Uchaguzi Mkuu wa Congo Brazzaville unavyoibua mjadala wa demokrasia
Dar es Salaam. Kura zinaendelea kuhesabiwa huko Congo Brazzaville kufuatia uchaguzi wa rais uliofanyika jana, huku ukishuhudia mwitikio mdogo wa wapiga kura. Vituo vya kupigia kura vilifungwa saa kumi na mbili jioni, na mamlaka nchini humo zimetangaza kuwa matokeo ya awali yanatarajiwa kuanza kutolewa ndani ya saa 48 hadi 72 zijazo, huku matokeo rasmi yakitarajiwa…