Tato yataka Serikali kuimarisha meza ya majadiliano ili kulinda utalii endelevu
Arusha. Chama cha Waongoza Watalii Tanzania (Tato) kimeiomba Serikali kuimarisha meza ya majadiliano na wananchi pamoja na wadau muhimu ili kulinda uthabiti wa sekta ya utalii. Ombi hilo limetolewa kufuatia tishio la uvunjifu wa amani zilizotokana na vurugu katika baadhi ya maeneo nchini kati ya Oktoba 29 na 31 mwaka huu. Chambulo amesema hayo wakati…