Nafasi ya mzazi kung’amua vipaji vya mtoto
Dar es Salaam. Kila mtoto huzaliwa na kipaji fulani ndani yake. Hiki ni kile kitu cha kipekee anachokifanya kwa urahisi, kwa ustadi, na kwa furaha. Ni sehemu ya asili ya mtoto ambayo humtofautisha na wengine. Hata hivyo, kipaji hicho, kisipotambuliwa mapema na kuendelezwa ipasavyo, hubakia kikiwa kimelala au hata kufa kabisa. Dunia imejaa watu wazima…