Job ameshasema huko! Sasa kazi kwenu

YANGA jana ilikuwa uwanjani kupima ubavu na timu moja ya jeshi, lakini kabla ya hapo, juzi kati ilivaana na Tabora United na kupata ushindi wa mabao 4-0, huku mmoja wa manahodha wa timu hiyo akiishuhudia akiwa nje ya uwanja, kisha akawaambia wenzake kwamba kikosi hicho kina watu. …

Read More

Masaju akomaa na haki za raia

Dar es Salaam. Wakati Jaji Mkuu wa Tanzania, George Masaju, akiwataka majaji na mahakimu kuhakikisha wanatenda haki, kuzingatia maadili na kujiepusha na vitendo vya rushwa, wadau wamesema azma hiyo itafanikiwa iwapo wahusika watatengenezewa mazingira mazuri ya kazi. Aidha, mkuu huyo wa muhimili wa Mahakama amewaeleza watendaji hao kutekeleza majukumu yao bila kusubiri au kufuata maelekezo,…

Read More

Fundi wa boli Fountain gate ala kiapo

KIUNGO fundi wa mpira wa Fountain Gate, Elie Mokono aliyeisumbua ngome ya Simba jana usiku kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara amekula kiapo akisema anaamini kikosi chao kitarejea katika mwenendo mzuri kama ilivyokuwa mwanzoni mwa  2024/25. Fountain Gate iliyolazimika kuivaa Simba ikiwa na wachezaji 13 na kupasuka kwa mabao 3-0 awali ilianza msimu kwa kuchapwa…

Read More

FCC yatoa elimu kwa wananchi wa Chalinze

Maafisa wa kulinda walaji kutoka Tume ya Ushindani (FCC) wametoa elimu kwa wananchi wa Halmashauri ya Chalinze mkoani Pwani kuhusu haki na wajibu wa mlaji, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya maadhimisho ya Siku ya Kumlinda Mlaji duniani yanayotarajiwa kufanyika Machi 31, 2026. Elimu hiyo imelenga kuwajengea wananchi uelewa kuhusu namna ya kutambua bidhaa na…

Read More

CCM YAZINDUA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU 2025

Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wakati wa uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika viwanja vya Tanganyika Packers Jijini Dar es Salaam tarehe 28 Agosti, 2025.  

Read More

Migogoro ya ardhi bado mfupa mgumu

Dar es Salaam. Migogoro ya ardhi imeendelea kuwa mfupa ulioshindikana kuvunjika, baada ya malalamiko yake kutawala ziara za Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba na viongozi wengine. Awali, Serikali ilitangaza hatua mbalimbali, ikiwamo upimaji wa ardhi na utoaji wa hati za kimila hasa vijijini, lakini hazikuwa muarobaini wa changamoto migogoro hiyo. Malalamiko zaidi yaliyowasilishwa na wananchi…

Read More

UN inahimiza mshikamano upya miaka nane baada ya kulazimishwa Kutoka kwa Rohingya – Maswala ya Ulimwenguni

Zaidi ya 700,000 kati yao walikimbilia Bangladesh jirani baada ya kushambuliwa kwa silaha na kikundi cha wanamgambo dhidi ya vikosi vya usalama vya Myanmar kulizua kijeshi kikatili kilichoanza tarehe 25 Agosti 2017. Walijiunga na maelfu ya wengine ambao walitoroka mawimbi ya vurugu na ubaguzi sasa wanaoishi katika kambi za wakimbizi karibu na mpaka katika wilaya…

Read More