REA YARIDHISHWA NA UZALISHAJI WA NISHATI YA KUPIKIA YA RAFIKI BRIQUETTES
Bodi ya Wakurugenzi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeridhishwa na hatua zinazofanywa na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kuhakikisha upatikanaji wa Nishati Safi ya kupikia ya Rafiki Briquettes pamoja na kuendeleza kuboresha ubora wa Nishati hii. Akiongea baada ya ukaguzi wa Kiwanda cha Nishati Safi cha Rafiki Briquettes cha Kisarawe kinachomilikiwa na STAMICO,…