Wananchi Dar walia bili kubwa za maji bila maji

Dar es Salaam. Katikati ya kilio cha ukosefu wa huduma ya maji safi na salama katika baadhi ya maeneo jijini Dar es Salaam, kumeibuka changamoto nyingine kwa wananchi kulalamikia kutumiwa ankara kubwa za huduma hiyo, hali inayowaathiri zaidi wa kipato cha chini. Hata hivyo, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira…

Read More

Kalambo achungulia dirisha dogo mapema

KIPA wa Geita Gold, Aaron Kalambo amesema licha ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja na kikosi hicho ana uwezo pia wa kuondoka Desemba mwaka huu wakati wa dirisha dogo la usajili litakapofunguliwa, huku nia yake ni kucheza Ligi Kuu Bara. Kalambo aliyejiunga na kikosi hicho akitokea Dodoma Jiji, alisema, licha ya malengo hayo aliyojiwekea bado…

Read More

Tanzania, China zabainisha mikakati kuimarisha elimu ya ufundi stadi

Dar es Salaam. Tanzania na China zimeeleza mikakati ya kuendelea kuimarisha ushirikiano baina yao katika maeneo matatu ikiwemo ubadilishanaji wa wakufunzi, wanafunzi na kuimarisha elimu ya kidigitali. Katika elimu ya kidigitali, China imesema itashirikiana na Tanzania kuandaa vitabu vya kidigitali vyenye lugha mbalimbali pamoja na kuhamasisha matumizi ya teknolojia hizo. Eneo la tatu la ushirikiano…

Read More

UCHAMBUZI: Kwanini usajili wa Mwenda Yanga?

KWA nini Yanga imemsajili Israel Patrick Mwenda? Wameona nini kwake? Usajili wake una maanisha nini na je ataweza kupindua meza baada ya kushindwa mbele ya Shomari Kapombe wakati alipokuwa Simba? Hayo ni maswali wanaojiuliza wapenzi na mashabiki wa Yanga baada ya jana asubuhi, uongozi wa Yanga kumtambulisha beki huyo wa kulia anayemudu pia kucheza kushoto…

Read More

MWANDISHI WA HABARI MANENO SELANYIKA AFARIKI DUNIA

:::::: Mwandishi wa habari , Maneno Selanyika aliyefariki dunia Oktoba 29, 2025, wakati akiwa njiani kuelekea dukani karibu na makazi yake, baada ya kukumbana na vurugu zilizozuka eneo hilo kwa siku hiyo.  Taarifa kutoka kwa familia na Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Dar es Salaam (DAR-PC) zinaeleza kuwa tukio hilo lilitokea ghafla na…

Read More

Mbeya yaingilia kati Prisons na Ken Gold

WAKATI Tanzania Prisons na Ken Gold zikiendelea kuchechemea kwenye Ligi Kuu, chama cha soka mkoani Mbeya (Mrefa) kimezitaka timu hizo kutekeleza ushauri wa kamati ya mashindano ili kukwepa aibu ya kushuka daraja. Timu hizo pekee mkoani Mbeya kwenye Ligi Kuu, hazijawa na matokeo mazuri na kuweka presha kwa mashabiki na wadau wa soka katika vita…

Read More

Bashungwa ataka mifumo itatue malalamiko ya wananchi

Dodoma. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa, ameiagiza menejimenti ya wizara hiyo kuhakikisha inasimamia kikamilifu kitengo kinachoshughulikia malalamiko yanayowasilishwa na wananchi kupitia wizara, taasisi na vyombo vya usalama. Ameagiza malalamiko hayo yashughulikiwe kwa wakati na mrejesho wa utatuzi utolewe kwa wananchi. Pia, Waziri Bashungwa amezitaka idara za mawasiliano na habari ndani ya…

Read More