Tabora yabeba Wazenji watano | Mwanaspoti
MABOSI wa Tabora United wamekamilisha usajili wa mabeki wawili kutoka visiwani Zanzibar tayari kwa ajili ya kuitumikia timu hiyo msimu ujao 2025-2026 na kuifanya klabu hiyo ya Ligi Kuu kufikia watano kwani awali ilishawanyakua viungo watatu. Tabora imesajili beki wa kati kutoka Zimamoto, Mudathir Nassor Ally ‘Agrey 15’ na beki wa kulia kutoka Uhamiaji, Ally…