DHAMIRA YA RAIS SAMIA NI KUHAKIKISHA KILA MWANANCHI ANANUFAIKA NA UTALII WA ARUSHA- RC MAKONDA
Na Jane Edward, Arusha Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda amesema dhamira ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kuhakikisha kuwa Kila mwananchi wa Arusha ananufaika na sekta ya Utalii. Ameyasema hayo wakati wa Kongamano la uwekezaji kwenye sekta ya Utalii uliowakutanisha wadau wa sekta…