Tusua Kibingwa na Meridianbet Siku ya Leo

BAADA ya wikendi kushuhudia mitange kibao ya pesa, hatimaye leo hii tena ni nafasi nzuri ya wewe kutengeneza jamvi lako la ushindi. Mechi kibao zinakusubiri wewe, weka dau lako na uanze safari yako ya ushindi sasa. LALIGA leo hii kuna mechi moja kali ya kupiga mkwanja ambapo Espanyol Barcelona atakuwa mwenyeji wa RCD Mallorca huku…

Read More

‘Bundi’ alivyotua CCM Moshi, tafrani zaibuka kikaoni

Moshi. Hali si shwari, ndivyo unaweza kuelezea misuguano iliyopo ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Manispaa ya Moshi huku baadhi ya viongozi na wanachama wakigawanyika katika makundi mawili yanayosigana. Ni kutokana na msuguano huo, kikao cha halmashauri kuu ya chama hicho ambacho kiliketi jana Jumamosi Machi 7, 2026 katika ukumbi wa CCM mkoa almanusura kisifanyike, kama…

Read More

Biashara ya mkaa yapaa, kuni ikiporomoka

Dar es Salaam. Katika kipindi cha miaka mitatu mfululizo, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeripoti kuwapo kwa ongezeko la fedha zinazotumika kununua mkaa kwa zaidi ya mara mbili. Katika ripoti tofauti za uchumi wa Kanda za BoT, zinaonesha mauzo ya mkaa yaliongezeka kutoka Sh3.5 bilioni katika mwaka ulioishia Machi 2023, hadi Sh7.6 bilioni katika mwaka…

Read More

MALIASILI, MAHAKAMA KUIMARISHA USHIRIKIANO KULINDA HIFADHI

……………. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara anayeshughulikia Uhifadhi, Kamishna wa Polisi (CP) Benedict Wakulyamba ametoa kauli hiyo jijini Arusha alipokuwa akifunga mafunzo ya kikazi kwa majaji, wadau wa haki jinai na Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) yaliyolenga kuimarisha uhifadhi endelevu wa maliasili. “Miongoni mwa hatua tunazochukua ni kutoa elimu ya uhifadhi, kuimarisha uwajibikaji wa…

Read More

Kwa Nini Waathirika wa Unyanyasaji wa Kijinsia wa Wanaume wa Uganda Wanateseka Kimya – Masuala ya Ulimwenguni

Dk Busingye Kabumba ni profesa wa sheria katika Chuo Kikuu cha Makerere. Alisema kuna dhana potofu kuhusu ukatili wa kijinsia dhidi ya wanaume. Credit: Wambi Michael/IPS by Wambi Michael (kampala) Alhamisi, Februari 26, 2026 Inter Press Service KAMPALA, Februari 26 (IPS) – Wakati watu kwa kawaida wanafikiria kuhusu unyanyasaji wa kijinsia, ni ubakaji wa wanawake…

Read More

Bandari Dar na rekodi ya kuhudumia meli kubwa

Dar es Salaam. Baada ya mageuzi ya huduma yaliyochochea ufanisi katika uendeshaji wa bandari, hatimaye Bandari ya Dar es Salaam imeanza kupokea na kuhudumia meli kubwa zenye urefu wa hadi mita 300. Hatua hiyo inakuja baada ya uwekezaji katika sekta ya bandari uliolenga kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa kituo kikuu cha kuhudumia shehena…

Read More