DK.SAMIA:HUWEZI KUSIKIA MTU CCM AKISEMA ‘TUKIWASHE’ LABDA KIWE KING’AMUZI CHA AZAM

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Kasulu MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan Chama kinachojali ustawi wa taifa letu la Tanzania usikii mtu kwenye Chama hicho akisema tukiwashe na kama wakisema tukiwashe labda kile king’amuzi cha Azam lakini siyo tukiwashe kwa fujo.  Dk.Samia ameyasema hayo leo Septemba 13,2025 alipokuwa akihutubia maelfu ya wananchi…

Read More

Sababu walimu wa diploma kufundisha shule za msingi

Dar es Salaam. Katika hatua inayotarajiwa kubadili mwelekeo wa ubora wa elimu nchini, Serikali inatarajia kuanza kuwapanga walimu wapya kulingana na viwango vyao vya elimu huku walimu wanaohitimu stashahada (diploma) wakielekezwa moja kwa moja kufundisha katika shule za msingi. Mpango huo ni sehemu ya utekelezaji wa Sera ya Elimu ya mwaka 2014, toleo la mwaka…

Read More

12 mbaroni tuhuma za kujeruhi, kupora Sh20 milioni Same

Same. Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linawashikilia watu 12 kwa tuhuma za kumjeruhi na kumpora Sh20 milioni, mwenyekiti mstaafu wa Halmashauri ya Wilaya ya Same, Yusto Mapande. Tukio la kujeruhiwa kwa mwenyekiti huyo lilitokea Agosti 21, 2025 wakati akingia nyumbani kwake baada ya kutoka kwenye shughuli zake za biashara. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon…

Read More

‘Ulimwengu wa Vita Kulia kwa Amani’ anasema mkuu wa UN kama viongozi wanavyokusanyika New York – Masuala ya Ulimwenguni

“Maisha yanavutwa kando, utoto umezimwa, na hadhi ya msingi ya kibinadamu imetupwa, huku kukiwa na ukatili na uharibifu wa vita,“Bwana Guterres alisema katika ujumbe wa siku hiyo.”Wanachotaka ni amani.“ Alisisitiza kwamba mzozo leo haujafungwa kwenye uwanja wa vita, na athari zake zinazunguka mipaka, na kuhamishwa, umaskini na kutokuwa na utulivu. “Lazima tunyamaze bunduki. Kumaliza mateso….

Read More

Bado Watatu – 7 | Mwanaspoti

“MUME wako anaitwa nani?” “Anaitwa Omar Kikasha.” “Hakuna mtu mwingine anayeishi katika nyumba hii anayetumia jina hili?” Nilianza kutomuamini mwanamke huyo kwa kuhisi alikuwa anatuficha. Tabia ya binaadamu akishaona mtu anaulizwa na polisi hata kama hajui amefanya kosa au la, anamficha. Sijui ni kwanini? “Mume wako yuko wapi?” nikamuuliza. “Anafanya kazi wapi?” “Mume wangu ni…

Read More