
Dk Nchimbi aahidi Muheza mpya, Mwana FA apongeza miradi
Muheza. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema dhamira ya chama hicho katika miaka mitano ijayo ni kuibadilisha Wilaya ya Muheza, Mkoa wa Tanga iwe ya kisasa na kichocheo cha uchumi wa wananchi. Dk Nchimbi amesema hayo leo Jumanne, Septemba 16, 2025 katika mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu…