DKT LWOGA ASISITIZA UHIFADHI NA UTUNZAJI WA MALIKALE ZA NCHI.

Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa Dkt Noel Lwoga wakati akizungumza ofisini kwake jijini Dar es salaam akielezea katika kuelekea maadhimisho ya siku ya Siku ya Kimataifa ya Malikale ambayo hufanyika tar 18 April ya kila mwaka. …………………… NA MUSSA KHALID Taasisi ya Makumbusho ya Taifa la Tanzania imeisisitiza jamii kuendelea kushiriki kikamilifu katika kuhifadhi…

Read More

‘Wakristo ishini kama mlivyoishi kipindi cha Kwaresma’

Dar es Salaam. Askofu wa Jimbo Katoliki teule la Bagamoyo, Stephano Musomba amesema kila muamini anapaswa kuwa mmishionari katika kutangaza mema na ukuu wa Mungu. Sambamba na hilo, amesisitiza kutoacha aina ya maisha Wakristo Wakatoliki waliyaishi katika kipindi chote cha mfungo wa Kwaresma. Amesema hayo wakati akihubiri katika ibada ya mkesha wa Sikukuu ya Pasaka…

Read More

SAT YAWAJENGEA UWEZO WAKULIMA NA WAFUGAJI SIMANJIRO

Na Mwandishi wetu, Simanjiro SHIRIKA la kilimo endelevu Tanzania (SAT) limewajemgea uwezo wafugaji na wakulima zaidi ya 10,000 wa vijiji 10 vya wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, wa kutokomeza udumavu, matumizi ya mbinu za kilimo ikolojia, usimamizi bora wa malisho kwa mifugo na lishe ya mama na mtoto. Wafugaji na wakulima wa vijiji vya Kandasikira,…

Read More

Maulid ashinda umeya manispaa ya Kigoma

Kigoma. Diwani wa kata ya Mwanga Kusini, Manispaa ya Kigoma Ujiji, Mussa Maulid amechaguliwa kuwa Meya wa Manispaa hiyo kwa kupata kura 24 za ndiyo kati ya kura 25 za madiwani waliohudhuria kikao cha baraza hilo. Uchaguzi huo umeenda sambamba na kuwaapisha madiwani wa halmashauri hiyo, leo Jumanne, Desemba 2, 2025 mjini Kigoma katika ukumbi…

Read More

TET yazindua maabara mbili za kompyuta Tanga

Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), imezindua maabara ya Kompyuta ya vifaa vya kisasa vyenye gharama ya Sh milioni 235.5 katika shule mbili wilayani Lushoto, mkoani Tanga. Shule hizo ni Sekondari ya Magamba na Shule ya Msingi Shukilai ambapo maabara hizo zinalenga kuimarisha matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika ufundishaji na ujifunzaji. Akizungumza…

Read More

Singida Black Stars mabingwa wapya Kagame 

SINGIDA Black Stars imeweka historia kwa kutwaa ubingwa wa michuano ya Kombe la Cecafa Kagame kwa mara ya kwanza baada ya kuifunga Al Hilal ya Sudan mabao 2-1 katika mechi ya fainali iliyopigwa leo Septemba 15, 2025 kwenye Uwanja wa KMC Complex uliopo Mwenge jijini Dar es Salaam. Ni Clatous Chama ambaye ameifanya Singida Black…

Read More

Rais Masisi wa Botswana akubali kushindwa uchaguzi

Gaborone. Rais wa Botswana, Mokgweetsi Masisi amekubali kushindwa kwenye uchaguzi wa Oktoba 30, 2024 baada ya matokeo ya awali kuonyesha kuwa chama chake cha Botswana Democratic Party (BDP) kimepoteza wingi wa wabunge, ikiwa ni takriban miongo sita kikiwa madarakani. Kukubaliwa kwa Masisi kushindwa leo Ijumaa Novemba mosi, 2024 kumekuja kabla ya matokeo ya mwisho kutangazwa…

Read More