Serikali kuendelea kuimarisha miundombinu ya elimu

  -Kamati yaridhishwa na ujenzi Chuo kikuu Mzumbe kampasi ya Tanga Na Mashaka Mhando, Mkinga WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema Serikali itaendelea kuimarisha miundombinu ya elimu ya juu kupitia miradi ya kimkakati ikiwemo ule wa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET), ili kuchochea utafiti na ubunifu utakaosaidia maendeleo ya kijamii na kiuchumi….

Read More

WAGOMBEA UBUNGE MAJIMBO YA MKOA WA SONGWE WAJIVUNIA YALIYOFANYWA NA RAIS SAMIA “OKTOBA WOTE TUNATIKI KWA SAMIA”

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Songwe WAGOMBEA ubunge wa majimbo yaliyopitishwa katika Mkoa wa Songwe wametaja mafanikio lukuki yaliyofanywa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha miaka minne na nusu ya uongozi wake huku wakitumia nafasi hiyo kuahidi kwa niaba ya wananchi wakiahidi kumpigia kura Rais Samia katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 29,2025. Akizungumza leo…

Read More

Abbas Mwinyi azikwa Mangapwani, vigogo wahudhuria mazishi

Unguja. Wakati aliyekuwa mgombea ubunge wa Fuoni, Abbas Mwinyi akizikwa, baadhi ya wananchi kisiwani hapa wamemweleza namna ambavyo alikuwa mpole na hakupenda makuu. Abbas ambaye ni kaka wa Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi alifariki dunia usiku wa kuamkia jana, Septemba 25, 2025 katika Hospitali ya Mkoa Mjini Magharibi Lumumba alipokuwa akipatiwa matibabu na amezikwa…

Read More

Wananchi walalamikia kero ya maji Barabara ya Dodoma–Iringa

Dodoma. Wananchi waishio pembezoni mwa barabara kuu ya Dodoma – Iringa katika kata za Manzase na Fufu wameiomba Serikali kuboresha ujenzi wa barabara hiyo ambayo imekuwa kero wakati wa mvua. Wananchi hao wamelalamikia athari za mvua zinazokwamisha mawasiliano, kusababisha maji kujaa kwenye makazi yao na kuhatarisha usalama wa watumiaji wa barabara. Wakizungumza leo Jumatano Februari…

Read More