Ngushi afungua kitabu cha mabao Ligi Kuu Bara

MSHAMBULIAJI wa Mashujaa FC ya Kigoma, Crispin Ngushi amekuwa mchezaji wa kwanza kwa msimu huu kufunga bao katika mechi za Ligi Kuu Bara 2024-2025 wakati akiitanguliza Mashujaa kwenda mapumziko ikliwa mbele kwa bao 1-0 dhidi ya Dodoma Jiji. Ngushi ambaye amewahi kutamba na timu za Mbeya Kwanza aliyopanda nao Ligi Kuu misimu mitatu iliyopita, kabla…

Read More

ATE, CLOUDS NACOCACOLA WAUNGANA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA

 Mkurugenzi mtendaji wa ATE, Suzanne Ndomba-Doran na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mikocheni B, Nelson Saidi wakipanda mti mara baada ya kufanya usafi ikiwa ni kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja ambayo hufanyika wiki ya kwanza ya Oktoba kila mwaka.Wafanyakazi wa ATE na Cocacola wakifanya usafi katika barabara ya Cocacola Mikocheni B jijini Dar es…

Read More

WaterAid, TGNP NA TAWASANET WAJENGA UWEZO KWA WANAWAKE HANANG’

Taasisi ya WaterAid Tanzania, Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), na Mtandao wa Asasi za Kiraia zinazoshughulikia Maji, na Usafi wa Mazingira Tanzania (TAWASANET), wamefanya mafunzo ya kujenga uwezo kwa wanawake viongozi kutoka vijiji nane (8) katika Halmashauri ya Wilaya ya Hanang, Mkoani Manyara. Mafunzo hayo yanalenga kujenga uwezo kwa viongozi wanawake wanaohudumu kwenye Kamati za…

Read More

Polisi yawaachia kina Mbowe kwa dhamana, baadhi wakwama

Mbeya. Jeshi la Polisi mkoani Mbeya limethibitisha kuwashikilia na kuwahoji viongozi na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wapatao 520 na kuwaachia huru baadhi yao kwa dhamana. Pia limesema ambao hawakuachiwa ni wale walioshindwa kukidhi masharti ya dhamana au kuwa na makosa zaidi ya moja, ikiwemo jinai. Limesema halitasita kuchukua hatua kwa yeyote…

Read More