Maonyesho ya ISUZU Yahitimishwa kwa mafanikio Dodoma, Wabunge, Wadau wa Usafirishaji watia neno.
Maonyesho ya siku tatu yaliyoandaliwa na kampuni ya Al Mansour Auto EA Tanzania, kuangazia teknolojia za kisasa za usafiri na muktadha mzuri wa magari ya ISUZU, yamehitimishwa kwa mafanikio makubwa jijini Dodoma huku yakionesha kuwavutia wabunge na wadau mbalimbali wa sekta ya uchukuzi nchini waliofanikiwa kutembelea maonesho hayo. Maonyesho hayo yalifanyika katika viunga vya Akachube…