Simulizi ya mafanilio, changamoto za wanawake wauza ndizi mtaani

Moshi. Wakati baadhi ya watu wakiitazama biashara ya ndizi mbivu mitaani kama ya kimasikini, ukweli ni kwamba biashara hiyo imekuwa mkombozi kwa wanawake wengi katika Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro. Biashara hiyo imewapa mafanikio kama vile kujenga nyumba, kusomesha watoto, kusaidia familia zao mahitaji muhimu ya kila siku huku wakijisikia furaha kuifanya kama ajira inayoendesha…

Read More

Simba yapanda dau kwa Yacoub

MABOSI wa JKT Tanzania wamedaiwa kuweka ngumu kumruhusu kipa wa timu hiyo, Yakoub Suleiman kujiunga na Simba iliyopiga kambi Misri ikijiandaa na msimu mpya wa 2025-2026, hivyo kuwafanya wenzao wa Msimbazi kulazimika kuongeza dau ili kuhakikisha wanamnasa mapema. …

Read More

Wafanyabiashara walalama kupigwa danadana maeneo yao ya biashara

Tabora. Baadhi ya wafanyabiashara wa mbogamboga wanaofanya shughuli zao kwenye soko la Machinga Tabora mjini, wamelalamikia ugawaji wa maeneo bila kufuata utaratibu  baada ya kufanyiwa maboresho. Wanadai maofisa kutoka halmashauri wameyagawa maeneo kwa watu ambao hawakuwepo kwenye mpango huo, huku wao kila siku wanaambiwa wasubiri.Akizungumza na Mwananchi leo Jumapili Agosti 18, 2024, Mwasi Juma anayefanya…

Read More

Vipaumbele 14 Vya Tamisemi Hivi Hapa – Global Publishers

Last updated Apr 17, 2025 WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amesema Wizara yake imepanga kutekeleza vipaumbele 14 katika mpango wa bajeti wa mwaka 2025/26. Akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa wizara na taasisi zake kwa mwaka 2025/26, Mhe. Mchengerwa amesema utekelezaji wa…

Read More

MAAFISA UGANI 1701 WAPEWA MAFUNZO YA KILIMO NA TEHAMA

Maafisa ugani wapatao 1,701 kutoka maeneo mbalimbali nchini wamepatiwa mafunzo maalum kuhusu mbinu za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi na matumizi ya TEHAMA katika utoaji wa huduma za ugani, kupitia mfumo wa kisasa wa M-Kilimo. Kupitia mfumo huu, Maafisa Kilimo wataweza kuwafikia wakulima wengi kwa wakati mfupi na kuwapa taarifa muhimu kuhusu kanuni bora za kilimo, taarifa za hali ya hewa,…

Read More

TANZANIA UAE KUSHIRIKIANA KUWEZESHA ELIMU KIDIJITALI NCHINI

Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia imesaini makubalino na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ya kushirikiana katika Teknolojia ya Shule Kidijitali. Makubaliano hayo yamesainiwa tarehe 8 Mei Jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu Prof. Carolyne Nombo na Dkt Waleed Ali Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Shule Kidijitali ya UAE. Utiaji saini makubaliabo hayo umeshuhudiwa…

Read More

Wagonjwa 36,404 wafikiwa na kambi ya madaktari bobezi

Dar es Salaam. Wizara ya Afya imesema wagonjwa 36,404 kutoka mikoa 14 wamefikiwa katika huduma za matibabu kutoka kwa madaktari bingwa na bobezi, wanaozunguka wilaya mbalimbali  nchini. Kambi hiyo iliyozinduliwa rasmi Mei 6 2024  na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu imewafikia wagonjwa hao kwa kipindi cha siku 25 hadi kufikia Mei 31 2024 na kumekuwa…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Ibrahim Abraham awindwa Pamba Jiji

BAADA ya kutangaza kuachana na mastaa wao walioipandisha timu hiyo, uongozi wa Pamba Jiji FC unawinda saini ya Ibrahim Abraham. Beki huyo wa kushoto wa Tanzania Prisons ambaye anamudu kucheza nafasi tatu uwanjani yupo kwenye hatua nzuri za kukamilisha dili hilo kwa mkataba wa miaka miwili.Charity James BEKI wa kati, Ismail Mgunda aliyemaliza mkataba na…

Read More

Simulizi ya eneo alikofia Nyamo- Hanga

Bunda. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Pius Lutumo amesema chanzo cha ajali iliyokatisha uhai wa aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Gissima Nyamo- Hanga ni dereva wa gari lake kumkwepa mwendesha baiskeli kisha kupoteza mwelekeo na kugongana uso kwa uso na lori lililokuwa mbele yao. Nyamo-Hanga na dereva wake, Muhajiri Haule…

Read More