Jinsi Wakulima wa Tanzanias, Wafugaji walilipa bei ya Mradi wa Benki ya Dunia – Maswala ya Ulimwenguni

Mradi wa regrow, uliolenga kuongeza ukubwa wa Hifadhi ya Kitaifa ya Ruaha, umewaacha wengi bila ardhi na matarajio. Mikopo: Kizito Makoye/IPS na Kizito Makoye (Mbarali, Tanzania) Ijumaa, Februari 21, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Mbarali, Tanzania, Feb 21 (IPS) – kitovu kilikuwa kimeanguka juu ya wilaya ya Mbarali, lakini haikuwa utulivu wa amani –…

Read More

Wadau: Wanaohamishwa waandaliwe mazingira mazuri

Unguja. Wakati Zanzibar ikithibitisha kuanza rasmi kutumika kwa Mfumo wa Taarifa wa Kukabiliana na Maafa (ZDMIS), wadau mbalimbali wamependekeza utumike kama suluhisho la kuwasaidia wananchi kwa kutoa njia bora za kujikinga na maafa kabla hayajatokea. Pia kuhakikisha waathirika wanawekewa mazingira bora ya kuishi. Mapendekezo hayo yametolewa leo Alhamisi Mei Mosi, 2025 katika kikao cha kuthibitisha…

Read More

Sakata la Toto Afya Kadi laibuka tena bungeni

Dodoma. Sakata la Toto Afya Kadi limetinga tena bungeni na Serikali imeendelea kusisitiza msimamo wake kuwa kilichobadilika ni utaratibu wa kujiunga kupitia makundi, badala ya mtoto mmoja mmoja. Mbunge wa Viti Maalum Rehema Migila ndiye aliyeibua suala hilo katika kipindi cha maswali na majibu leo Mei 27, 2024. “Je, Serikali ina mpango gani wa kuwasaidia…

Read More

Kikao cha Fadlu, Mo Dewji Dubai kuleta mashine hizi!

MASHABIKI wa Simba bado wamepigwa na butwaa baada ya kuona sehemu ya mastaa waliosajiliwa msimu uliopita na kuiwezesha timu kufika fainali ya Kombe la Shirikisho wakipewa ‘Thank You’, lakini kocha mkuu wa timu hiyo, Fadlu Davids ametoa kauli moja ya kibabe akiwatuliza mapema. Msimu uliopita Simba ilijinadi inajenga timu na kufanya maajabu ya kumaliza ya…

Read More

Undani miongo saba ya mishemishe Soko la Feri

Inaelezwa kuwa umri wa soko maarufu la samaki jijini Dar es Salaam (Feri) ni miaka 74 na kilichobadilika ni wingi wa watu, majengo mapya na jina tu, lakini mishemishe za wavuvi na wengine wanaonufaika na uvuvi ndo zinazidi kutaradadi. Nyakati za asubuhi ukipata gari la umma linaoelekea Kivukoni (lilipo soko la Feri) wakati mwingine utakutana…

Read More

‘Baadaye imeundwa na uvumbuzi wa msingi wa bahari ndani ya kufikia’-Maswala ya Ulimwenguni

Wasimamizi Masanori Kobayashi (kulia kulia) na Farhana Haque Rahman, Makamu wa Rais Mwandamizi na Mkurugenzi Mtendaji, Huduma ya Inter Press (mbali kushoto), katika hafla ya Cop30 iliyopewa jina la ‘uvumbuzi na ushirikiano wa kijamii kwa marekebisho ya mabadiliko ya hali ya hewa katika harakati za uchumi endelevu wa bluu.’ Mikopo: Joyce Chimbi/IPS na Joyce Chimbi…

Read More

Waziri Mkuu ateta na Mwenyekiti wa Bodi ya CITIBANK

Na Mwandishi Maalum Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imekuwa inafanya kazi na benki ya Citibank ya Marekani kwa zaidi ya miaka 35 na imekuwa ikipokea ushauri wa mambo ya kifedha kupitia Benki Kuu ya Tanznaia (BoT). Amesema hayo jana Septemba 24, 2024 alipokutana na Mwenyekiti wa Citibank, John Dugan, kwenye makao makuu ya benki…

Read More

Wajibu wa wadau wa uchaguzi wakati wa kampeni

Dar es Salaam. Uchaguzi ni moyo wa demokrasia. Katika mchakato huu, kila mdau ana nafasi ya kipekee kuhakikisha uchaguzi unakuwa wa haki, huru na wa amani. Kutekeleza wajibu wa kila mmoja kunaleta matumaini ya mustakabali bora. Hii ni safari inayohitaji maelewano, utulivu na dhamira ya kweli kutoka kwa Jeshi la Polisi, wasimamizi wa uchaguzi, vyama…

Read More