KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA MRADI WA HEET KUFIKIA 70% MUHAS
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo imeridhishwa na maendeleo ya mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET) ambao umefikia asilimia 70. Akizungumza leo wakati wa ziara ya kutembelea Kampasi ya Mlonganzila, Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Husna Sekiboko alisema lengo la…