
Ngushi afungua kitabu cha mabao Ligi Kuu Bara
MSHAMBULIAJI wa Mashujaa FC ya Kigoma, Crispin Ngushi amekuwa mchezaji wa kwanza kwa msimu huu kufunga bao katika mechi za Ligi Kuu Bara 2024-2025 wakati akiitanguliza Mashujaa kwenda mapumziko ikliwa mbele kwa bao 1-0 dhidi ya Dodoma Jiji. Ngushi ambaye amewahi kutamba na timu za Mbeya Kwanza aliyopanda nao Ligi Kuu misimu mitatu iliyopita, kabla…