Wenye ulemavu waonya uvunjifu wa umani kuelekea uchaguzi mkuu

Mbeya. Wakati joto la uchaguzi mkuu likizidi kupanda nchini, Chama cha Watu Wenye Ulemavu wa Viungo nchini (Chawata) Mkoa wa Mbeya kimesema amani na usalama unahitajika kuliko kitu kingine kwani hali ikichafuka wao ndio waathirika wa kwanza.  Pia, kimeomba vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi kutoa fursa kwa watu wenye ulemavu wa viungo ili kupata wawakilishi watakaoweza…

Read More

Uhamisho na vifo vya raia vinaongezeka katika eneo lote – Masuala ya Ulimwenguni

© UNICEF/Ibarra Sánchez Nyumba zilizoharibiwa kusini mwa Lebanon. (picha ya faili) Ijumaa, Machi 13, 2026 Habari za Umoja wa Mataifa Kuongezeka kwa uhasama katika Mashariki ya Kati kunaendelea kusababisha vifo vya raia, kuhama kwa watu wengi na kuongezeka kwa mahitaji ya kibinadamu. Mapigano katika mpaka wa Israel-Lebanon yameongezeka, huku mamilioni ya watu katika eneo hilo…

Read More

Askofu mstaafu KKKT Kaskazini, Dk Shao afariki dunia

Moshi. Askofu mstaafu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Martin Shao amefariki dunia leo Jumatatu, Agosti 25, 2025 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya kanda ya kaskazini (KCMC), Mjini Moshi. Dk Shao amehudumu kama Askofu wa Dayosisi ya Kaskazini kuanzia mwaka 2004 hadi 2014 alipostaafu na…

Read More

Bado Watatu – 40 | Mwanaspoti

TUKATOKA pale kituoni na tukachangukana. Mimi na Sufiani tulikodi bajaj tukaenda nyumbani. Kwa vile sote tulikuwa na makosa, hakukuwa na yeyote aliyemlaumu mwenzake.Siku iliyofuata tulikwenda kuandikisha maelezo yetu na hatimaye Raisa alifikishwa mahakamani kwa kosa la kuua. Wakati Raisa anafikishwa mahakamani, mimi na Sufiani tulikuwa tumeshaachana kutokana na tukio hilo. Hatukuwa tukiaminiana tena.Hapo ndipo nilipoamua…

Read More

Morogoro kuandika historia kwa Mkwawa Rally ya Afrika

Tanzania inajiandaa kuandika historia ya kuwa mwenyeji wa mbio za magari za ubingwa wa Afrika 2025, Mkwawa Rally of Tanzania, zitakazofanyika kuanzia Septemba 19 hadi 21 mkoani Morogoro. Zaidi ya madereva 23 kutoka mataifa mbalimbali wanatarajiwa kushiriki katika mashindano hayo yatakayohusisha jumla ya kilometa 338. Mashindano haya yanatarajiwa kuwa na ushindani mkali, hasa kati ya anayetabiriwa…

Read More

Wanne wafariki dunia , 30 wajeruhiwa shambulio Ukraine

Kyiv. Shambulio limefanywa na Jeshi la Russia nchini Ukraine, limeuwa watu wanne wakiwemo watoto wawili na kujeruhi wengine 30. Shambulio kubwa la pamoja likihusisha ndege zisizo na rubani (drone) na makombora limetokea leo, Alhamisi ya Agosti 28, 2025, katika jiji la Kyiv. Shambulio hilo linatajwa kuwa la kwanza kubwa la aina hiyo tangu Rais wa…

Read More

Hii ni safari mpya ya Kagoma Simba

BAADA ya kiungo mkabaji wa Simba, Yusuph Kagoma kuongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kuitumikia timu hiyo, ameelezea safari yake mpya namna alivyo na kazi ya kuhakikisha mchango wake unakuwa muhimu katika kutimiza malengo ya timu. Kagoma aliyezaliwa Gungu, Kigoma Aprili 3, 1996 na sasa ana umri wa miaka 29), alijiunga na Simba Julai 8,…

Read More

Kuendeshwa na njaa huko Gaza, amputees ni sehemu ya uharibifu wa dhamana – maswala ya ulimwengu

“Nilikuwa nitanunua Falafel,” anasema Mohammed Hassan. “Nikiwa njiani kurudi nyumbani, niliangalia juu na nikaona roketi ikinielekea. Nilijaribu kukimbia, lakini ilikuwa haraka sana. Nilijikuta nikibandika ukutani, na mguu wangu ulikuwa umepigwa.” Aliletwa katika Hospitali ya Al-Shifa huko Gaza City, kijana huyo mchanga hutazama mguu wake wa kushoto sana, na kisiki ambacho mguu wake ulikuwa. Katika eneo…

Read More