marathoni, Gabriel Geay kushindwa kuchuana kwenye Olimpiki msimu huu kutokana na kuwa majeruhi. Hata hivyo, daktari wa timu ya Tanzania kwenye michezo hiyo, Eliasa Mkongo amesema nyota huyo atasafiri na timu kwenda Paris, Ufaransa inakofanyika michezo hiyo itakayofunguliwa Julai 26. Amesema, Geay ambaye ana maumivu ya…

Read More

UDOM YANG’ARA TUZO ZA UANDAAJI BORA WA HESABU

  Mkurugenzi wa Fedha CPA. Mwanjaa Lyezia akipokea tuzo toka kwa Mkaguzi Mkuu wa Ndani (IAG), Bw. Benjamini Magai Katika ni Mkurugenzi Mtendaji NBAA, CPA.Pius Maneno na kushoto ni Bw. Dickson wa Kurugenzi ya Uhasibu ya UDOM. …… Chuo Kikuu cha Dodoma kimeibuka Mshindi wa Tatu katika kundi la Taasisi za Elimu ya Juu kwa…

Read More

Kilio cha fidia uharibifu wa wanyama chapata jawabu

Lushoto. Kilio cha fidia kwa wananchi wanaoathiriwa na wanyamapori kimesikika, baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuagiza kanuni zake ziangaliwe upya. Kuangaliwa upya kwa kanuni hizo kwa mujibu wa mkuu huyo wa nchi, kunalenga kuzifanya ziwezeshe utoaji fidia utakaolingana kiwango cha madhara anayosababishiwa na mwananchi. Agizo hilo la Rais Samia, linafuta machozi ya wananchi wanaoishi…

Read More