Kipa wa KVZ azitosa mbili Bara

KIPA tegemeo wa KVZ anayeidakia pia timu ya taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes, Suleiman Said Abraham amezikacha timu mbili za Ligi Kuu Bara, Tabora United na Pamba Jiji na kutua Namungo. Namungo imefanikiwa kunasa saini ya kipa huyo, baada ya kuzizidi ujanja Tabora na Pamba ambazo nazo zilikuwa zikimwinda kwa muda mrefu. Suleiman amemwaga wino…

Read More

Mastaa Simba wampitisha Tshabalala | Mwanaspoti

MASHABIKI wa Simba huenda wameshtushwa na taarifa za kuondoka kwa beki wa kushoto, Valentin Nouma, aliyeaga mapema tangu juzi kuonyesha hatakuwa sehemu ya kikosi hicho kwa msimu ujao wa mashindano wa 2025-2026, huku nahodha Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ akiwa hajapewa mkataba. Tshabalala ni mmoja ya wachezaji waandamizi wa klabu hiyo ambao bado hajapewa mkataba mpya hadi…

Read More

Wasaidizi wa kibinadamu wa Umoja wa Mataifa wanaripoti uhamishaji mkubwa na mahitaji muhimu katika Jiji la Gaza – Masuala ya Ulimwenguni

Alisema Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEFShirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) na washirika wengine walikuwepo kwenye safari. “Timu ilisema wale waliokimbia makazi yao wanahitaji haraka chakula, maji, huduma ya afya na ulinzi,” Bw. Dujarric alisema wakati wake. muhtasari wa kila siku kutoka New York. “Pia walishuhudia jinsi…

Read More

Bashiri Mchezaji Wako Bora EPL Msimu Mpya

LIGI kuu ya Uingereza ndio hiyo ipo mbioni kuanza na tayari Meridianbet tayari wameshakuwekea ODDS za kibabe kubashiri mchezaji ambaye unaona kuwa msimu ujao atakuwa tishio. Kutoka na usajili ambao timu mbalimbali zimeufanya, je nani unaona atachukua tuzo hiyo? Meridianbet wanampa nafasi kubwa ya kushinda tuzo ya mchezaji bora wa EPL Bukayo Saka kutoka pale…

Read More

RAIS SAMIA APONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI KILIMANJARO

Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Ummy Nderiananga ambaye pia ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha nyingi za maendeleo katika Mkoa wa Kilimanjaro. Pia amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Bwa. Nurdin Babu kwa utendaji…

Read More

Rais Samia awatembelea wakulima wa wilaya ya Namtumbo.

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa matrekta matatu yenye thamani ya Tsh. 246,000,000 yenye jembe la kulimia, jembe la haro pamoja na tela katika Wilaya ya Namtumbo kwa lengo la kukuza kilimo katika Wilaya hiyo. Rais Samia ametoa matrekta hayo kupitia Wizara ya Kilimo ambapo Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas…

Read More