
Kilio cha wajane kuelekea siku yao, Serikali kuja na mwongozo
Dar es Salaam. Wakati Tanzania ikiungana na mataifa mengine kuadhimisha siku ya wajane kesho Juni 23, mila kandamizi, umaskini, kukosa uelewa wa kisheria na changamoto za kisaikolojia zimeendelea kuwa kikwazo kwa kundi hilo. Baadhi ya wajane waliozungumza na Mwananchi wameeleza licha ya jitihada mbalimbali kuendelea kuchukuliwa kuhakikisha kundi hilo linapata haki zinazostahili bado kuna namna…