Pmbet promo code | promo code ya kujiunga pmbet

Promo code ya pmbet ni code maalumu ambayo ni yalazima ili uweze kufungua account mpya ya kubashiri katika tovuti ya pmbet. Pmbet promo code unatakiwa kujaza A84 , code hiyo ni maalumu na hutumika mara moja tu wakati wakujisajili pmbet kwa mteja mpya. Katika makala haya tutajadili mambo muhimu yatakayo kuwezesha kufungua account ya pmbet…

Read More

32,000 wahudumiwa kambi ya madaktari bingwa Arusha

Arusha. Jumla ya watu 32,186 wamehudumiwa katika kambi ya madaktari bingwa na wabobezi iliyokamilika leo Jumatatu Julai mosi, 2024 katika Viwanja vya Sheikh Amri Abeid, jijini Arusha. Akitoa tathmini ya kambi hiyo iliyofanyika kwa siku nane, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Charles Mkombachepa, amesema kati ya watu hao, wapo watoto 4,616 waliohudumiwa katika kambi…

Read More

DED MJI WA KIBAHA AKUTANA NA WAMILIKI NA WAFANYABIASHARA WA VITUO VYA MAFUTA

  Na Mwamvua Mwinyi  Novemba 20,2024 Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha ,Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufanyabiashara kihalali na kulipa Kodi ya Serikali kwa wakati. “Nawasihi sana,nipeni ushirikiano ili sote tukishirikiana tupate Mapato yatakayo hudumia wananchi. Tukiungana kukusanya Mapato,tunakwenda kuibadili Kibaha Kimaendeleo”amesema Dkt.Shemwelekwa. Mkuu wa…

Read More

Mbeya City kumrejesha Kigonya Bara

UONGOZI wa Mbeya City uko katika mazungumzo ya kumrudisha tena Tanzania aliyekuwa kipa wa Azam FC, Mganda Mathias ‘Kone’ Kigonya, baada ya nyota huyo kumaliza mkataba wake na Yadah Stars FC ya Harare, Zimbabwe aliyojiunga nayo Julai 4, 2024. Kigonya aliyezaliwa Februari 2, 1996, katika Mji wa Lyantonde huko kwao Uganda, inadaiwa yupo katika mazungumzo…

Read More

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI WATAKIWA KUWEPO VITUONI MUDA WOTE

Mwenyekiti Wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe.Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele, akizungumza wakati akifunga mafunzo ya siku mbili kwa Waratibu wa Uandikishaji wa mkoa, Maafisa Waandikishaji, Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Jimbo, Maafisa Uchaguzi, Maafisa Ugavi na Maafisa TEHAMA wa halmashauri yaliyoanza jana Agosti 26 na kumalizika leo Agosti 27, 2024 Mkoani Mkoani…

Read More

Bomu mkononi – Sehemu ya 18

“Tuna utaratibu wa kubadilishwa mara kwa mara lakini itakapokuwa hivyo nitakujulisha,” mlinzi huyo akaniambia. “Hakuna tatizo,” nikamjibu. Kutoka siku ile nyumba yetu ikawa na mlinzi. Alikuwa anakuja saa kumi na mbnili jioni na kuondoka saa moja asubuhi. Anapokuja ananijulisha na anapoondoka asubuhi pia ananipa taarifa. TWENDE PAMOJA… BAADA ya mlinzi huyo kuanza kazi, siku mbili…

Read More

MATUMIZI YA TEKNOLOJIA ZA KISASA KUDHIBITI MAJANGA YA MIGODI YA BARRICK NCHINI YAPONGEZWA NA SERIKALI NA WANANCHI KATIKA MAONESHO YA OSHA

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda katika Banda la Barrick   ******   Viongozi mbalimbali wa Serikali na Wananchi wamepongeza kazi kubwa na nzuri inayofanywa na migodi wa dhahabu wa Barrick Bulyanhulu,North Mara na Buzwagi kwa kutumia vifaa vya teknolojia ya kisasa kudhibiti majanga sambamba na kufikisha elimu ya Afya na Usalama kwa…

Read More