FREEMAN MBOWE ALALAMIKIA VITENDO VYA UTEKAJI NCHINI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, ameibua maswali mazito kuhusu ongezeko la matukio ya utekaji wa viongozi na wananchi mbalimbali nchini Tanzania. Akizungumza na wanahabari mapema leo jijini Dar es Salaam, Mbowe alidai kuwa vitendo hivi vimeendelea kuongezeka, huku vyombo vya usalama vikilaumiwa kwa kukaa kimya na kutokuchukua hatua za kisheria…

Read More

Mastaa kibao Tabora United kuchapa lapa

LICHA ya Tabora United kubaki Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao, lakini inaelezwa mastaa wengi wa kikosi hicho huenda wakaondoka na kutafuta changamoto sehemu nyingine, huku sababu kubwa ikielezwa kuwa ni ukata unaoikumba timu hiyo. Habari za kuaminika kutoka ndani ya timu hiyo zimeiambia Mwanaspoti kwamba baadhi ya nyota ambao wataondoka ni kipa raia wa…

Read More

Makaka yupo freshi, asikilizia simu tu!

BAADA ya kukosekana uwanjani msimu uliopita, kipa Mohamed Makaka amesema kwa sasa yupo tayari kukipiga popote, akieleza kuwa uwezo na uzoefu alionao timu yoyote namba ni uhakika. Makaka aliyewahi kukipiga timu kadhaa ikiwamo Stand United na Gwambina, msimu uliopita alijikuta nje ya uwanja baada ya kuumia goti alipokuwa akikiwasha Mtibwa Sugar aliyoshuka nayo daraja. Staa…

Read More

RAIS SAMIA ALIPIA WASIOWEZA GHARAMA UPANDIKIZAJI FIGO

    Wagonjwa wenye changamoto ya figo wanaohitaji kupandikizwa figo ambayo ni tiba stahiki kwa wagonjwa wanaosafisha damu na hawana uwezo wa kulipia gharama za upandikizaji watahudumiwa kupitia fedha alizotoa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Hospitali ya Taifa Muhimbili ili ziweze kufanya kazi hiyo. Hayo yamesemwa leo…

Read More

Ukishangaa ya Bocco, utayaona ya Chama

KATIKA maisha omba sana bahati. Kuna vitu huwezi kuvipata hadi uwe na bahati tu. Wakati mshambuliaji John Bocco akitangazwa Kustaafu soka, Clatous Chota Chama bado anagombewa na Simba na Yanga huku, Saido Ntibanzokinza hakuna anayemtaka. Inafurahisha kuona Bocco anastaafu wakati Chama akigombewa. Inasikitisha kuona mfungaji bora wa Simba kwa msimu wa pili mfululizo, Ntibazonkiza anaachwa…

Read More