Msiba wa Mtei ulivyoibua mijadala ya kisiasa

Dar es Salaam. Fursa ya kutema nyongo, ndio tafsiri iliyotolewa na wachambuzi wa siasa kuhusu kauli za wanasiasa wa vyama vya upinzani walizozitoa katika jukwaa la maombolezo ya msiba wa mwasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edwin Mtei. Kwa mujibu wa wachambuzi hao, kilichozungumzwa na wanasiasa kwenye safari hiyo ya mwisho wa Mtei,…

Read More

Ndoto za RPC wa zamani kupinga ubunge wa Kakulu wa CCM zayeyuka

Dar es Salaam. Kada wa Chama cha ACT Wazalendo, Jamal Rwambow, amejikuta njia panda kupinga ushindi wa mbunge wa Mbagala (CCM), Kakulu Burchard, baada ya kesi aliyoomba aunganishwe nayo kuondolewa mahakamani. Katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 29, 2025, Rwambow aliyewahi kuwa Kamanda wa Polisi (RPC) katika mikoa mitatu nchini kabla ya kustaafu, alikuwa mwanachama wa…

Read More