Kilio cha wajane kuelekea siku yao, Serikali kuja na mwongozo

Dar es Salaam. Wakati Tanzania ikiungana na mataifa mengine kuadhimisha siku ya wajane kesho Juni 23, mila kandamizi, umaskini, kukosa uelewa wa kisheria na changamoto za kisaikolojia zimeendelea kuwa kikwazo kwa kundi hilo. Baadhi ya wajane waliozungumza na Mwananchi wameeleza licha ya jitihada mbalimbali kuendelea kuchukuliwa kuhakikisha kundi hilo linapata haki zinazostahili bado kuna namna…

Read More

Kufungiwa CS Sfaxien kwamfurahisha Fadlu, aonya Mastaa

TAARIFA kwamba Sfaxien ya Tunisia imefungiwa kucheza ikiwa na mashabiki katika mechi mbili za mwisho za Kundi A ikiwa nyumbani ikiwamo ile dhidi ya Simba, imemfanya kocha wa Msimbazi, Fadlu David kuchekelea, lakini akionya mashabiki kwamba wasibweteke kwa kuamini kucheza bila mashabiki ugenini itawabeba Tunis. Shirikisho la Soka Afrika (CAF), imedaiwa kuiadhibu klabu hiyo kutokana…

Read More

Bado Matumaini ya Mkataba wa Baadaye wa Plastiki

Mnara wa ukumbusho wenye urefu wa futi 30 unaoitwa Zima bomba la plastiki na mwanaharakati wa Kanada na msanii Benjamin von Wong ulionyeshwa kwenye Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mazingira mjini Nairobi, Kenya, mwaka wa 2022. Credit: UNEP/Cyril Villemain Maoni na Simone Galimberti (kathmandu, nepal) Jumatatu, Januari 20, 2025 Inter Press Service KATHMANDU, Nepal,…

Read More

Mfanyabiashara aliyejiua Moshi azikwa, Kanisa Katoliki likieleza sababu za kumzika

Moshi. Wakati mamia ya waombolezaji wakishiriki maziko ya mfanyabiashara aliyejiua kwa kujinyonga mjini Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro, Ronald Malisa (35), Kanisa Katoliki limeeleza sababu za kumzika licha ya taratibu za kanisa hilo kuwa na msimamo mkali wa kutozika waliojiua. Padre Festo Urassa wa Parokia ya Mbokomu, Jimbo Katoliki la Moshi, mkoani Kilimanjaro amesema wamemzika mfanyabiashara…

Read More

Kasekenya azindua Baraza la Wafanyakazi CRB, atoa maagizo

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya amezindua Baraza la Wafanyakazi la Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB), huku akilitaka kuleta uwazi na kuondoa manung’uniko mahali pa kazi. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi leo Oktoba 22,2024 jijini Dar es Salaam, Mhandisi Kasekenya amesema mahali popote ambapo Baraza la Wafanyakazi likifanya…

Read More