TRA YAJIPANGA NA BONANZA LA MICHEZO LA KITAIFA: AFYA, UMOJA NA HAMASA YA ULIPAJI KODI
Na Karama Kenyunko, Michuzi TV MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imejipanga kuanzisha bonanza la michezo litakalofanyika kila robo mwaka kwa watumishi wake nchi nzima, ikiwa ni mkakati wa kuimarisha afya ya mwili na akili pamoja na kuongeza ari na mshikamano kazini. Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuph Mwenda, amesema leo Januari 25, 2026, katika viwanja vya Gymkhana,…