Ibenge asaka mrithi wa Fei Toto

WAKATI tetesi za kiungo wa Azam, Feisal Salum ‘Fei Toto’ zikizidi kuwa nyingi kwamba huenda akajiunga na Simba au Yanga, kocha mpya wa kikosi hicho Florent Ibenge amejiandaa kwa lolote. Ibenge ambaye ametua Azam akitokea Al-Hilal ya Sudan ndiye atakayekiongoza kikosi hicho msimu ujao akirithi mikoba kutoka kwa Rachid Taoussi. Taarifa kutoka ndani ya Azam…

Read More

Serikali: Matumizi ya kondomu yamepungua Tanzania

Dodoma. Serikali imesema matumizi ya kondomu wakati wa tendo la ngono nchini yamepungua kwa kiasi kikubwa, hali inayoongeza hofu ya kuongezeka kwa maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi (VVU). Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali, Dk Ziada Sellah amesema hayo jijini Dodoma leo Alhamisi Februari 13, 2025 wakati wa uzinduzi wa Siku ya Kondomu Kimataifa ambayo…

Read More

Maagizo ya Taliban Yanazidisha Mgogoro kwa Wanawake wa Afghanistan, Kupiga Marufuku Kazi Zote za NGO – Masuala ya Ulimwenguni

Wanawake na wasichana wa Afghanistan sasa wanakabiliwa na vikwazo vikali, na fursa chache za kutoka nje ya nyumba zao. Credit: Learning Together. Jumanne, Januari 21, 2025 Inter Press Service Mwandishi ni mwandishi wa habari wa kike anayeishi Afghanistan, aliyefunzwa kwa usaidizi wa Kifini kabla ya Taliban kuchukua mamlaka. Utambulisho wake umefichwa kwa sababu za usalama…

Read More

Mechi ya marudiano ya Tyson Fury na Oleksandr Usyk yawekwa.

Mchezo wa marudiano kati ya Tyson Fury na Oleksandr Usyk umepangwa kufanyika Desemba 21, 2024, mjini Riyadh, Saudi Arabia. Mechi hii ya marudio inayotarajiwa sana ilithibitishwa na Turki Alalshikh, mwenyekiti wa Mamlaka Kuu ya Burudani ya Saudi Arabia. Usyk alikua bingwa asiyepingwa wa uzani wa juu alipomshinda Fury kupitia ushindi wa uamuzi uliogawanyika katika pambano…

Read More

SHULE YA MSINGI MKANGE YAKABILIWA NA UCHAKAVU WA MIUNDOMBINU NA UPUNGUFU WA MADAWATI

Na Mwamvua Mwinyi, Mkange-Chalinze  Feb 28,2025 Shule ya Msingi Mkange, iliyopo Chalinze, mkoani Pwani, inakabiliwa na changamoto kubwa ya uchakavu wa miundombinu, ambapo vyumba vya madarasa vitatu vimechakaa na madarasa mawili hayatumiki ili kuepuka hatari kwa wanafunzi. Hali hii ilibainika wakati wa ziara ya maofisa kutoka Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya MAMA SAMIA,Chalinze na…

Read More

NMB yaahidi neema wadau sekta ya kilimo

KATIKA kuhakikisha wadau wa sekta ya kilimo wananufaika na kuchangia Pato la Taifa, Benki ya NMB imeahidi kuendelea kutoa elimu, mikopo ya riba nafuu na bima za sekta za uzalishaji kwa mkulima mmoja mmoja, vikundi vya wakulima, wafugaji, wavuvi na vyama vya ushirika. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma… (endelea). Ahadi hiyo imetolewa leo Jumamosi na Mkuu…

Read More

Chadema wamkataa Jaji Mwanga, wadai hawana imani naye

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimemtaka Jaji Hamidu Mwanga wa Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam ajitoe kwenye kesi inayohusiana na chama hicho, wakidai hawana imani naye. Kimesema sababu za kumkataa Jaji Mwanga ni kuendesha shauri hilo, upande mmoja baada ya wakili wa Chadema, Jebra Kambole kujitoa, ilitakiwa mahakama hiyo…

Read More

Ujumbe wa Rais wa Msumbuji akiwaaga Watanzania

Dar es Salaam. Zikiwa zimebaki siku 98 kabla ya Msumbiji kufanya uchaguzi wake mkuu, Rais wa Taifa hilo, Filipe Nyusi amewashukuru Watanzania kwa ushirikiano mkubwa waliompa katika safari yake ya utawala wa miaka 10. Rais Nyusi amesema hayo leo Jumatano, Julai 3, 2024, katika sehemu ya hotuba yake ya ufunguzi wa Maonyesho ya 48 ya…

Read More