Asilimia 30 ya madaraja Handeni Vijijini hatari kwa jamii -1

Tanga. Takribani theluthi moja ya madaraja wilayani Handeni Vijijini, Mkoa wa Tanga, yako katika hali mbaya inayohatarisha maisha ya wananchi, hususani wakati wa msimu wa mvua, Mwananchi limebaini. Uchunguzi wa Mwananchi uliofanyika kwa miezi mitatu umebaini kuwa mvua, ambazo kwa wakulima ni baraka, zimegeuka kuwa chanzo cha hofu, kukatika kwa mawasiliano na kusimama kwa shughuli…

Read More

Kwa Mudrick, haina kupoa Uturuki

BEKI wa Mersin inayoshiriki Ligi Kuu ya Walemavu Uturuki, Mudrick Mohamed amesema ushindani wa namba katika kikosi hicho ni mkubwa lakini ni chachu inayomfanya azidi kupambana kila anapopata nafasi. Mudrick alipata nafasi ya kusajiliwa kikosini hapo baada ya kuonyesha kiwango bora katika mashindano ya Kombe la Dunia yaliyofanyika Uturuki. Akizungumzia na Mwanaspoti, Mudrick amesema hakuna…

Read More

Miroshi aitaka Europa League | Mwanaspoti

KIUNGO wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga Goztepe inayoshiriki Ligi Kuu Uturuki, Novatus Miroshi amesema lengo kubwa la timu hiyo ni kuhakikisha inafuzu michuano ya Ulaya msimu ujao. Akizungumza baada ya mechi ya ligi kutamatika wakiondoka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Rizespor, Miroshi amesema timu inapaswa kucheza kwa kiwango cha juu katika kila mechi…

Read More

Yas yaingiza mabilioni kwenye uchumi wa Tanzania

Dar es Salaam. Kampuni ya mawasiliano ya simu ya Yas imesema katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita imewekeza Sh1 trilioni katika upanuzi na uboreshaji wa miundombinu huku ikichangia mabilioni katika uchumi wa nchi na wananchi. Mbali na uwekezaji kampuni hiyo imeeleza kuwa imenunua bidhaa na huduma zenye thamani ya Sh569 bilioni kutoka kwa wazabuni wa…

Read More

Jamii yatakiwa kutowaficha wagonjwa wa ukoma

Dar es Salaam. Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa ameiasa jamii kuachana na dhana potofu ya kuficha wagonjwa wa ukoma na kujitokeza wanapobaini viashiria vya ugonjwa huo ili kurahisisha jitihada za Serikali kutokomeza ugonjwa huo nchini. Waziri Mchengerwa amesema hayo leo Jumapili, Januari 25, 2025, alipozungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma wakati akitoa tamko la…

Read More

Tathimini yafanyika kutatua kero ya barabara Uyole

Mbeya. Kilio cha barabara na huduma nyingine za kijamii katika Kata ya Uyole huenda kikaisha baada ya Serikali kufanya tathimini kwa ajili ya kutafuta ufumbuzi, huku wananchi wakipongeza hatua hiyo. Uyole ni moja ya kata 13 inayounda jimbo jipya la Uyole ikidaiwa kutokuwa na baadhi ya huduma za kijamii ikiwa ni kituo cha afya, zahanati…

Read More

Mradi kilimo biashara kunufaisha vijana 1,400

Morogoro. Vijana zaidi ya 1,400 wanatarajiwa kunufaika na mradi wa kuwawezesha vijana katika uzalishaji wa mazao ya bustani kwa njia ya kilimo biashara. Mradi huo unasimamiwa na Ushirika wa Wajasiriamali Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (Sugeco). Mradi huo unatekelezwa katika eneo lenye ukubwa wa hekari 200 lililopo Kijiji cha Lubungo, Halmashauri ya…

Read More