Victor Roque: “Nichezesheni au mniache”

Wakala wa Vitor Roque anapunguza sauti akiwa na Barcelona lakini bado yuko mezani huku klabu tatu zikivutiwa Mchezaji nyota wa Barcelona, ​​Vitor Roque amekuwa kwenye vichwa vya habari kwa sababu zisizo sahihi zaidi ya zile sahihi wakati wa uchezaji wake mpya huko Catalonia, na bado inaweza kuwa kukaa kwa muda mfupi katika klabu hiyo. Baada…

Read More

Profesa Janabi atua Arusha kuongeza nguvu kambi madaktari

Arusha. Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Profesa Mohamed Janabi amewasili mkoani Arusha kwa lengo la kuongeza nguvu kwenye kambi ya madaktari bingwa na wabobezi inayoendelea jijini Arusha. Profesa Janabi amewasili usiku wa kuamkia leo ambapo leo Alhamisi Juni 27, 2024 ataungana na timu ya wataalamu wanaoendelea kutoa huduma na jukumu lake…

Read More

Tamwa yatoa neno kwa wanahabari vijana

Unguja. Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania, Zanzibar (Tamwa-ZNZ) kimewataka waandishi wa habari vijana kuwa mashujaa na mabalozi wazuri wa kusaidia upatikanaji wa usawa wa kijinsia kwa maendeleo ya nchi. Hayo yameelezwa Agosti 10, 2024 na Mkurugenzi wa chama hicho, Dk Mzuri Issa Ali alipofungua mafunzo ya siku tano ya kuendeleza waandishi wa habari…

Read More

Wajasiriamali wapewa mbinu kulikamata soko la ngozi kimataifa

Dar es Salaam. Wajasiriamali nchini Tanzania wamepewa mbinu za kukabiliana na changamoto ya bidhaa za ngozi na vifungashio katika ushindani wa soko la kitaifa, kikanda na kimataifa. Wajasiriamali 50 wamepewa mbinu hizo leo Alhamisi Julai 18, 2024 katika kongamano la kuwaongezea uwezo ili kuweza kushindana kwenye masoko ya ndani na nje ya nchi, lililoandaliwa na…

Read More

Mfuko wa maji waeleza matumizi tozo ya Sh50 kwenye mafuta

Dar es Salaam. Mfuko wa Taifa wa Maji (NWF) hutumia Sh50 zinazokatwa kwenye kila lita ya mafuta kufadhili na kuendeleza miradi ya maji nchini na kwa mwaka hukusanya takriban Sh170 bilioni. Pamoja na vyanzo vingine vya upatikanaji wa fedha, makusanyo yake yanatumiwa katika miradi kwa asilimia isiyopungua 88, huku asilimia isiyozidi 10 ikielekezwa katika usimamizi,…

Read More

ALAF yafanya kweli Kilimanjaro International Marathon

  KAMPUNI ya ALAF Limited imeahidi kuendelea kuwawezesha wafanyakazi wake kuimarisha afya ya mwili na akili ili kuzidisha ufanisi wao wawapo kazini Meneja Rasilimali Watu wa ALAF Jumbe Onjero ameeleza hayo hivi karibunj wakati akitoa taarifa kwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,. Dkt.Doto Biteko alipotembelea banda la kampuni hiyo kwenye Maonyesho ya The…

Read More

Wafanyabiashara walia kuahirishwa Dabi | Mwanaspoti

WAFANYABIASHARA wanaofanya shughuli zao Uwanja wa Benjamin Mkapa, wameonyesha masikitiko makubwa kufuatia kuahirishwa kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga dhidi ya Simba. Mchezo huo uliotarajiwa kuchezwa leo saa 1:15 usiku, umeahirishwa na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) ambayo ilitoa taarifa yake saa sita kabla ya kufika muda wa mchezo uliopangwa. Kitendo…

Read More