SHILINGI BILIONI NNE KUGHARAMIA MATIBABU YA UPASUAJI WA MABUSHA NCHINI
Na WAF, Dar es Salaam Serikali ya Tanzania chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imetoa zaidi ya Shilingi Bilioni Nne (4) kwa ajili ya matibabu ya upasuaji wa Mabusha nchini ambapo wananchi wanapata huduma hiyo bila malipo. Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe amesema hayo leo Januari 25, 2026 alipofanya ziara kwenye kambi…