UDSM, DAR City zachuana BDL

Timu ya Dar City na UDSM Outsiders, zinakabana koo katika uongozi wa Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL)inayoendelea kwenye Uwanja wa Donbosco, Oysterbay, Dar es Salaam. Timu hizo zilianza kuchuana tangu ligi ilivyoanza Machi 3 mwaka huu.  Mabingwa watetezi wa ligi hiyo, Dar City,  ndiyo wanaongoza katika kwa pointi 25 kutokana…

Read More

Benchikha afungua ‘CODE’ za beki Simba

SIMBA imerudi mazoezini ikiendelea kujipanga hapa nchini, lakini kuna kocha mmoja aliyewahi kuinoa timu hiyo ameshtuka aliposikia usajili wa mido mmoja akisema pale Msimbazi wamepata kamanda matata uwanjani. Kocha aliyezungumza hayo ni Abdelhak Benchikha, ameshtuka kusikia kiungo Alassane Kante amesajiliwa na timu hiyo kisha akakumbuka fasta ilikuwa afanye kazi na Msenegali huyo akiwa Misri. Benchikha…

Read More

Uru Shimbwe walia ubovu wa barabara

Moshi. Wananchi wa Kata ya Uru Shimbwe, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, wamelalamikia ubovu wa miundombinu ya barabara ya Mamboleo – Shimbwe, hali ambayo imekuwa ikiwapa changamoto kubwa ya usafiri na usafirishaji wa bidhaa mbalimbali kwenda masokoni kipindi cha mvua. Wananchi hao wanaojishughulisha na kilimo cha ndizi, viazi pamoja na matunda kama  pasheni, parachichi na…

Read More

Ripoti: Wanaolawitiwa, kubakwa waongezeka nchini

Dar es Salaam. Matukio ya ubakaji na ulawiti yanayoripotiwa kwenye vituo vya polisi nchini Tanzania,   yameongezeka kutoka 23 kwa siku mwaka 2022 hadi 31 mwaka 2023, Takwimu za Msingi Tanzania – 2023 iliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) zimeonyesha. Kwa mujibu wa takwimu hizo, ulawiti umeongezeka zaidi ya mara mbili mwaka 2023…

Read More