KUPATWA KWA MWEZI KESHO SEPT 7

…………….. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya tukio la kupatwa kwa Mwezi linalotarajiwa kutokea kesho tarehe 7 Septemba 2025. Kwa mujibu wa Taarifa hiyo imeeleza kuwa Hali ya kupatwa kwa Mwezi ni tukio linalotokea wakati Dunia inapita kati ya Jua na Mwezi na kusababisha kivuli cha Dunia kuwa katika uso wa…

Read More

Mahakama yamrudisha Mpina INEC | Mwananchi

Dodoma/Dar. Mgombea urais wa Chama cha ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina ameshinda kesi dhidi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), kuhusu shauri la maombi ya Kikatiba akipinga kuenguliwa katika mchakato wa uteuzi wa wagombea wa nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Mpina alienguliwa katika kinyang’anyiro hicho na INEC Agosti 26, 2025, hivyo…

Read More

Mavunde aonya wakopaji dhidi ya mikopo umiza

Dodoma. Mgombea ubunge wa Mtumba, Anthony Mavunde amesema kukopa bila elimu ya ujasiriamali na fedha ni chanzo cha mikopo umiza. Kutokana na hilo, amewataka wananchi hasa kinamama na vijana kuacha kukopa kwa kuiga kwani watajikuta wameingia mahali penye hasara kubwa. Mavunde ametoa kauli hiyo jana Jumamosi Septemba 13,2025 kwa nyakati tofauti alipokuwa kwenye ziara ya…

Read More

Mabinti wa Dhahabu wapewa heshima kwa kutwaa Kombe la Dunia

BAADA ya kufanikisha historia isiyosahaulika, wachezaji wa kike wa Tanzania waliowakilisha taifa kwenye mashindano ya Kombe la Dunia kwa watu wasio na makazi, wamepatiwa pongezi za heshima. Mashindano hayo yalifanyika Agosti mwaka huu nchini Norway, ambapo mabinti hao waliweka rekodi mpya ya kimataifa. Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa Tanzania kushiriki michuano hiyo kwa upande…

Read More

Siku tatu ngumu za Sowah Simba

NI takribani wiki moja imepita tangu taarifa za mshambuliaji wa Simba, Jonathan Sowah ziripotiwe huku ikielezwa amesimamishwa kutokana na madai ya utovu wa nidhamu. Wakati muda huo ukipita huku kukiwa na ukimya kidogo, mapya yameibuka na kuelezwa uongozi wa klabu hiyo umempa siku…

Read More

Baba Levo, AG kidedea, mahakama yakataa nyaraka kukaguliwa

Kigoma. Mahakama Kuu Kigoma, imekataa maombi ya kukagua na kujiridhisha kuhusu nyaraka mbalimbali za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 katika jimbo la Kigoma Mjini. Nyaraka hizo ni pamoja na kujiridhisha juu ya uwepo wa nakala halisi ya daftari la wapiga kura lililotumiwa katika kila kituo cha uchaguzi kuidhinisha mpigakura, fomu za matokeo kwa kila…

Read More

Gamondi aanza kunogewa | Mwanaspoti

KOCHA wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi, amesema kutwaa ubingwa wa kwanza na klabu hiyo ndani ya mwezi mmoja tangu kuteuliwa kuinoa ni jambo linalomfanya ajisikie furaha akijivunia mradi wa kujenga kikosi imara kitakachoshindana ndani na nje. Gamondi aliiongoza Singida juzi Jumatatu kutwaa ubingwa wa mashindano ya Cecafa Kagame, taji ambalo ameliita kuwa mwanzo mzuri…

Read More