DILI la aliyekuwa kiungo wa Simba, Mzambia Larry Bwalya la kujiunga na Pamba Jiji msimu huu limeingia dosari baada ya nyota huyo kudaiwa bado ana

KAMA ulikuwa unadhani Heritier Makambo aliyekuwa Tabora United na kudaiwa ametimka ndo kaondoka kimoja? Umekosea, kwani jamaa bado yupo sana Bongo baada ya kudaiwa yupo

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Dodoma Jiji, Paul Peter amejiunga na JKT Tanzania akipishana na John Bocco anayetajwa kuachwa. Peter akiwa na Dodoma Jiji aliyefunga mabao

Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Nje wa Cyprus, Constantinos Kombos amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu akilenga kufanya mazungumzo muhimu

STRAIKA na kinara wa mabao katika Championship msimu uliopita, Raizin Hafidh amesema licha ya kupokea simu nyingi kutoka timu kadhaa kuhitaji huduma yake, lakini bado

BAADA ya Azam FC kumtambulisha aliyekuwa kocha wa Al Hilal Omdurman ya Sudan, Florent Ibenge, inaelezwa kuwa dili la beki wa KMC, Raheem Shomari, limekufa

TIMU mbalimbali zinaimarisha vikosi kwa kuongeza sura mpya kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, miongoni mwazo ni Mashujaa ambayo tayari imewasainisha baadhi

TIMU za Coastal Union na Pamba Jiji zimeingia anga za kuhitaji huduma za kipa Wilbol Maseke aliyemaliza mkataba wake na KMC msimu ulioisha akiwa na

Morogoro. Tunamrudishia tabasamu, ndio kauli unayoweza kuelezea uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, kuridhia ombi la raia wa Marekani la kumuasili mtoto wa Kitanzania aliyetupwa

Unguja. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (Zura), imetangaza kupanda kwa bei ya petroli kwa Sh29 huku bei ya dizeli imeshuka