Dkt Biteko awakemea Watumishi wanaokwamisha Wafanyabiashara

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka watumishi Serikalini kufanya kazi kwa kuzingatia maadili na misingi ya utoaji wa huduma ili kuleta matokeo Chanya na sio kuwakwamisha watu wanohitaji huduma. Dkt. Biteko ametoa agizo hilo (Julai 30,2024) wakati akizindua Sera Taifa ya Biashara katika hafla iliyofanyika Jijini Dar es Salaam…

Read More

Kiungo Singida agomea mamilioni | Mwanaspoti

SINGIDA Black Stars imeanza harakati za mapema za kumuongeza mkataba mpya, kiungo Morice Chukwu, huku Mnigeria huyo akiwagomea mabosi hao, licha ya kuahidiwa donge nono. Chukwu alisaini mkataba wa miaka mitatu na timu hiyo, huku akiwa amezitumikia klabu tatu tofauti hadi sasa kote alikwenda kwa mkopo. Mnigeria huyo alianzia Singida Black Stars, kisha akapelekwa Singida…

Read More

KATIBU MKUU WA CCM AKUTANA NA KATIBU MKUU WA CRC

KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi amekutana na Mheshimiwa Youssoufa Mohamed Ali,Waziri wa Ulinzi ambaye ni Katibu Mkuu wa Chama Tawala Comoro cha CRC ambaye pia ni Katibu wa Rais wa Umoja wa Visiwa vya Comoro na kuzungumzia kuimarisha uhusiano baina ya vyama hivyo ikiwa ni pamoja na kutoa fursa…

Read More

Faida za kula viazi vitamu, afya ya akili yatajwa

Dar es Salaam. Wakati utafiti mwingi ukionesha ongezeko la matatizo ya afya ya akili duniani, ulaji wa lishe bora unatajwa kusaidia kuboresha afya ya akili na utendaji kazi wa ubongo. Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Shirika la Afya Duniani (WHO) mwaka 2024, kwa sasa mtu mmoja kati ya watu wanane ana matatizo ya afya…

Read More

Nyongeza ya mishahara Zanzibar yaachwa kwenye mabano

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, ameitaka wizara husika kushirikiana kwa karibu na vyama vya wafanyakazi pamoja na waajiri, kuendeleza majadiliano ya kina na ya mara kwa mara ili kuhakikisha hoja na changamoto zinazowakabili wafanyakazi zinapatiwa suluhisho la kudumu. Ametoa maagizo hayo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), yaliyofanyika kitaifa…

Read More

Sababu M23 kuendelea kuteka miji DRC

Goma. Kundi la waasi wa M23 wanaotajwa kufadhiliwa na Serikali ya Rwanda wanadaiwa kuuteka Mji wa Goma nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) baada ya mapigano yaliyodumu kwa wiki kadhaa dhidi ya vikosi vya jeshi la nchi hiyo (FARDC). Kwa mujibu wa tovuti ya The Guardian, eneo lililotawaliwa na mapigano hayo lenye majimbo ya…

Read More