Majitaka kero sugu Kariakoo | Mwananchi

Dar es Salaam. Haijalishi ni kipindi cha mvua au kiangazi, kero ya majitaka kutoka kwenye chemba za baadhi ya mitaa ya Kariakoo jijini Dar es Salaam imeendelea kuwatesa wafanyabiashara, mamalishe na maelfu ya watu wanaofika eneo hilo kwa shughuli za kibiashara. Katika mitaa kadhaa ikiwamo ya Uhuru, Msimbazi na Sikukuu, kumekuwa na majitaka yanayotiririka barabarani,…

Read More

Siasa, fedha kikwazo ujenzi daraja Mto Mligazi -2

Tanga. Kwa nini Daraja la Mto Mligazi linalounganisha wilaya za Bagamoyo, mkoani Pwani na Handeni Vijijini, Tanga, halijatengenezwa tangu Tanganyika ipate Uhuru (1961) licha ya kuwapo kwa sera, sheria na uongozi wa kisiasa na kiutawala? Swali hilo limeendelea kuumiza vichwa vya wakazi wa vijiji vya Kwasunga, Miono na Kwamsisi waotegemea kivuko cha muda walichotengeneza kwa…

Read More

UTABIRI WA MVUA ZA VULI UNA USAHIHI WA ASILIMIA 94.1

Mtaalamu wa Hali ya Hewa kutoka TMA, Alfred Kondoya akizungumza na Torch Media Dar es salaam. ::::::::::; MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema kuwa utabiri wa mvua za Vuli unaoendelea kwa sasa umefanikiwa kwa kiwango cha usahihi wa asilimia 94.1, hali inayoonesha uwezo mkubwa wa kitaalamu katika sekta ya utabiri wa hali ya…

Read More

KAMATI YA BUNGE YAIAHIDI KAMPUNI YA ALAF USHIRIKIANO

  -Kamati ya Bunge yaiahidi ALAF ushirikiano Na Mwandishi Wetu KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imefanya ziara katika kiwanda cha ALAF limited na kuahidi kuendelea kutoa ushirikiano na ushauri kwa bunge na serikali ili sekta ya chuma hususan kiwanda hiki kiendelee kuwa bora zaidi. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti…

Read More

Sababu watu kukimbilia mitandaoni kueleza matatizo yao

Matumizi ya mitandao ya kijamii kama Facebook, Instagram, X, WhatsApp na TikTok yanazidi kubadilika, huku baadhi ya watumiaji wakiigeuza kuwa majukwaa ya kutafuta suluhisho la changamoto za kifamilia na mahusiano. Masuala ya malezi, ukatili wa kijinsia, manyanyaso ndani ya ndoa na maumivu ya kimapenzi ni miongoni mwa matatizo yanayowafanya watu kuwafuata watu maarufu mitandaoni kuomba…

Read More