
Polisi Ruvuma yapokea magari 24 kuimarisha ulinzi na usalama
Songea. Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Ahmed Abbas Ahmed amekabidhi magari 24 kwa Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma ambapo amewaagiza kufanya kazi kwa kufuata weledi na utii. Amewaasa pia wawahudumie wananchi kwa hekima na busara. Akikabidhi magari hayo leo Septemba 16,…