Huduma mkoba yatua Songwe | Mwananchi

Songwe. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Jabiri Omari Makame amewapokea madaktari bingwa 30 wa Rais Samia watakaotoa huduma za matibabu kwenye hospitali tano za halmashauri za mkoa. Huduma zitakazotolewa ni pamoja na matibabu ya magonjwa njia ya uzazi na watoto, huduma za upasuaji wa kibobezi, utoaji wa dawa za usingizi, tiba ya magonjwa ya kawaida,…

Read More

Wataalamu wataja sababu ongezeko la mafua, Uviko-19

Dar es Salaam. Wakati Wizara ya Afya ikitoa tahadhari kwa wananchi kufuatia ongezeko la wagonjwa wa mafua makali na Uviko-19 nchini, wataalamu wa afya wameeleza sababu za kuongezeka kwa maambukizi hayo katika kipindi hiki. Aidha, wataalamu hao wametaja makundi yaliyo hatarini zaidi na kusisitiza umuhimu wa kupata matibabu stahiki mapema, badala ya kujitibu bila ushauri…

Read More

BENDERA ZA CHADEMA ZIKIPEPEA KWA MADAHA KUFURAHIA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS CCM…

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Njombe KUNA mambo yanaleta raha Kiasi kwamba hata wale ambao hawana nafasi ya kuzungumza basi hutumia mbinu mbalimbali kufikisha ujumbe kwa jamii inayozunguka Leo Septemba 6,2025 wakati wa mkutano wa kampeni za mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) ukifanyika katika Jimbo la Makambako mkooni Njombe pamoja na kuwepo na mabango mbalimbali yaliyokuwa…

Read More

Simulizi za wazazi malezi ya watoto njiti

Dar es Salaam. Kwa wazazi wa watoto njiti, kila pumzi ya mtoto ni ushindi na kila usiku wa hofu ni hatua nyingine kuelekea kwenye mwanga wa kesho. Mohammed Salim anakumbuka siku ya Mei 5, 2017 ambayo maisha yake na ya mkewe yalibadilika kwani wakati wao wakiwa wamejiandaa kupata mtoto wa pili, safari yao iligeuka kuwa…

Read More

Mweka kuwa kitovu cha mafunzo, urithi wa dunia Afrika

Moshi. Wakati Tanzania ikiendelea kuweka mikakati ya kurejesha mali kale zilizoondolewa nchini wakati na baada ya utawala wa kikoloni, Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori, Mweka kimeanzisha programu maalumu inayolenga kuzijengea uwezo nchi za Afrika katika kutambua, kuhifadhi na kulinda urithi wa asili na wa kitamaduni. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa programu hiyo leo, Agosti 26,2025…

Read More

TEITI YASHIRIKI MAONESHO YA NANE YA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA MADINI MKOANI GEITA

-Tanzania yaendelea kutekeleza Vigezo vya Kimataifa vya EITI kikamilifu -Uwazi wa Mikataba katika sekta ya uziduaji waanza kutekelezwa. GEITA* Katika maonesho hayo yaliyofunguliwa tarehe 22 Septemba, 2025 na Mhe. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa Majaliwa.Imeelezwa kwamba, tangu Tanzania ijiunge na Asasi ya Kimataifa ya EITI iliyopo nchini Norway, TEITI imeendelea…

Read More