Mtaalamu azungumzia faida, fursa katika sekta ya gesi

Dar es Salaam. Mtaalamu wa Nishati ya Gesi kutoka Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), Mhandisi Geturu Bosinge, amesema watu wengi hawana ufahamu wa kutosha kuhusu faida za nishati ya gesi asilia katika matumizi mbalimbali, ikiwemo magari na mafuta. Amesema sekta ya gesi asilia ina fursa nyingi ambazo bado hazijafahamika wala kutumiwa kikamilifu na…

Read More

“HAKUNA CHAKULA BILA MISITU” MHE. CHANDE

…………… Na Saidi Lufune, Katavi Wakati Tanzania ikijiandaa kuadhimisha siku ya misitu Duniani Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), amewataka watanzania kushirikiana na Taasisi za uhifadhi nchini katika uhifadhi wa Misitu kuongeza chachu ya maendeleo endelevu kupitia misitu iliyopo hapa nchini Mhe. Chande amebainisha hayo Mkoani Katavi katika mkutano wa…

Read More

Mahakama yaridhia Exim kumshtaki Gavana BoT

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imeiruhusu Benki ya Exim kufungua shauri dhidi ya Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kupinga uamuzi wa kuirejeshea isivyo halali Kampuni ya Swiftline Logistics Limited Dola 224,000 za Marekani zilizochukuliwa kwenye akaunti. Uamuzi huo umetolewa na Jaji Awamu Mbagwa, katika shauri la Exim la…

Read More

MUHIMBILI YAANDIKA REKODI YA KWANZA AFRIKA MASHARIKI, WATOTO 103 WAPANDIKIZWA VIFAA VYA KUSAIDIA KUSIKIA

Katika kutekeleza azma ya mageuzi katika sekta ya afya nchini, Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imeweka historia kwa kuwa taasisi ya kwanza Afrika Mashariki kufanikisha upandikizaji wa vifaa vya kusaidia kusikia (cochlear implant) kwa watoto 103 ambapo hatua hiyo imeshuhudiwa leo Septemba 29, 2025, baada zoezi la vifaa 16 kuwashwa rasmi kwa watoto waliokuwa wakisumbuliwa…

Read More

AG awataka watumishi wa umma kulinda taswira ya Serikali

Dar es Salaam. Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari, amewataka watumishi wa umma kuepuka vitendo vinavyoathiri taswira ya Serikali na utumishi wa umma. Amewataka watumishi hao kuhakikisha wanawajibika ipasavyo kama kanuni na taratibu za utumishi wa umma zinavyowaelekeza. Johari ametoa wito huo leo Machi 6, 2026, wakati akifungua kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi…

Read More

Siri ya ndoa kudumu iko hapa

Dar es Salaam. Ndoa na uhusiano wa kimapenzi ni safari ya maisha yenye changamoto, mafanikio na mafunzo. Ili ndoa au uhusiano udumu, kuna mambo ya msingi yanayopaswa kuzingatiwa na wanandoa au wapenzi, ambayo makala haya itayaangazia. Mojawapo ya mambo hayo ni mawasiliano. Haya ni moyo wa uhusiano wowote. Wanandoa au wapenzi wanapaswa kuwa na uwezo…

Read More

Wanafunzi NM-AIST wabuni roboti la ukaguzi viwandani

Arusha. Wanafunzi watatu kutoka Chuo cha Sayansi na Teknolojia cha Nelson Mandela (NM-AIST), wamebuni roboti lenye uwezo wa kukagua chupa za vinywaji katika mchakato wa uzalishaji viwandani. Mashine hiyo iliyotengenezwa kwa ushirikiano wa Profesa Anaeli Sam, Dk Judith Leo na Jared Nganyi, inafanya kazi kwa mfumo wa kunyanyua na kushusha, ikiwa na mkono wa roboti…

Read More

Namna ya kumsaidia mtoto anayemaliza darasa la saba

Dar es Salaam. Wakati wanafunzi wa darasa la saba wakitarajia kufanya mitihani yao ya kumaliza elimu ya msingi Septemba 10 na 11 mwaka huu, wadau wameainisha njia nzuri ya kuishi nao kwa miezi mitatu ijayo. Kipindi hiki cha likizo kinatajwa kuwa fursa nzuri kwa wazazi na walezi kusaidia kukuza vipaji vya watoto wao, hivyo kupata…

Read More