Miili mitano ya watu wa familia moja waliofariki ajalini yaagwa

Dar es Salaam. Wabebaji walitumia dakika sita kukamilisha kuyaingiza majeneza yote ndani ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania (KKKT) Usharika wa Kijitonyama na dakika 32 baadaye ibada ya faraja ilianza ikiongozwa na Mchungaji wa kanisa hilo,  Eliona Kimaro. Akisoma wasifu wa marehemu kanisa hapo, msemaji wa familia amesema Francis Elineema Kaggi ameacha mke na…

Read More

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025 ,MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA NCHINI AVIFUNDA VYAMA VYA SIASA HANDENI

  Na; Mwandishi Wetu – Handeni Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imevitaka vyama vyote vya siasa katika Wilaya ya Handeni kuhakikisha vinazingatia kanuni, taratibu na sheria zilizowekwa wakati wa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, ili kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa amani, uwazi na kwa mujibu wa sheria. Akizungumza katika kikao kazi na wawakilishi…

Read More

MAFUNDO MCHUNDO WATAKIWA KUZINGATIA HIFADHI YA TABAKA LA OZONI

…………………. Serikali imewataka mafundi mchundo wa majokofu na viyoyozi kuendelea kutumia njia salama za kuhudumia vifaa hivyo pasipo kuathiri mazingira na sanjari na kuzingatia ukomo wa matumizi wa kemikali zinazodhibitiwa.  Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Deogratius Paul wakati akifungua mafunzo kwa mafundi viyoyozi na majokofu…

Read More

MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI MTEULE WA TANZANIA NCHINI JAPAN

…………… Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi mteule wa Tanzania nchini Japan Mhe. Anderson Mutatembwa, mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma. Katika mazungumzo hayo, Makamu wa Rais amemsihi Balozi Mutatembwa kuzingatia kipaumbele cha nchi ambacho ni diplomasia ya uchumi kwa kuhakikisha anavutia…

Read More

Ahadi za Mwinyi kwa bodaboda, wakulima na wajasiriamali

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi, amesema akipata ridhaa nyingine ya kuongoza, watawekeza nguvu kubwa kuyainua makundi ya wajasiriamali, huku bodaboda wakiundiwa ushirika wa kumiliki pikipiki zao wenyewe. Dk Mwinyi ametoa kauli hiyo leo, Septemba 16, 2025, wakati akizungumza na makundi ya bodaboda, wakulima wa viungo na wajasiriamali…

Read More

ADA COTTRELL FOUNDATION YATOA MSAADA NUNGWI-ZANZIBAR

Na Mwandishi Wetu Taasisi ya ADA COTTRELL FOUNDATION kwa kushirikiana na Taasisi ya (LDF) Labayka Development Foundation imetoa mahitaji kwa Watoto wanaishi mazingira magumu katika kata ya Nungwi Wilaya ya Kaskazin A, Mkoa wa Kaskazini Unguja – Zanzibar. Akizungumza na waandishi wa habari Mkurungezi Mwakilishi wa Taasisi ya Ada Cotterll Foundation Shedrack Albert amesema ugawaji…

Read More

Masista wanne, dereva wafariki dunia ajalini Mwanza

Mwanza. Masista wanne wa Shirika la Wakarmeli Wamisionari wa Mtakatifu Teresia wa Mtoto Yesu, wamefariki dunia baada ya gari lao kugongana uso kwa uso na lori mkoani Mwanza. Waliofariki ni pamoja na Mama Mkuu wa Shirika hilo duniani, Sista Nelina Semeoni (60), raia wa Italia.   Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbrod Mutafungwa amesema ajali…

Read More