UVCCM yawataka vijana kulinda taswira ya Taifa mitandaoni
Moshi. Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Moshi Vijijini, umewataka vijana kuwa mstari wa mbele katika kulinda taswira, heshima na masilahi ya Taifa kwa kuzingatia maadili na uzalendo, hususan kupitia matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii. Rai hiyo imetolewa leo Januari 25 na Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Moshi Vijijini, Yuvenal…