
Saumu Mwalimu atoa ahadi kwa wachimbaji akiomba kura
Katoro. Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu ameahidi mageuzi makubwa katika sekta ya madini kwa kuwalinda wachimbaji wadogo, hasa vijana, dhidi ya kile alichokiita ni unyanyasaji wa kuondolewa katika maeneo yenye rasilimali kama atachaguliwa. Amesema wimbi la unyanyasaji kwa wachimbaji hao limezidi, wanafukuzwa kwa nguvu na kunyimwa haki…