Mfuko wa jimbo usiwatoe ngeu, sheria ipo wazi

Kuna misuguano ya chini kwa chini inayoendelea Tanzania Bara, kuhusu nani hasa anapaswa kuteua wajumbe wa kamati ya Mfuko wa Kuchochea Maendeleo ya Jimbo huku baadhi ya wabunge wakiendesha mfuko huo kama mali yao binafsi. Lakini ukisoma kifungu cha 10 cha Sheria ya Mfuko wa Jimbo kama ilivyofanyiwa marejeo mwaka 2020 na kuchapwa katika Gazeti…

Read More

BALOZI CP KAGANDA AKUTANA NA BALOZI WA ETHIOPIA KUJADILI USHIRIKIANO KATI YA TANZANIA NA ETHIOPIA

Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Kamishna wa Polisi (CP) Mhe. Suzan Kaganda, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Ethiopia nchini Zimbabwe, Mhe. Rashid Mohammed Abdulwahid, ambapo wamejadiliana masuala mbalimbali ya kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Ethiopia. Katika mazungumzo hayo, Balozi Kaganda aliishukuru Serikali ya Ethiopia kwa kuendelea kudumisha urafiki wa muda mrefu na…

Read More

Dkt. Mwigulu: Wanafunzi Bora Kusomeshwa Nje Kupitia Samia Scholarship

Global Publishers March 10, 2026 0 Comments WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba. WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema wanafunzi watakaofaulu kwa viwango vya juu watanufaika na ufadhili wa masomo kupitia mpango wa Samia Scholarship unaotolewa na Serikali. Dkt. Mwigulu amesema hayo wakati akizungumza na wanafunzi katika ziara yake mkoani Rukwa, ambapo pia aliwasilisha salamu maalum…

Read More

Msafara wa Mpina wazuiwa kuingia ofisi za INEC

Msafara wa mtiania wa urais wa Chama cha ACT –Wazalendo, Luhaga Mpina amezuiwa kuingia ndani ya jengo la Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) jijini Dodoma. Msafara huo ulifika saa 6 mchana ya leo Jumatano, Agosti 27, 2025 ambapo askari kanzu na waliovalia sare wamelifunga geti la ofisi hizo  ili asiingie. Jana Jumanne, Mkurugenzi…

Read More

Mgombea udiwani Marangu aahidi kushirikiana na mbunge kuleta maji

Moshi. Mgombea udiwani wa Kata ya Marangu Mashariki kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Innocent Shirima ameahidi kushughulikia changamoto zinazowakabili wananchi wa kata hiyo, ikiwemo upatikanaji wa maji safi na salama, barabara za ndani pamoja na ajira kwa vijana. Akizungumza leo Septemba 26, katika mkutano wa kampeni uliofanyika Uwanja wa Marangu Mtoni, Shirima amesema changamoto kubwa…

Read More

Wikiendi kuna vita ya BDL All Star

WACHEZAJI nyota wa Ligi ya Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), wanatarajia kuonyeshana kazi Septemba 13, kwenye Uwanja wa Donbosco Oysterbay. Taarifa iliyotolewa na Chama cha Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BD) kupitia Kurugenzi ya Ufundi na Mashindano, imeeleza timu zitaundwa kwa mfumo wa kanda ya Mashariki na kanda…

Read More

Ukimya wenu sawa na sumu kwenye ndoa

Ukimya katika ndoa ni moja ya sumu kubwa inayoweza kuharibu uhusiano wa wawili walioamua kushiriki maisha pamoja. Kwa wengi, ukimya huanza kama njia ya kuepuka mabishano au maumivu ya kihisia, lakini kwa muda, ukimya huo huo hugeuka kuwa kizuizi cha mawasiliano, chanzo cha machungu, na mwishowe, ufa mkubwa unaoweza kuvunja ndoa. Pale wenza wanaposhindwa kuzungumza,…

Read More