Saumu Mwalimu atoa ahadi kwa wachimbaji akiomba kura

Katoro. Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu ameahidi mageuzi makubwa katika sekta ya madini kwa kuwalinda wachimbaji wadogo, hasa vijana, dhidi ya kile alichokiita ni unyanyasaji wa kuondolewa katika maeneo yenye rasilimali kama atachaguliwa. Amesema wimbi la unyanyasaji kwa wachimbaji hao limezidi, wanafukuzwa kwa nguvu na kunyimwa haki…

Read More

Nikiwa Rais madini ya Tanzanite yatainufaisha Manyara – Doyo

Babati. Mgombea urais kupitia chama cha NLD Doyo Hassan Doyo amesema endapo atachaguliwa kushika nafasi hiyo, atahakikisha madini ya Tanzanite yanawanufaisha wana Manyara kuliko hivi sasa. Doyo ameyasema hayo leo Jumanne Septemba 16, 2025, alipozungumza na wananchi wa maeneo ya Bonga, Hala, Nakwa, Sigino na Singu Wilaya ya Babati mkoani Manyara. Amesema madini ya Tanzanite…

Read More

Ligi Kuu 2025/26: Hizi zitapigwa sana na jua

RATIBA ya Ligi Kuu Bara 025-2026 imetoka ambapo pazia litafunguliwa kesho, Septemba 17, 2025 kwa KMC kuikaribisha Dodoma Jiji saa 10:00 jioni huku Coastal Union ikipambana na Tanzania Prisons saa 1:00 usiku. Mwanaspoti linakuletea timu zitakazokuwa na mechi nyingi saa 8:00 mchana zikiwemo Mashujaa, Tanzabia Prisons, KMC, Mbeya City, Pamba Jiji, Tabora United, Namungo na…

Read More

Yanga sasa wababe wa Kariakoo Dabi

Yanga imeendeleza ubabe kwa Simba baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 katika mchezo wa fainali ya Ngao ya Jamii uliochezwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Shujaa wa Yanga katika mchezo huo alikuwa ni Pacome Zouzoua aliyefumania nyavu katika dakika ya 54 ya mchezo. Ushindi huo umekuwa ni wa sita mfululizo…

Read More

Mgombea ubunge aahidi kuondoa tatizo la maji Uyui

Tabora. Zikiwa zimepita siku chache tangu mgombea urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan, kunadi sera za chama hicho mkoani Tabora, Wilaya ya Uyui nayo imezindua rasmi kampeni zake za uchaguzi. Katika uzinduzi huo, mgombea wa ubunge wa Jimbo la Uyui kupitia CCM, Shaffin Sumar ameahidi kutekeleza ilani ya chama iwapo atapewa ridhaa ya kuongoza. Ametaja…

Read More

Madereva wapewa mbinu kunufaika na stahiki za wafanyakazi

Mwanza. Mikataba ya uonevu, ukosefu wa usalama kazini, kutojiunga na mifuko ya hifadhi ya jamii na kukosa bima za afya, likizo na mikopo, imetajwa kuwa changamoto kubwa zinazowakabili madereva wa bodaboda, bajaji na daladala nchini. Hayo yameelezwa leo Jumanne Septemba 16, 2025 na Ofisa Elimu wa Chama cha Wafanyakazi wa Mawasiliano na Uchukuzi Tanzania (Cotwu),…

Read More

Wasira: CCM tulifanya uamuzi sahihi kwa Samia

Makete. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema uamuzi wa kumchagua Samia Suluhu Hassan awanie kiti cha urais kupitia CCM siyo kumpa zawadi bali ni kutokana na uwezo aliouonesha kuiongoza nchi kwa mafanikio makubwa. Kimesema Samia licha ya kuichukua nchi katika mazingira magumu, lakini aliivusha salama na maendeleo makubwa yameshuhudiwa chini ya uongozi wake. Miongoni mwa mafanikio…

Read More

JKT Queens yanyakua ubingwa CECAFA

HATIMAYE JKT Queens imetawazwa kuwa bingwa wa michuano ya Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) Wanawake baada ya kuitandika Rayon Sports ya Rwanda bao 1-0 katika mchezo wa fainali uliochezwa leo Septemba 16, 2025 kwenye Uwanja wa Moi Kasarani jijini Nairobi nchini Kenya. Bao la Winifrida Gerald dakika ya tano akifunga kwa kichwa baada ya kumalizia…

Read More