Ferry: Hatuna cha kupoteza kesho

Kocha wa Wiliete ya Angola, Bruno Ferry amesema timu yake haina cha kupoteza kwenye mchezo wa kesho ambapo  wataingia na akili ya kubadilisha matokeo. Ferry amesema wanatambua matokeo mabaya waliyoyapata nyumbani kwao ambayo yalitokana na uchanga wa kikosi  kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini wamejipanga kusahihisha makosa. “Baada ya mchezo wa kwanza tuligundua makosa yetu…

Read More

TFS WATUMIA MICHEZO KUHAMASISHA JAMII KUHIFADHI MISITU

Wakala wa Uhifadhi wa Misitu Nchini (TFS) wameeandaa bonanza la michezo lenye lengo la kujenga mahusiano, ushirikiano na kuhamasisha jamii katika uhifadhi wa misitu ambalo limewakutanisha washiriki zaidi ya mia mbili (250) kutoka katika kanda nane za Uhifadhi nchini. Akizungumza wakati akizindua bonanza hilo Jijini Arusha KamshinaMsaidizi Mwandamizi wa TFS CPA (T) Peter Mwakosya akimwakilisha…

Read More

Ahmed Ally amaliza utata wa Dulla Makabila Simba Day

MSEMAJI wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally amemaliza utata juu ya  msanii wa muziki wa Singeli, Dulla Makabila kuhusu kutumbuiza katika Tamasha la Simba Day, Jumamosi, kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam. Ahmed Ally ameliambia Mwanaspoti, mashabiki wa Simba watulie kwani klabu hiyo haikumtangaza Dulla  atatumbuiza siku hiyo na hata akiwemo kwenye orodha…

Read More