Miaka 4 ya Magufuli: Askofu Niwemugizi, Rais Samia, familia watoa kauli
Geita. Viongozi mbalimbali wa Serikali, siasa, na kiroho wamezungumzia maisha ya aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, hayati John Joseph Magufuli, akiwemo Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Rulenge-Ngara, Severine Niwemugizi, aliyesema Magufuli amefanya mengi, ukiwa mtu hayaoni ni muongo. Magufuli (61) alifikwa na mauti jioni ya Jumatano, Machi 17, 2021, katika Hospitali ya Mzena,…