Je Nani Kukupatia Maokoto Siku ya Leo?

MECHI za UEFA leo hii zinaendelea baada ya jana kushuhudia mitanange kibao ya kukata na shoka. Nafasi ya kuondoka na pesa unayo ndani ya Meridianbet, ingia kwenye akaunti yako na ubashiri sasa. Mapema kabisa Olympiacos atakuwa mwenyeji wa Pafos FC ambao hawapewi nafasi ya kushinda mtanange huu wa leo wakiwa na ODDS 7.80 kwa 1.46….

Read More

Kamisheni Bonde la Ziwa Victoria kupata ofisi zake

Musoma. Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria (LVBC), inatarajia kutumia zaidi ya Sh13 bilioni kwenye ujenzi wa jengo la ofisi zake. Hata hivyo, tayari mradi wa ujenzi huo kwa sasa umeshafikia asilimia 99 za utekelezaji wake. Jengo hilo linalojengwa Mjini Kisumu nchini Kenya, litazinduliwa hivi karibuni na marais wa nchi nane za Jumuiya ya Afrika…

Read More

Makamba alivyowaaga Bumbuli, amnadi Samia na mgombea ubunge

Tanga. Ni furaha na huzuni vilitawala wakati aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Bumbuli mkoani Tanga, January Makamba aliposimama kwenye jukwaa kuwaafa wananchi hao baada ya kuwatumikia kwa miaka 15. Huzuni na furaha hiyop ulitokana na baadhi ya wananchi kueleza jinsi wanavyokumbuka nyakati za shida na raha wakati Makamba alipokuwa akiwatumikia ndani ya miaka hiyo. Pamoja…

Read More

UCHAMBUZI WA MJEMA: Ziara za Mwigulu zinaonyesha ombwe kwa taasisi imara

Katika ziara ya Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba inayoendelea mikoa mbalimbali, tunashuhudia akitatua na kuzipatia ufumbuzi papo kwa hapo, kero zinazowakabili watanzania lakini hili linathibitisha ombwe la taasisi imara. Ninasema hivyo kwa sababu kuna kero au changamoto zingine zingeweza kutatuliwa na wateule wengine wa Rais kama wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, wakurugenzi…

Read More

TALGWU yatangaza safari ya kupata viongozi wapya

Dar es Salaam. Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU), kinatarajiwa kufanya uchaguzi wa kupata viongozi wapya kuanzia ngazi ya matawi hadi Taifa Aprili na kukamilika Septemba 2026. Kwa mujibu wa tangazo lililotolewa leo Jumatano Machi 18,2026 na Kaimu Katibu Mkuu wa TALGWU, Wandiba Ngocho, katika uchaguzi huo kutakuwa na uchaguzi mkuu wa…

Read More

RAIS MSTAAFU KIKWETE:WANAOSEMA UTARATIBU HAUKUFUATWA KUMPATA MGOMBEA URAIS CCM WANAJITOA UFAHAMU

Asema utaratibu uliotumika kumpata Dk.Samia kuwa mgombea Urais ndio huo huo uliotumika kwa wengine huko nyuma *Asema wanaosema utaratibu umekiukwa walikuwepo awamu zote lakini kwanini wanasema hayo leo *Asisitiza utaratibu wa Mkutano Mkuu uliofanyika Januari 18 na 19 uko sahihi na anauunga mkono  Na Said Mwishehe,Michuzi TV RAIS Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne,…

Read More