Job ameshasema huko! Sasa kazi kwenu
YANGA jana ilikuwa uwanjani kupima ubavu na timu moja ya jeshi, lakini kabla ya hapo, juzi kati ilivaana na Tabora United na kupata ushindi wa mabao 4-0, huku mmoja wa manahodha wa timu hiyo akiishuhudia akiwa nje ya uwanja, kisha akawaambia wenzake kwamba kikosi hicho kina watu. …