MOROCCO YAPEWA UBINGWA WA AFCON, YAIPOKONYA SENEGAL
******* Morocco wametangazwa washindi wa AFCON! CAF imeyabatilisha matokeo ya fainali na kuwapa Morocco ushindi wa 3 – 0. Taarifa kutoka CAF imesema kwamba Senegal “imetangazwa kuwa ilisusia fainali”.