Mradi kilimo biashara kunufaisha vijana 1,400

Morogoro. Vijana zaidi ya 1,400 wanatarajiwa kunufaika na mradi wa kuwawezesha vijana katika uzalishaji wa mazao ya bustani kwa njia ya kilimo biashara. Mradi huo unasimamiwa na Ushirika wa Wajasiriamali Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (Sugeco). Mradi huo unatekelezwa katika eneo lenye ukubwa wa hekari 200 lililopo Kijiji cha Lubungo, Halmashauri ya…

Read More

Sakata la Musukuma, mwekezaji, Serikali yatoa maagizo

Geita. Serikali imetoa siku 14 kutafutwa na kupatikana ufumbuzi wa mgogoro kati ya Kamati ya Uchumi na Fedha ya Halmashauri ya Manipaa ya Geita na mwekezaji wa majengo ya biashara, Rashid Kwanzibwa. Mgogoro huo umeibuka baada ya kamati hiyo kukuta mwekezaji huyo amebomoa baadhi ya majengo ya Serikali yaliyoko eneo la uwanja wa mpira wa…

Read More

MABILIONI YA MRABAHA KUTOKA BARRICK NORTH MARA YAANZA KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO KWA KASI TARIME VIJIJINI

Wenyeviti wa vijiji vya Kewanja, Kerende, Genkuru, Nyamwaga na Nyangoto wakiwa katika mojawapo ya matukio ya kupokea gawio la mrahaba kutoka Mgodi wa Dhahabu wa Barrick North Mara mwaka 2025. Miradi mipya ya kijamii imeanza kutekelezwa kwa kasi katika vijiji vitano kutokana na fedha za gawio wa mrabaha zilizotolewa na Mgodi wa Dhahabu wa North…

Read More

668 wabainika kuwa na mabusha Dar

Dar es Salaam. Kati ya wananchi 1,300 waliojitokeza kupima afya zao katika kambi maalumu ya Yombo Kilakala inayotoa huduma hiyo wilayani Temeke mkoani Dar es Salaam, 668 wamebainika kuwa na ugonjwa wa mabusha na ngiri maji.   Mganga Mkuu wa Serikali, Dk Grace Magembe amesema kati ya hao, 457 wamefanyiwa upasuaji na hali zao zinaendelea vizuri….

Read More

Mauwasa yaonya wizi wa maji Maswa 

Maswa. Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Mjini Maswa (Mauwasa) imewaonya wananchi wanaojiunganishia huduma ya maji kinyume cha sheria kuacha mara moja vitendo hivyo, ikieleza hatua hiyo inasababisha hasara kwa mamlaka hiyo na kuhatarisha upatikanaji wa maji kwa wananchi wengine. Akizungumza leo Januari 25,2026, Mkurugenzi Mtendaji wa Mauwasa, Nandi Mathias amesema wamebaini kuwepo kwa…

Read More

Waziri Dk Gwajima awatumia salamu wanaokwamisha huduma za wenye uhitaji

Dodoma. Waziri wa Maendeleo ya Jamii Wanawake,Jinsia na Makundi Maalum, Dk Dorothy Gwajima amesema wanaokwamisha utekelezaji wa majukumu, hatawavumilia. Hata amesema mpango wa baadaye ni kuhakikisha kunakuwa na mafunzo maalumu kwa mabinti na vijana ya jinsi ya kuwalea watoto na watakaopitia mfumo huo watarasimishwa pia. Dk Gwajima ametoa kauli hiyo leo Jumapili Januari 25,2026 wakati…

Read More

Zawadi Usanase anavyoiokoa Simba Queens

MSHAMBULIAJI wa Simba Queens, Zawadi Usanase amekuwa mhimili mkubwa wa mafanikio ya timu hiyo msimu huu baada ya mabao yake muhimu kuiweka kileleni mwa msimamo wa ligi tangu raundi ya kwanza hadi sasa. Simba iko kileleni na pointi 28, kwenye mechi 10 imeshinda tisa na sare moja ikifunga mabao 21 na kuruhusu mabao mawili. Usanase…

Read More

UVCCM yawataka vijana kulinda taswira  ya Taifa mitandaoni

Moshi. Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Moshi Vijijini,  umewataka vijana kuwa mstari wa mbele katika kulinda taswira, heshima na masilahi ya Taifa kwa kuzingatia maadili na uzalendo, hususan kupitia matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii. Rai hiyo imetolewa leo Januari 25 na Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Moshi Vijijini, Yuvenal…

Read More

KVZ yabeba taji netiboli, Masauni akitia neno

MAAFANDE wa KVZ ya visiwani hapa imebeba ubingwa wa Ligi ya Muungano kwa mchezo wa netiboli, huku Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Injini Hamad Masauni akisema Maendeleo ya michezo yamechangiwa na juhudi kubwa za viongozi wakuu wa nchi waliotoa kipaumbele katika sekta hiyo. Katika michuano hiyo iliyoshirikisha jumla ya timu 11, zikiwamo…

Read More

Profesa Shemdoe, ataka watendaji kuacha mazoea

Geita. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi), Profesa Riziki Shemdoe, amewapa wakuu wa mikoa siku 14 kuunda kamati za ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo, pamoja na kuwasilisha madokezo yanayoonyesha miradi mipya iliyobuniwa kupitia fedha ambazo matumizi yake yameonekana kutokuwa ya lazima. Agizo hilo limetolewa kufuatia maelekezo ya Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, aliyoyatoa…

Read More