
RAIS MWINYI KUENDELEA KUWEKA UWIANO SAWA WA MAENDELEO UNGUJA NA PEMBA
Chakechake, Pemba – 24 Septemba 2025 MGOMBEA wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewahakikishia wananchi wa Pemba kuwa Serikali itaendelea kuweka uwiano sawa katika miradi ya maendeleo kwa Unguja na Pemba. Akizungumza na…