UVCCM yawataka vijana kulinda taswira  ya Taifa mitandaoni

Moshi. Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Moshi Vijijini,  umewataka vijana kuwa mstari wa mbele katika kulinda taswira, heshima na masilahi ya Taifa kwa kuzingatia maadili na uzalendo, hususan kupitia matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii. Rai hiyo imetolewa leo Januari 25 na Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Moshi Vijijini, Yuvenal…

Read More

KVZ yabeba taji netiboli, Masauni akitia neno

MAAFANDE wa KVZ ya visiwani hapa imebeba ubingwa wa Ligi ya Muungano kwa mchezo wa netiboli, huku Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Injini Hamad Masauni akisema Maendeleo ya michezo yamechangiwa na juhudi kubwa za viongozi wakuu wa nchi waliotoa kipaumbele katika sekta hiyo. Katika michuano hiyo iliyoshirikisha jumla ya timu 11, zikiwamo…

Read More

Profesa Shemdoe, ataka watendaji kuacha mazoea

Geita. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi), Profesa Riziki Shemdoe, amewapa wakuu wa mikoa siku 14 kuunda kamati za ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo, pamoja na kuwasilisha madokezo yanayoonyesha miradi mipya iliyobuniwa kupitia fedha ambazo matumizi yake yameonekana kutokuwa ya lazima. Agizo hilo limetolewa kufuatia maelekezo ya Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, aliyoyatoa…

Read More

Mkakati wa haki za kijinsia mbioni Zanzibar

Unguja. Jaji Mkuu wa Zanzibar, Khamis Ramadhan Abdalla, amesema Mahakama ya Zanzibar inaendelea kuchukua hatua madhubuti za kuimarisha na kukuza usawa wa kijinsia ndani ya mfumo wa utoaji haki, ikiwa ni sehemu ya mageuzi ya kiutendaji yanayolenga kuhakikisha haki inapatikana kwa usawa kwa makundi yote ya jamii. Kauli hiyo ameitoa leo, Jumapili, Januari 25, 2026,…

Read More

Shambulio familia ya Bobi Wine laibua taharuki Uganda, mkewe alazwa

Dar es Salaam. Mwanasiasa wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine, amesema mke wake ameshambuliwa na vikosi vya ulinzi vilivyovamia nyumbani kwake wakati yeye akiwa mafichoni, tukio lililoongeza sintofahamu ya kiusalama nchini humo. Kupitia taarifa aliyochapisha mtandaoni, Wine amesema shambulio hilo lilitokea Jumamosi Januari 24, 2026, ambapo askari waliovalia kiraia walimshambulia mke wake wakimtaka afichue mahali…

Read More

Trident FC, Mourice Sichone ngoma ngumu

BADO hali haijawa shwari kwa kinda wa Kitanzania, Mourice Sichone na klabu anayoitumikia Trident FC ya Zambia ambao wanadai hawako tayari kumuachia kwa sasa hadi mkataba wake utakapotamatika. Kinda huyo (18) alisajiliwa dirisha dogo msimu uliopita akitokea Mpulungu Harbour FC ya nchini humo alikocheza mechi 12 na kuhusika katika mabao tisa akifunga manne na kuasisti…

Read More

Mahakama yaridhia shule kujitetea madai ya Sh127 milioni

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Bukoba imeruhusu Karagwe Development Association (Karadea), mmiliki wa Shule ya Msingi Omukarilo, kujitetea katika kesi ya madai ya michango ya zaidi ya Sh127 milioni anayodaiwa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF). Uamuzi huo ulitolewa Januari 22, 2026 na Jaji Immaculata Banz, aliyekuwa akisikiliza maombi ya madai…

Read More

Mwinyi Zahera aanza visingizio WPL

KOCHA wa Ruangwa Queens, Mwinyi Zahera ametaja sababu ya kutoanza vizuri Ligi ya Wanawake ni pamoja na wachezaji kutokuwa na uzoefu wa kimashindano. Amesema ingawa wamesajili wachezaji 26, wengi wao hawajawahi kucheza Ligi Kuu, jambo ambalo limeathiri wanapokutana na timu ngumu kama JKT Queens na Simba Queens. Akizungumza na Mwanaspoti, Mwinyi amesema kutokana na changamoto…

Read More

WHO yaijibu Marekani, yatolea ufafanuzi madai ya Uviko-19

Dar es Salaam. Shirika la Afya Duniani (WHO) limeeleza kusikitishwa na taarifa ya Marekani kujiondoa katika shirika hilo, uamuzi unaoelezwa kuifanya Marekani na dunia kwa jumla kuwa katika hatari zaidi. Januari 20, 2025, Rais wa Marekani Donald Trump alitoa notisi ya kujiondoa WHO kupitia amri ya utendaji, kabla ya nchi hiyo kujitoa rasmi Januari 22,…

Read More