Uamuzi wa Tume ya Jaji Chande waibua maoni tofauti

Dar es Salaam. Uamuzi wa Tume ya Kuchunguza Matukio Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 wa kuzuia waandishi wa habari kushuhudia vikao vya kupokea ushahidi wa waathirika, umeibua mjadala miongoni mwa wanasheria, wataalamu wa afya ya akili, wanahabari na watetezi wa haki za binadamu, huku wengine wakiunga mkono hatua hiyo na wengine…

Read More

Asilimia 30 ya madaraja Handeni Vijijini hatari kwa jamii -1

Tanga. Takribani theluthi moja ya madaraja wilayani Handeni Vijijini, Mkoa wa Tanga, yako katika hali mbaya inayohatarisha maisha ya wananchi, hususani wakati wa msimu wa mvua, Mwananchi limebaini. Uchunguzi wa Mwananchi uliofanyika kwa miezi mitatu umebaini kuwa mvua, ambazo kwa wakulima ni baraka, zimegeuka kuwa chanzo cha hofu, kukatika kwa mawasiliano na kusimama kwa shughuli…

Read More

Kwa Mudrick, haina kupoa Uturuki

BEKI wa Mersin inayoshiriki Ligi Kuu ya Walemavu Uturuki, Mudrick Mohamed amesema ushindani wa namba katika kikosi hicho ni mkubwa lakini ni chachu inayomfanya azidi kupambana kila anapopata nafasi. Mudrick alipata nafasi ya kusajiliwa kikosini hapo baada ya kuonyesha kiwango bora katika mashindano ya Kombe la Dunia yaliyofanyika Uturuki. Akizungumzia na Mwanaspoti, Mudrick amesema hakuna…

Read More

Miroshi aitaka Europa League | Mwanaspoti

KIUNGO wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga Goztepe inayoshiriki Ligi Kuu Uturuki, Novatus Miroshi amesema lengo kubwa la timu hiyo ni kuhakikisha inafuzu michuano ya Ulaya msimu ujao. Akizungumza baada ya mechi ya ligi kutamatika wakiondoka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Rizespor, Miroshi amesema timu inapaswa kucheza kwa kiwango cha juu katika kila mechi…

Read More