Wabunge wataka kilimo kiubebe mpango wa maendeleo 2050
Dodoma. Wabunge wametaja kilimo cha umwagiliaji kuwa mkombozi kwenye mkakati wa utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Mapema jana, Jumatatu Februari 2, 2026, Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, aliwasilisha Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo ya Taifa 2050, ambao umegawanyika katika mapendekezo ya muda mfupi na yale ya mwaka mmoja. Katika…