Mradi kilimo biashara kunufaisha vijana 1,400
Morogoro. Vijana zaidi ya 1,400 wanatarajiwa kunufaika na mradi wa kuwawezesha vijana katika uzalishaji wa mazao ya bustani kwa njia ya kilimo biashara. Mradi huo unasimamiwa na Ushirika wa Wajasiriamali Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (Sugeco). Mradi huo unatekelezwa katika eneo lenye ukubwa wa hekari 200 lililopo Kijiji cha Lubungo, Halmashauri ya…