NAIBU KATIBU MKUU CCM ZANZİBAR AHIMIZA VIONGOZI,WANACHAMA KUDUMISHA AMANI
Na Mwandishi Wetu NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dkt. Mohammed Said Mohammed (DIMWA), amewahimiza viongozi na wanachama wa Chama hicho kuendelea kudumisha amani na utulivu nchini, sambamba na kushiriki kikamilifu katika kukijenga na kukiimarisha chama. Ametoa mwito huo alipokuwa akizungumza katika hafla ya futari ya pamoja aliyoiandaa katika Ofisi Kuu ya…