TANZANIA YASHIRIKI KONGAMANO LA AFYA DUNIANI JIJINI BERLIN

:::::: Ujumbe wa Tanzania ukiongozwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Bw. Ismail Rumatila unashiriki Kongamano la Afya la Dunia linalofanyika kwa siku tatu jijini Berlin, Ujerumani kuanzia Oktoba  12 hadi 14, 2025. Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani. Mhe. Hassani Mwamweta anashiriki kongamano hilo linalofanyika chini ya kaulimbiu “Kuchukua Jukumu la Afya katika…

Read More

Dk. Ndumbaro atuma ujumbe  mzito TEFA ikizindua ofisi

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro, amekitaka Chama Cha Soka Wilaya ya Temeke(TEFA), kulinda na kuendeleza  heshima ya kimpira  wilayani humo kwa kuepuka migogoro. Dk. Ndumbaro alipiga simu wakati  hafla ya uzinduzi wa ofisi za chama hicho uliofanyika  leo Mei 10, 2024 kwenye Uwanja wa TEFA, Tandika,…

Read More

Wawakilishi waikalia kooni Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu

Unguja. Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wameikalia kooni Bodi ya Mikopo Zanzibar kwa kuchelewesha fedha za kujikimu kwa wanafunzi licha ya kutengewa kiasi kikubwa cha fedha. Wamesema hali hiyo inasababisha wanafunzi kukosa utulivu kwenye masomo yao. Wakichangia mjadala wa hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kwenye…

Read More

SERIKALI YAMPONGEZA MWL BHOKE KINARA UPISHI NA UPAMBAJI GEITA

………………. Na Daniel Limbe,Torch media SERIKALI wilayani Chato mkoani Geita imempongeza Bhoke Kisigiro, kwa kuibuka mshindi wa kwanza katika tuzo ya mpishi na mpambaji bora wa keki 2025 iliyotolewa na “Geita Women Festival (GWF) huku watumishi wengine wakihimizwa kufanya shughuli za ziada za kuwaingizia kipato baada ya muda wa kazi. Bhoke ambaye kitaaluma ni mwalimu,…

Read More

Azam FC yatua kwa Mkongomani

WAKATI dirisha dogo la usajili likitarajiwa kufunguliwa rasmi Januari Mosi, 2026, uongozi wa Azam unaangalia uwezekano wa kuipata saini ya beki wa kulia wa AS Vita Club, Mkongomani Henoc Lolendo Masanga, ili kuongeza ushindani wa nafasi. Taarifa ambazo Mwanaspoti imezipata, zinaeleza uongozi wa Azam unaangalia uwezekano wa kupata saini ya beki huyo mwenye miaka 21,…

Read More

Kilio cha wabunge kuhusu Tanapa chasikika sasa kukusanya, kutumia fedha zake

Dodoma. Bunge limepitisha bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka 2025/26 huku Serikali ikisema katika Sheria ya Fedha ya mwaka 2025 kutakuwa na mabadiliko yatakayowezesha  mashirika mawili kukukusanya na kutumia fedha (rentetion). Mashirika hayo ni Shirika la Hifadhi la Taifa (Tanapa) na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA), makusanyo yao  yalianza kwenda katika…

Read More