Wabunge wataka kilimo kiubebe mpango wa maendeleo 2050

Dodoma. Wabunge wametaja kilimo cha umwagiliaji kuwa mkombozi kwenye mkakati wa utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Mapema jana, Jumatatu Februari 2, 2026, Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, aliwasilisha Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo ya Taifa 2050, ambao umegawanyika katika mapendekezo ya muda mfupi na yale ya mwaka mmoja. Katika…

Read More

Mzee Hood afariki dunia, wadau wamzungumzia

Morogoro. Mfanyabiashara maarufu aliyekuwa mmiliki wa Kampuni ya Usafirishaji ya Mabasi Hood ya mkoani Morogoro, Mohamed Hood Said (90)) amefariki dunia jana Februari 2, 2026 akiwa nyumbani kwake Mtaa wa Mlapakoro, Kata ya Mji kuu Manispaa ya Morogoro. Akitoa taarifa za kifo cha mfanyabiashara huyo mtoto wa marehemu Faiz Abdallah Salumu amesema baba yake mkubwa…

Read More

Serikali kuboresha bandari za Kibirizi, Ujiji

Dodoma. Serikali imesema imeanza utekelezaji wa hatua za kurejesha bandari za Kibirizi na Ujiji mkoani Kigoma zilizokumbwa na athari za mabadiliko ya tabianchi kutokana na kuongezeka kwa kina cha maji katika Ziwa Tanganyika, hali iliyosababisha kudorora kwa shughuli za usafirishaji na biashara. Kauli hiyo imetolewa bungeni leo Jumanne, Februari 3, 2026, na Naibu Waziri wa…

Read More

MENEJIMENTI YA TMDA YAJIPANGA NA DIRA 2050

Menejimenti ya TMDA yakutana Morogoro tarehe 2 -3 Februari, 2026 kujadili rasimu ya Mpango Mkakati Mpya wa Mamlaka wa miaka mitano, 2026/27-2030/31 unaoakisi utekelezaji wa Dira ya Taifa ya 2050.  Rasimu ya Mpango Mkakati huo ni ya Sita kufuatia kukamilika kwa ufanisi kwa Mpango Mkakati wa Tano. Mpango Mkakati wa Sita wa TMDA unatarajiwa kuanza…

Read More

Maxime asisitiza jambo, Josiah apiga mkwara

WAKATI leo Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya ukitarajiwa kuchezwa mechi ya Ligi Kuu Bara kati ya Mbeya City na Dodoma Jiji, makocha wa timu hizo kila mmoja ameibuka kwa staili yake akizitaka pointi tatu. Kocha Mkuu wa Mbeya City, Mecky Maxime amesisitiza jambo kwa mastaa wake baada ya kubaini kuna tatizo la kuruhusu mabao katika…

Read More

Je, ni Mgogoro wa Bajeti – Au Mgogoro wa Uongozi – Unaoukabili Umoja wa Mataifa – Au Yote Mbili? – Masuala ya Ulimwenguni

Maoni na Anwarul K. Chowdhury (new york) Jumanne, Februari 03, 2026 Inter Press Service NEW YORK, Februari 3 (IPS) – Mwezi Februari 2025, mwaka mmoja uliopita, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres alianza mkutano wake na vyombo vya habari kwa kutangaza kwamba “Nataka kuanza kwa kueleza wasiwasi wangu mkubwa kuhusu taarifa nilizopokea katika…

Read More