Amuua mwanaye wakigombea koti | Mwananchi

Rombo. Mzee mwenye umri wa miaka 82, mkazi wa kijiji cha Kilema, kata ya Olele, wilayani Rombo, mkoani Kilimanjaro, anadaiwa kumuua na kumzika mwanaye, Oscar Msamanga (42), kufuatia ugomvi uliodaiwa kuzuka baada ya Msamanga kuvaa koti la baba yake bila idhini. Tukio hilo la kusikitisha lilifichuka Aprili 29, 2025, baada ya mzee huyo kutoa kauli…

Read More

Ruto asikia kilio cha Gen Z, aurudisha Muswada bungeni

Nairobi. Baada ya wiki mbili za maandamano na ghasia nchini Kenya, hatimaye Rais wa nchi hiyo, William Ruto ametangaza kuondoa Muswada wa Fedha wa mwaka 2024, akisema licha ya kuwa na nia njema, wananchi wameonyesha kuukataa. Maandamano hayo yalishika kasi jana Jumanne Juni 25, 2024 baada ya waandamanaji kuvamia majengo ya bunge, dakika chache baada…

Read More

Jesca afunika kwa asisti | Mwanaspoti

DB Troncatti imebakiwa na michezo miwili ili ikamilishe michezo 30 ya mzunguko wa pili wa Ligi ya Kikapu (BD), huku mchezaji wa timu hiyo, Jesca Lenga akifunika kwa kutoa asisti 214. Nyota huyo anafuatiwa na Tukusubila Mwalusamba wa Tausi Royals aliyeasisti mara 135, huku Noela Renatus wa Vijana Queens akishika nafasi ya tatu asisti 103. …

Read More

Ukata unavyoweza kukwamisha maendeleo ya EAC

Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ni ushirikiano wa kikanda uliolenga kuimarisha mshikamano kati ya nchi wanachama katika nyanja za kiuchumi, kijamii na kisiasa. Jumuiya hii ilianzishwa awali mwaka 1967 na nchi tatu za Kenya, Tanzania na Uganda, lakini ikavunjika mwaka 1977 kutokana na tofauti za kisera na kisiasa. Hata hivyo, juhudi za kuifufua zilianza tena…

Read More

BODI YA NBAA YATAKIWA KUFANYA MABORESHO YA MITAALA

Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), akipokelewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA, Pius Maneno, baada ya kuwasili kwa ajili ya halfa ya uzinduzi wa Bodi hiyo uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa APC Bunju jijini Dar es Salaam. Naibu Waziri wa…

Read More

VIJANA WENYE BUNIFU MBALIMBALI TANGA KUPATIWA FURSA ZA RUZUKU

Mwakilishi wa Shirika la Botnar Foundation Philotheusy Mbogoro akizungumza wakati akifungua mafunzo maalumu ya ufundi na Udereva wa Bajaji za Mfumo wa Umeme yaliyoanza leo kwenye Shule ya Sekondari Tanga School ambapo vijana zaidi ya 40 wanapata mafunzo hayo.Mmoja kati ya Washirika na Wafanyakazi wa Tanzania Open Innovation Organization na Robotech Abdulwahab Issa akizungumza wakati…

Read More