Maonyesho ya ISUZU Yahitimishwa kwa mafanikio Dodoma, Wabunge, Wadau wa Usafirishaji watia neno.

Maonyesho ya siku tatu yaliyoandaliwa na kampuni ya Al Mansour Auto EA Tanzania, kuangazia teknolojia za kisasa za usafiri na muktadha mzuri wa magari ya ISUZU, yamehitimishwa kwa mafanikio makubwa jijini Dodoma huku yakionesha kuwavutia wabunge na wadau mbalimbali wa sekta ya uchukuzi nchini waliofanikiwa kutembelea maonesho hayo. Maonyesho hayo yalifanyika katika viunga vya Akachube…

Read More

Mawasiliano Same bado baada ya daraja kukatika

Same. Mawasiliano ya barabara kuu ya Same-Mkomazi, wilayani Same, Mkoa wa Kilimanjaro yameendelea kukwama kwa siku ya pili, mamlaka husika zikiendelea kutafuta ufumbuzi. Mkwamo wa mawasiliano unatokana na Daraja la Mpirani kukatika jana Januari 2, 2025 saa mbili asubuhi kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha. Daraja hilo ndilo kiungo cha kata na makazi ya wananchi wanaoishi…

Read More

Gari za ‘breakdown’ zinavyopiga pesa, kilio kwa wamiliki magari Dar

Dar es Salaam. Huduma ya kuvuta magari maarufu kama ‘breakdown’ imegeuka kuwa changamoto nyingine kwa wamiliki wa magari yaliyoharibika, licha ya kuwa mkombozi waliokuwa wakiitegemea katika nyakati za dharura. Magari yanapoharibika au kupata ajali suluhisho la haraka linalotegemewa na madereva wengi ni huduma ya kuvutwa na magari hayo. Miongoni mwa masuala yanayoibua changamoto ni bei…

Read More

Makonda: Walitaka kuniua kwa drone wakashindwa

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amewataka polisi mkoani humo kupambana na dawa za kulevya, akisema alinusurika kifo akipambana na dawa hizo alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.  Amesema kutokana na mapambano hayo, aliwindwa na watu waliotaka kumuua, lakini wakashindwa. Makonda alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam…

Read More

Meridianbet imekuletea promosheni ya kujizolea zawadi kibao

  Leo hii wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet wamekuletea promosheni ya kibabe ambayo inaitwa Saka Bajaji na Tigopesa ambayo itakufanya uondoke na zawadi mbalimbali. Ingia kwenye akaunti yako na uanze kuzisaka zawadi hizo. Promosheni hii inawapa wateja fursa ya kipekee ya kushinda zawadi za thamani, zikiwemo Bajaji, simu za kisasa, na mizunguko ya bure 250…

Read More

Vodacom Tanzania yaibuka kidedea katika tuzo za kidijitali

KAMPUNI inayoongoza kwa huduma za teknolojia na mawasiliano nchini ya Vodacom, imetunukiwa tuzo na Kampuni ya Serengeti bytes kupitia programu ya Tanzania Digital Awards katika wiki ya ubunifu (Innovation week). Kampuni hiyo ya Vodacom imejishindia tuzo katika vopengele vitano ambavyo ni: · Kampuni bora ya simu nchini · Kampuni ya simu inayotoa huduma bora zaidi…

Read More