Sababu bima ya vyombo vya moto kuongoza, afya bado

Dar es Salaam. Sekta ya bima nchini inaendelea kushuhudia ukuaji mwaka hadi mwaka, huku bima ya vyombo vya moto ikiongoza kwa kuingiza mapato makubwa, ikifuatiwa na ya maisha, wakati ya afya ikishika nafasi ya tatu kwa mchango wake katika sekta hiyo. Wadau wa sekta ya bima wanasema bima ya vyombo vya moto inaongoza kutokana na…

Read More

Samia ashika siri za mawaziri sita

Dar es Salaam. Baraza la Mawaziri chini ya Rais Samia Suluhu Hassan linahitimisha safari yake ya utumishi wa miaka minne, huku likiacha kumbukumbu sita za pekee, ikiwemo teua tengua 15 na kuanza bila ya Makamu wa Rais. Safari ya baraza hilo ilianza Machi 19, 2021, saa chache baada ya Rais Samia kuapishwa kuwa mkuu wa…

Read More

KASEKENYA:BARAZA LA WAFANYAKAZI NI JUKWAA MUHIMU MAHALA PA KAZI

  NAIBU Waziri wa Ujenzi Mhandisi  Godfrey Kasekenya,akizungumza wakati  akizindua  Baraza la Wafanyakazi la Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) lililofanyika leo Oktoba 23,2024 jijini Dodoma. NAIBU Waziri wa Ujenzi Mhandisi  Godfrey Kasekenya,akizungumza wakati  akizindua  Baraza la Wafanyakazi la Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) lililofanyika leo Oktoba 23,2024 jijini Dodoma. Mwakilisha wa Katibu Mkuu Wizara ya…

Read More

Mtoto aliyeibwa Januari 15 apatikana kwenye mashamba ya miwa

Kilosa. Mtoto Shamimu Nasibu, mwenye umri wa miaka miwili ambaye aliripotiwa kupotea alipokuwa akicheza na mwenzake karibu na nyumbani kwao, hatimaye amepatikana akiwa hai kwenye mashamba ya miwa katika Kijiji cha Kisanga, kata ya Ruaha, Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro. Mtoto huyo aligunduliwa na wasamaria wema waliokuwa wakipita katika mashamba hayo. Akizungumza na Mwananchi leo…

Read More

Wanajeshi wanne wa Israel wauawa kwa mlipuko

Rafah.  Jeshi la Israel (IDF) limethibitisha vifo vya wanajeshi wanne vilivyotokana na mlipuko uliotokea Juni 10, 2024 wakati wa mapigano kati yao na Hamas, eneo la Rafah Kusini mwa Gaza. IDF imewataja wanajeshi hao kuwa ni Sajenti Eitan Karlsbrun (20), Meja Tal Pshebilski Shaulov (24), Sajenti Yair Levin (19) na Sajenti Almog Shalom (19) waliokuwa…

Read More

UCHAGUZI WA MBUNGE WA EALA KUFANYIKA AGOSTI 27, 2024

Katibu wa Bunge anatoa Taarifa kwa Umma kwamba Uchaguzi wa Mjumbe Mmoja (1) atakayejaza nafasi wazi ya Kundi la Wanawake kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) ya kuiwakilisha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki, utafanyika katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa Mkutano wa Kumi na Sita unaotarajiwa kuanza…

Read More

VITONGOJI 284 ARUMERU MASHARIKI VYAFIKIWA NA UMEME

……….. 📌  Ni kati ya Vitongoji 330 vya Jimbo la Arumeru Mashariki. 📌Kapinga asema upelekaji umeme unafanyika kwa  awamu kulingana na upatikanaji wa fedha Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imevifikishia huduma ya umeme Vitongoji 284 katika Jimbo la Arumeru Mashariki kati ya Vitongoji 330. Mhe….

Read More