Serikali kuendelea kuimarisha miundombinu ya elimu
-Kamati yaridhishwa na ujenzi Chuo kikuu Mzumbe kampasi ya Tanga Na Mashaka Mhando, Mkinga WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema Serikali itaendelea kuimarisha miundombinu ya elimu ya juu kupitia miradi ya kimkakati ikiwemo ule wa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET), ili kuchochea utafiti na ubunifu utakaosaidia maendeleo ya kijamii na kiuchumi….