
Usipokuwa makini ‘Valentine Day’ yatakukuta haya
Kila mwaka ifikapo Februari 14, duniani kote huadhimishwa siku ya wapendanao ‘Valentine Day’.
Kila mwaka ifikapo Februari 14, duniani kote huadhimishwa siku ya wapendanao ‘Valentine Day’.
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO MEI 28,2024 Featured • Magazeti About the author
Simiyu. Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina amesema hawezi kuvuliwa uanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kwa sababu tu ya kuwataja hadharani aliowaita mafisadi na wala rushwa kwa kuwa hata chama hicho kimekuwa kikikemea vitendo hivyo. Mpina kwa sasa anatumikia adhabu ya kutohudhuria vikao 15 vya Bunge, baada ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya…
Na Joseph Ngilisho- ARUSHA HALMASHAURI ya jiji la Arusha imesaini MAKUBALIANO na wakandarasi kwa ajili ya utekelezaji wa miradi miwili yenye thamani ya sh,bilioni 9.4 ambayo ni ujenzi wa barabara ya lami ya ESSO hadi Longdong yenye urefu wa Kilometa 1.8 pamoja na ujenzi wa ukumbi wa kisasa wa mikutano . Mikataba hiyo imesainiwa mwishoni…
Dar es Salaam. Serikali imefafanua juu ya mkopo wa Sh6.7 trilioni uliosainiwa kati yake na Korea Kusini, ikieleza kuwa haijatoa sehemu ya bahari wala madini ya kimkakati. Ufafanuzi huo umetolewa leo Juni 4, 2024 na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi wakati akizungumza na waandishi wa habari kufuatia kuwapo kwa taarifa zinazosambaa katika mitandao ya…
Mbeya. Wakati vigogo wa Chadema Kanda za Victoria, Serengeti, Nyasa na Magharibi wakipigana vikumbo kuchukua na kurejesha fomu za kuwania uongozi, baadhi ya makada wa Kanda ya Kaskazini nao wanajipanga kuingia kwenye kinyang’anyiro hicho. Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Chadema, uchaguzi wa kanda nne utafanyika Mei mwaka huu na nafasi zinazogombewa katika uchaguzi huo…
Mwanza. Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) mkoani Mwanza umesema unaunga mkono harakati za Umoja wa Walimu Wasio na Ajira (Neto) huku ukiitaka Serikali kuchukua hatua za kupunguza changamoto ya ajira kwa vijana. Februari 21, 2025 umoja huo wa walimu wasio na ajira ulifanya mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam…
Morogoro. Wananchi wa Manispaa ya Morogoro wakiwemo madereva wa daladala na vyombo vingine vya moto wamelalamikia ubovu wa baadhi ya barabara katika manispaa hiyo unaosababisha uharibifu wa vipuri vya magari zikiwemo springi, sampo na kuchanika kwa magurudumu. Akizungumza na Mwananchi leo Juni 19, 2025, mmoja wa madereva wa daladala zinazofanya safari zake Kihonda – Manyuki…
*Ampongeza Dkt. Biteko kwa kuiongoza vyema Wizara na TANESCO kwa utekelezaji wa miradi *Akagua vituo vya kupoza umeme Nguruka na Kidahwe *Aagiza ifikapo Septemba Kigoma iwe imeingia kwenye Gridi ya Taifa *Kapinga asema Wizara haitakuwa kikwazo cha wananchi kupata umeme wa uhakika Makamu wa Rais, Mhe. Dkt Philip Isdor Mpango ameipongeza Wizara ya Nishati kwa…
Matumizi ya jeshi yameongezeka mara dufu, ukuaji wa uchumi umekwama hasa katika maeneo hatari ya mpakani ambako wakaazi wake walihamishwa. Wachumi wanasema huenda Israel ikakabiliwa na kudorora kwa uwekezaji pamoja wakati vita ikiharibu bajeti na kuilazimisha kufanya maamuzi magumu kati ya masuala ya kijamii na jeshi. Soma: Viongozi wa Umoja wa Ulaya na Ghuba wakutana katikati…