Hatua muhimu za kumchagulia mtoto shule sahihi
Dar es Salaam. Katika pitapita zangu huku mitaani, kila karibu kila mzazi ninayekutana naye na kufanya naye mazungumzo hususan wale wenye watoto wanaosoma na wanaotarajia kuanza shule, mazungumzo yao ni jinsi wanavyohangaika kupata shule nzuri kwa ajili ya watoto wao. Nikawa najaribu kurudisha nyuma enzi mimi nasoma na ndugu zangu, namna wazazi wangu walivyokuwa wanahangaika…