Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy
Michezo

Dili la Bwalya laingia dosari Pamba Jiji

July 9, 2025 Admin

DILI la aliyekuwa kiungo wa Simba, Mzambia Larry Bwalya la kujiunga na Pamba Jiji msimu huu limeingia dosari baada ya nyota huyo kudaiwa bado ana

Read More
Michezo

Makambo bado yupo sana Bongo

July 9, 2025 Admin

KAMA ulikuwa unadhani Heritier Makambo aliyekuwa Tabora United na kudaiwa ametimka ndo kaondoka kimoja? Umekosea, kwani jamaa bado yupo sana Bongo baada ya kudaiwa yupo

Read More
Michezo

Bocco ampisha Paul Peter JKT Tanzania

July 9, 2025 Admin

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Dodoma Jiji, Paul Peter amejiunga na JKT Tanzania akipishana na John Bocco anayetajwa kuachwa. Peter akiwa na Dodoma Jiji aliyefunga mabao

Read More
Habari

Waziri Kombos atua Tanzania kwa niaba ya EU

July 9, 2025 Admin

Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Nje wa Cyprus, Constantinos Kombos amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu akilenga kufanya mazungumzo muhimu

Read More
Michezo

Kwa Raizin simu zinaita sana

July 9, 2025 Admin

STRAIKA na kinara wa mabao katika Championship msimu uliopita, Raizin Hafidh amesema licha ya kupokea simu nyingi kutoka timu kadhaa kuhitaji huduma yake, lakini bado

Read More
Michezo

Ibenge amtibulia dili beki KMC

July 9, 2025 Admin

BAADA ya Azam FC kumtambulisha aliyekuwa kocha wa Al Hilal Omdurman ya Sudan, Florent Ibenge, inaelezwa kuwa dili la beki wa KMC, Raheem Shomari, limekufa

Read More
Michezo

Kihimbwa ajifunga mwaka Mashujaa | Mwanaspoti

July 9, 2025 Admin

TIMU mbalimbali zinaimarisha vikosi kwa kuongeza sura mpya kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, miongoni mwazo ni Mashujaa ambayo tayari imewasainisha baadhi

Read More
Michezo

Coastal, Pamba zatua kwa Maseke

July 9, 2025 Admin

TIMU za Coastal Union na Pamba Jiji zimeingia anga za kuhitaji huduma za kipa Wilbol Maseke aliyemaliza mkataba wake na KMC msimu ulioisha akiwa na

Read More
Habari

Mahakama yaridhia Wamarekani kumuasili mtoto mchanga aliyetupwa Geita

July 9, 2025 Admin

Morogoro. Tunamrudishia tabasamu, ndio kauli unayoweza kuelezea uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, kuridhia ombi la raia wa Marekani la kumuasili mtoto wa Kitanzania aliyetupwa

Read More
Habari

Petroli yapaa, dizeli ikishuka Zanzibar

July 9, 2025 Admin

Unguja. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (Zura), imetangaza kupanda kwa bei ya petroli kwa Sh29 huku bei ya dizeli imeshuka

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 10 11 12 … 3,703 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.