RC TANGA ALIPONGEZA TASAC KWA UTOAJI WA ELIMU JUU YA MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA YA BAHARI
Na Oscar Assenga,TANGA SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limepongeza kutokana na juhudi zake kubwa za kutoa elimu kwa wananchi wakiwemo wadau mbalimbali juu ya madhara yatokanayo na uchafuzi wa mazingira ya bahari ambayo yanaweza kuelekea athari za kiuchumi kwa mtu moja moja na Taifa kwa ujumla. Pongezi hizo zimetolewa leo na Mkuu wa…