Peter Manyika Sr afariki dunia

KIPA wa zamani wa Yanga na timu ya Taifa ‘Taifa Stars’, Peter Manyika Sr amefariki leo alfajiri na mwili wake umehifadhiwa katika hospitali ya Mwananyamala, Dar es Salaam. Taarifa kutoka kwa kijana wake kipa wa zamani wa Simba na Taifa Stars, Peter Manyika Jr amethibitisha hilo na kwamba msiba upo nyumbani kwao Mbezi. “Baba kafariki…

Read More

WPL kuendelea Jumatano kwa mechi tano

MTANANGE wa Ligi Kuu ya Wanawake itaendelea tena Jumatano hii Januari 28 zikipigwa mechi tano ikiwemo ile ya bingwa mtetezi JKT Queens dhidi ya Alliance Girls inayotarajiwa kuwa na ushindani. Msimamo wa ligi hadi sasa unaongozwa na Simba yenye pointi 28 ikifuatiwa na Yanga Princess yenye nazo 24, JKT nafasi ya tatu na pointi 20…

Read More

Jaruph afichua kinachombeba Morocco | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Ain Diab na Timu ya Taifa ya Soka la Ufukweni, Jaruph Juma ametaja siri ya kuwa na mwendelezo mzuri msimu huu na kuonyesha kiwango bora kwenye Ligi ya Morocco. Myanzania huyo ambaye alijiunga na timu hiyo mwishoni mwa msimu wa 2024/25, amesema amekuwa akifanya mazoezi binafsi na kujituma kwa misimu miwili na hivyo…

Read More

Bambucha akitamani kinachofanyika Yanga | Mwanaspoti

MSANII mkongwe wa filamu za Kibongo, Omary Babuu ‘Bambucha’ amesema japo yeye ni shabiki wa Simba, lakini anatamani kile kinachofanywa na Yanga kinastahili kuigwa na timu hiyo anayoishabiki ili iweze kurejea katika ushindani na kuleta furaha kwa mashabiki wa klabu hiyo ya Msimbazi. Bambucha aliyewahi kutamba na filamu ya Sura Mbili, amesema Yanga kwa misimu…

Read More

Msikie Pedro anavyotengeneza bomu la Waarabu

YANGA imerejea nchini jana Jumapili ikitokea Misri ilipoenda kucheza mechi ya tatu la Makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika ikipoteza kwa bao 1-0 mbele ya Al Ahly itakayorudiana nao wikiendi, lakini kuna hesabu mpya zinapigwa na kocha wa timu hiyo, Pedro Goncalves dhidi ya Waarabu hao kabla ya pambano hilo. …

Read More

Dk 90 za kipa mpya zenye namba za kutisha

SIKU zote namba huwa haziongopi. Licha ya kuruhusu bao moja mbele ya Esperance ya Tunisia katika mechi ya Kundi D ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini dakika 90 alizotumika kwa mara ya kwanza kwa kipa mpya wa Simba, Djibrilla Kassali zimembeba kutokana na kazi kubwa aliyoifanya jijini Tunis. …

Read More

NDUTU, NI SAWA NA MUHIMBILI YA ZAMANI WAKATI WA KUZAA KWA NYUMBU NDANI YA HIFADHI YA NGORONGORO

Na Mwandishi wetu, Ndutu Ngorongoro. Kwa wale waliozaliwa zamani kidogo wanajua historia ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa akina mama wajawazito kwenda kujifungua, kama ingekuwa ni hosptali eneo la Ndutu ndani ya hifadhi ya Ngorongoro lingefananishwa na hospitali hiyo kwani katika eneo hilo maelfu ya wanyama hao humiminika kwenda kuzaa. Kama wasemavyo wahenga mwenda…

Read More