STANDARD CHARTERED YAPANDA MITI 2000 KIGONGONI BAGAMOYO

Benki ya Standard Chartered imepanda miti 2000 ya matunda na kivuli katika Shule ya Msingi Kigongoni iliyopo kata ya Magomeni Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani ikiwa ni mwendelezo wa kampeni waliyoianzisha miaka mitatu iliyopita kuunga mkono juhudi za serikali za utunzaji mazingira. Akizungumza shuleni hapo Ofisa Mkuu Mwendeshaji na mambo ya Teknolojia wa benki hiyo…

Read More

Tasaf yajizatiti kuwakwamua Watanzania wanaoshindwa kukidhi mlo

Arusha. Wakati takwimu za Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf), zikisema asilimia nane ya Watanzania wanakabiliwa na umasikini uliokithiri ikiwamo kukosa chakula, kupitia mpango wa kuwanusuru kaya masikini, mfuko huo umejizatiti kuwakomboa watu hao. Katika takwimu hiyo ambayo ni karibu ya Watanzania milioni tano, Tasaf imesema lengo lake ni kuboresha maisha yao kwa kuwapa fedha,…

Read More

Watumwa walivyoasisi Bwagamoyo, wakoloni wakaja na Bagamoyo

Bagamoyo. Bagamoyo ni miongoni mwa miji yenye historia kubwa nchini,  na hii inatokana na umaarufu wake ulioanzia karne ya 18. Simulizi mbalimbali zinaonyesha kuwa  mji huo ulikuwa ni kituo cha kusafirisha watumwa waliokuwa wakitoka mikoa mbalimbali na hata nchi jirani kueleka Ulaya kupitia Zanzibar. Hata hivyo,  inaelezwa kuwa  awali eneo hilo halikuitwa Bagamoyo kama linavyotamkwa…

Read More

Mikoa hii ijipange kwa baridi Juni hadi Agosti

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema kuanzia Juni hadi Agosti, 2025 kutakuwa na baridi kali na ya wastani katika mikoa sita nchini. Pia, maeneo mbalimbali nchini yatashuhudia joto, mvua zisizotabirika na kipupwe, huku athari ikitajwa kuwa ni magonjwa yanayohusiana na hali ya hewa ya baridi kama vile homa ya mapafu…

Read More

DC Jamila aagiza maofisa wanne TRA Mpanda wachunguzwe

Mpanda. Mkuu  wa Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi, Jamila Yusuf ameiagiza Taasisi  ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuwachunguza maofisa wanne wa Mamlaka ya Mapato Tanzania ( TRA) wilayani humo kwa tuhuma za rushwa. Hata hivyo,  Meneja wa TRA, Mkoa wa Katavi, Nicholas Migere amesema hawezi kuzungumzia chochote kuhusu madai hayo kwa sababu…

Read More

Beki Mrundi amalizana na Namungo

BEKI wa zamani wa Namungo FC, Derick Mukombozi, raia wa Burundi amemalizana na waajiri wake hao wa zamani kwa ajili ya kuitumikia msimu huu. Akizungumza na Mwanaspoti, Mukombozi amesema amemalizana na Namungo, lakini kuhusu muda uongozi utatangaza amesaini mkataba wa muda gani. “Nimeitumikia (Namungo) kwa misimu mmoja naifahamu vizuri simuhofii mtu naamini katika upambanaji na…

Read More