Ulega aagiza ndege kutua Shinyanga, akihimiza miradi kukamilika kwa wakati
Shinyanga. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameagiza kutolewa kwa kibali cha kuruhusu ndege kutua wakati wa mchana katika Uwanja wa Ndege wa Mkoa wa Shinyanga ili kuharakisha kuanza kwa matumizi ya uwanja huo. Akizungumza leo Machi 17, 2026 wakati wa ziara ya ukaguzi wa mradi wa uwanja huo uliopo katika Kata ya Ibadakuli, Manispaa ya…