
Wanawake wajasiriamali kuwezeshwa elimu ya kifedha, kukua kiuchumi
Dar es Salaam. Katika kuhakikisha ukuaji wa kiuchumi unamfikia kila mtu, Airtel Money kwa kushirikiana na Benki ya I&M wamezindua mpango unaolenga wanawake wajasiriamali wenye lengo la kuwawezesha wanawake nchini. Mpango huo unawapa elimu ya kifedha na nyenzo muhimu za kukuza biashara zao hivyo kuweza kuboresha maisha yao. Mpango huo ni sehemu muhimu ya mkakati wa…