Tabora yabeba Wazenji watano | Mwanaspoti

MABOSI wa Tabora United wamekamilisha usajili wa mabeki wawili kutoka visiwani Zanzibar tayari kwa ajili ya kuitumikia timu hiyo msimu ujao 2025-2026 na kuifanya klabu hiyo ya Ligi Kuu kufikia watano kwani awali ilishawanyakua viungo watatu. Tabora imesajili beki wa kati kutoka Zimamoto, Mudathir Nassor  Ally ‘Agrey 15’ na beki wa kulia kutoka Uhamiaji, Ally…

Read More

Cheki ‘SUB’ ya kadi nyekundu kikapu

KATIKA kila mchezo kuna raha yake kwa mashabiki na hata wachezaji. Lakini, linapokuja suala la wachezaji kuingia mchezoni kutokea benchi (sub), kwenye kikapu kuna maajabu zaidi kwani mchezo yeyote anaweza kuingia uwanjani ili mradi tu awe katika benchi la nyota wa akiba. Kwenye soka na michezo mingine mingi, mchezaji anapopewa kadi nyekundu sheria za michezo…

Read More

Mambo Manne Usiyoyajua Kuhusu mchekeshaji Leonardo

Ni wazi kuwa kwa sasa Leonardo almaarufu kama Laughs On Leonardo ni moja kati ya wachekeshaji mahiri sana kutoka nchini Tanzania Ucheshi wake pindi akiwa anatumbuiza kwenye jukwaa la Cheka Tu pamoja na video clips zake za mtandaoni zimepelekea kukuza jina lake ambapo kufikia sasa ameshakusanya zaidi ya followers Laki Tano kwenye ukurasa wake wa…

Read More

Kama Cop30 inakaribia, tunahitaji suluhisho zote za hali ya hewa – maswala ya ulimwengu

Mkutano wa 30 wa “Mkutano wa Vyama” (COP30) kwa Mkutano wa Mfumo wa UN juu ya Mabadiliko ya Tabianchi (UNFCCC) utafanyika kutoka 6-21 Novemba 2025 huko Belém, Brazil. Itakusanya pamoja viongozi wa ulimwengu, wanasayansi, mashirika yasiyokuwa ya kiserikali, na asasi za kiraia kujadili hatua za kipaumbele za kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa. COP30…

Read More

Dk Mwinyi kuchukua fomu Agosti 30, wasanii kunogesha

Unguja. Baada ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kutoa ratiba ya kuchukua na kurejesha fomu, mtiania urais kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi anatarajia kuchukua fomu Agosti 30, 2025. Siku hiyo baada ya kuchukua fomu, Dk Mwinyi ambaye ndiye Rais wa Zanzibar anayemaliza awamu ya kwanza ya utawala wake, atazungumza na…

Read More

Ecobank Tanzania Yazindua Toleo Jipya la ‘Ellevate’ kwa Kuwawezesha Wajasiriamali Wanawake

 Ecobank Tanzania imezindua rasmi toleo lililoboreshwa la mpango wake wa “Ellevate by Ecobank”, likiwa na lengo la kuharakisha ujumuishaji wa kifedha na uwezeshaji wa kiuchumi kwa wanawake wajasiriamali.. Awali, Ellevate ilianzishwa kusaidia biashara ndogo na za kati (SMEs) zinazoongozwa au kumilikiwa na wanawake. Hata hivyo, mpango huu sasa umeboreshwa na kupanuliwa ili kuwafikia wanawake katika…

Read More